-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Shamsa: Nusura Niharibike Ubongo kwa Kipigo

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa amekutana na kipigo cha mara kwa mara kipindi anaishi na baba mtoto wake Dickson Matok ‘Dick’ kiasi ambacho alikuwa akikaribia kupata athari kwenye ubongo. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Shamsa alisema kuwa amenusurika kumpoteza mtoto wake akiwa tumboni kutokana na mitama aliyokuwa akipigwa na […]

Read More..

Odama: ‘Mkwe’ Imezingatia Maoni ya Mas...

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ ametambulisha ujio wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la MKWE ambapo ameleza kuwa imezingatia maoni ya mashabiki zake. Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Odama ameandika haya mara baada ya kuweka picha ya kasha la filamu yake hiyo hapo juu. Ndugu Zangu, Jamaa, Mashabiki, Team Pamoja Na Wapenzi […]

Read More..

Mama Afunguka Aunt, Iyobo Kuachana!

Post Image

MAMA aliyejitambulisha kuwa ni mama mzazi wa dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Moses Iyobo, amefungukia habari iliyozagaa mitandaoni kuwa mwanaye ameachana na mzazi mwenziye, mwigizaji Aunt Ezekiel kwa kusema habari hizo si za kweli. Mapema wiki hii, kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, iliandikwa kuwa Moses amemwaga Aunt na kuamua kuondoka nyumbani walipokuwa wakiishi na Aunt […]

Read More..

Picha: TRA Wanaipiga Mnada Range Rover Evoq...

Post Image

Gari aina ya Range Rover Evoque 504 ambayo Wema Sepetu alijizawadia kwenye birthday yake mwaka jana inapigwa mamlaka ya mapato tanzania (TRA) baada ya hivi karibuni mamlaka hiyo  wanaishikilia gari hiyo kwasababu iliingizwa nchini bila kulipiwa kodi na kwakuwa ushuru wake ni takriban nusu ya gharama yake, Wema ameshindwa kuikomboa. Ipo mnadani kwa  bai ya takriban shilingi […]

Read More..

Davina: Naanzaje Kwenda kwa Sangoma kwa Mfa...

Post Image

Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ juzikati alimjia juu mmoja wa mashabiki wake aliye-comment kwenye ukurasa wa msanii huyo wa Instagram kuwa alimuona akiingia kwa mganga wa kienyeji maeneo ya Kawe jijini Dar. Davina alisema, amejikuta akiumia sana kwani yeye si mtu wa mambo hayo huku akihoji anaanzaje kwenda kwa sangoma wakati imani […]

Read More..

Filamu ya Xballer Kuchuja Wasichana wa Kuig...

Post Image

WASICHANA wenye uwezo wa kuigiza wametakiwa kuchangamkia fursa kwa kujitokeza kwa wingi katika usaili wa filamu mpya ya ‘XBaller’, utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam. Mratibu wa usaili huo ambaye ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Ernest Napoleon, alisema usaili huo utaanza saa 5:00 asubuhi. Ernest, ambaye pia ni mshindi […]

Read More..

Ndugu Wakwama Kumpata Wastara

Post Image

Hali bado tete! Baada ya Gazeti la Ijumaa Wikienda ambalo ni dugu wa damu na hili toleo la Jumatatu iliyopita kutoka na habari yenye kichwa kisemacho; WASTARA ATOROSHWA HOSPITALINI, habari mpya ni kwamba, nduguze wameshindwa kujua wapi alipo mpaka sasa. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Ijumaa iliyopita, baadhi ya ndugu wa Wastara, wakiwemo dada zake, […]

Read More..

Mzee Kambi na Frank Watembelea White State ...

Post Image

Ramsey Kambi na Frank waigizaji wa Filamu kutoka Bongo WAIGIZAJI kutoka  Hashim Kambi ‘Ramsey’ akiwa na msanii mwenzake Mohamed Mwikongi ‘Frank’ wamebahatika kutembelea katika viwanja vya Ikulu ya Marekani maarufu kwa jina la White State House katika jiji la Washington Amerika. Ramsey akiwa na Frank New York wakionyesha kitu nje ya Ikulu ya Marekani Kambi […]

Read More..

Wastara Atoroshwa Hospitalini

Post Image

Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma akiwa hoi hospitali. Morogoro: Taarifa mbaya! Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma ambaye mapema wiki iliyopita alidai kupewa talaka la mumewe, Sadifa Khamis Juma, Mbunge wa Donge, Zanzibar, anadaiwa kutoroshwa hospitalini kisha kupelekwa hoteli ya mafichoni huku akiendelea na matibabu. Kwa mujibu wa chanzo makini, Wastara aliyekuwa amelazwa kwenye […]

Read More..

