-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Vijana Wawili Jela Miaka Mitatu Kwa Kuduruf...

Post Image

Mahakama ya wilaya ya Ilala imewahukumu vijana wawili sayi kapama na Rigobert Massawe miaka3 jela au kulipa faini ya laki sita kwa kosa la kudurufu na kusambaza kazi za sanaa kinyume na sheria. Akisomea mashitaka hayo na karani Plasidia Namalla, mbele ya hakimu Adolf Sachore, katika kesi iliyofunguliwa kwa jarada 240/ 2013. Watuhumiwa hao walikamatwa […]

Read More..

Koleta, Lungi Watikisa Ndoa ya Mbunge Mhong...

Post Image

DAR ES SALAAM: Ubuyu! Wasanii wawili wa Bongo Muvi, Coletha Raymond ‘Koleta’ na Lungi Maulanga wanadaiwa kutikisa ndoa ya mbunge machachari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (jina tunalo) anayesemekana kuwa ni mhongaji mzuri. Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, gazeti hili liliwatafuta watuhumiwa hao ambapo kwa upande wake Lungi (pichani) alikiri ‘kujuana’ na […]

Read More..

Mama Kanumba: Lulu Umenichosha, Uniache!

Post Image

Bifu jipya! Kwa mara nyingine, baada ya kurushiana vijembe kwa muda mrefu, mama mzazi wa aliyekuwa stadi wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Flora Mtegoa amemuonya staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuwa amemchosha kwa vijembe mitandaoni hivyo anamuomba amuache. NI KATIKA MAHOJIANO MAALUM Katika mahojiano maalum na Ijumaa Wikienda, […]

Read More..

Majuto Awataka Wasanii Wafanye Haya

Post Image

MCHEKESHAJI mkongwe nchini, Amri Athumani ‘King Majuto’, amefunguka na kudai kwamba kuna baadhi ya wasanii wa filamu wanafanya kazi zao bila ya kuwa na lengo la kuelimisha jamii zinazowazunguka. Msanii huyo amedai kwamba, wasanii wengi wapo kwa ajili ya kufurahisha watu lakini wanasahau kwamba wanatakiwa kuelimisha jamii kwa kuwa wao ni kioo cha jamii. “Ukiangalia […]

Read More..

Tunda Kuisindikiza Mama Kija na Filamu

Post Image

Katika kuleta utofauti kwenye game, star wa muziki Tunda Man ameamua kuinogesha video yake ya mama Kijacho ambayo inatarajiwa kutoka wiki ijayo na vipaji vya mastaa wa nguvu kutoka tasnia ya maigizo bongo, Riyama, Mboto na Wengine. Tunda amesema kuwa, kazi hiyo itafuatiwa na filamu fupi kuhusiana na kisa cha Mama Kijacho ambapo sambamba na […]

Read More..

Sabby: Mapenzi Kwangu No

Post Image

MSANII wa Bongo movies Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amesema katika kipindi hiki cha kasi ya Rais John Magufuli, hana muda wa kuhangaika na mapenzi, badala yake yeye atachapa kazi tu. Akizungumza na gazeti hili, msanii huyo alisema kumekuwa na wimbi kubwa la wezi wa mapenzi wanaotumia fedha, lakini kwake ni bora ajibidishe kivyake ili apate […]

Read More..

Habari Njema Kutoka kwa Shamsa na JB

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amewadokeza mashabiki wake kuwa wakae mkao kula kwani hivi sasa wapo chimbo NA jb wakiandaa kazi mpya itakayo kwenda kwa jina la BI MAPOZI. “Movie inayokuja nitakuwa na big boss, si unajua vicwa hivi viwili vikikutana. Itakuwa ni balaaa. Bonge la Movie inaitwa ( BI MAPOZI.)” Shamsa aliandika […]

Read More..

Nuh Mziwanda: Nilishaficha Mambo Mengi Sana...

Post Image

Nuh Mziwanda amedai kuwa aliyofanyiwa na Shilole ni mengi na mazito ambayo ilibidi ayafiche kwa maslahi ya penzi lao na heshima kwake. Akiongea kwenye kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV Ijumaa hii mbele ya Shilole aliyekuwa amejikunyata pembeni kwa kukasirishwa na uwepo wa ex wake studioni hapo bila kutaarifiwa mwanzoni, Nuh alisema Shilole […]

Read More..

Anti Lulu Afurahia Wastara Kuolewa

Post Image

MWANADADA Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ameweka wazi kuwa, amefurahishwa na Anti Lulu aliyewahi kuwa kwenye bifu zito na Wastara kisa kikiwa ni penzi la mtangazaji na msanii Bond Bin Sinan alisema: “Nampongeza kwa moyo safi nitamuombea ndoa yake idumu kwani ameonesha mfano bora kwa sisi tunaohangaika tu. ”nti Lulu afurahia Wastara kuolewa hatua ya Wastara Juma […]

Read More..

Ray Kufungua Mwaka na ‘Tajiri Mfupi’

Post Image

Staa mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye pia ni moja kati ya wakurugezi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya RJ anatarajia kufungua mwaka huu wa 2016 kwa kuuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Tajiri Mfupi ikiwa imesheheni mastaa wakali kama Ray mwenyewe, Muhogo Mchungu, Batuli na wengineo. Akiongea na chanzo […]

Read More..

Aunt, Mke wa Iyobo Wapatana

Post Image

DAR ES SALAAM: Yamekwisha! Baada ya kudumu ndani ya bifu kwa muda mrefu huku wakituhumiana uchawi, hatimaye mwigizaji Aunt Ezekiel na mzazi mwenzie na Moses Iyobo, Mwengi Ally wamekutana na kumaliza tofauti zao. Mapema mwaka jana, wawili hao waligombana kufuatia Iyobo ambaye ni dansa wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kummwaga Mwengi […]

Read More..

Ukitaka Kufikia Malengo Yako Usimuangalie M...

Post Image

Kupitia ukurasa wake wa instagram, mkali wa comedy Joti ameandika haya mara baada ya kuweka picha hii akiwa na jamaa yake toka kitambo, Mpoki. Hivi ndivyo ilivyokuwa mwanzo wetu ktk hii kazi,hakuna binadamu aliewahi kufanikiwa kwa kuogopa.. kusemwa,kuchekwa,kupuuzwa, ,alafu leo hii mtu atakuzungumzia kama vile anakujua sana,tena mpaka mishipa ya shingo inamtoka, ila wapo waliofanikiwa […]

Read More..

Hongera Sintah kwa Ku ‘graduate’

Post Image

Msanii mkongwe wa maigizo nchini, Christina Manongi maarufu kama Sintah, amewashtua baadhi ya mashabiki wake baada ya hivi karibuni kuibuka baada ya ukimya wa muda mrefu, ambapo imejulikana mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wa Juma Nature alikuwa busy akipiga kitabu ambapo sasa hivi amegraduate postgraduate ya diplomasia. Hata hivyo baadhi ya mashabiki zake wamempongeza Sintah […]

Read More..

Wastara Atengwa Bongo Muvi

Post Image

DAR ES SALAAM: Baada ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma kufunga ndoa na mheshimiwa Sadifa Juma, anadaiwa kutengwa na wasanii wenzake wa Bongo Muvi hasa wale waliokuwa karibu naye katika zoezi la kumchangishia fedha za matibabu aliyokuwa akitarajia kwenda kuyafanyiwa nchini India. Sosi wa ndani ya Bongo Muvi alilinyetishia Ijumaa kwamba, baadhi ya […]

Read More..

Faiza :Watu ‘Fake’ Wana Haribu Vizazi V...

Post Image

Hakuna kitu