Riyama Alipiwa Mahari

Post Image

Hatimaye! Taarifa ikufikie kwamba, staa wa kitambo wa Bongo Muvi, Riyama Ally amelipiwa mahari na mpenzi wake ‘sharobaro’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji  Mwalimu ‘Leo Mysterio’ huku mipango kabambe ya ndoa ikiendelea. Riyama ameliambia Wikienda kuwa, anamshukuru Mungu kumpata mtu anayeona ndiye anamfaa katika maisha yake na tayari sasa ni mchumba rasmi wa […]

Read More..

Nimerudi Rasmi na Filamu ya Faulo- Wastara

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu wa kike Wastara Juma ‘Stara’ amesema kuwa sasa amerudi kikazi kwa ujio wake wa filamu yake ya Faulo ambayo yeye ni mtayarishaji huku akiwa ni kinara wa filamu hiyo ambayo itakuwa filamu yake ya kwanza kutolewa na kampuni yake ya Wajey Film. “Nimejipanga kwa ajili ya kufanya kazi nzuri zenye mafunzo katika […]

Read More..

Wasanii Bongo Muvi Wachangia Damu Palestina

Post Image

Mkongwe wa filamu, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’akishiriki zoezi la kuchangia damu. Anayemuhudumia ni muuguzi wa Hospitali ya Palestina. Mzee Chilo na Bakari Makuka wakiwa tayari wanatolewa damu. Baadhi ya wasanii wa filamu wakisubiri kuchangia damu katika Hospitali ya Sinza Palestina. Msanii, Elizabeth Kilili akiandaliwa kutoa damu na muuguzi wa Hospitali ya Sinza. Mmoja wa wasanii […]

Read More..

Day After Death ya Wema na Van Vicker kuish...

Post Image

Wema Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka hadi leo. June 2012: Muigizaji wa Nigeria, Omotola Jalade akiwa na Wema baada ya kuwasili kutoka Nigeria kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya Superstar […]

Read More..

Umaarufu Unavyomtesa Jini Kabula

Post Image

TAMTHILIA ya Jumba la Dhahabu ndiyo iliyomtambulisha Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ kwenye tasnia ya filamu kutokana na uigizaji wake mzuri. Jina la Jini Kabula lilitokana na kuigiza kama joka kubwa,uwezo mkubwa alioutumia katika kuigiza tamthilia hiyo iliwafanya watu wengi waamini kwamba yeye ni jini kweli. Katika hali ya kusikitisha, Jini Kabula alionekana hakuridhika na umaarufu […]

Read More..

Siri 5 za Ndoa ya Wastara Kuvunjika!

Post Image

Saa 24 tu tangu kupatikana kwa habari kwamba, ndoa ya staa wa sinema za Bongo, Wastara Juma aliyoifunga na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma imevunjika, sasa siri 5 za kuparaganyika kwa ndoa hiyo ziko mikononi mwa gazeti hili. Ndoa hiyo ilidaiwa kuvunjika rasmi Machi 21, mwaka huu baada ya kuishi kwa siku […]

Read More..

Filamu Kubwa ya Action ya ‘Omba’ Kutiki...

Post Image

FILAMU ya Mapigano ijulikanayo kwa jina la Omba imekamilika na muda si mrefu itaingia sokoni ni kazi kutoka kwa mwanadada Christina Mroni ‘Tina’ ambaye ameigiza kama kinara wa filamu hiyo ambayo inakuja kuleta mabadiliko makubwa Swahilihood. Frank (Jumbe) mwigizaji ambaye ameigiza kama Rais katika sinema ya Omba. Filamu ya actions ya Omba kutoka Swahilihood Akiongea […]

Read More..

JB: Ugumu wa Soko la Filamu Umenibadilisha

Post Image

JACOB Stephen ‘JB’ anasema kuwa ugumu wa soko la filamu umemfanya aangalie njia nyingine ya kufanya sanaa yake iendelee kuwa bora kwa kuanza kurekodi tamthilia tofauti na awali alijiwekeza sana katika Filamu pekee kwani lengo ni kufikisha ujumbe kwa jamii. “Dunia inabadilika na inaenda kwa kasi sana hivyo ni lazima pia mtu ubadilike, kazi ya […]

Read More..

Prodyuza wa Going Bongo Kuchukua Wasanii Bo...

Post Image

WASANII wanaochipukia wametakiwa kujitokeza katika usahili wa filamu mpya ya mshindi wa tuzo ya filamu bora Afrika Mashariki katika tuzo za Filamu za Kimataifa kwa nchi za Jahazi (ZIFF) kupitia filamu yake ya Going Bongo, Ernest Napoleon, utakaofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Usahili huo utakaoanza kwa wasanii wa kike wenye umri kati ya […]

Read More..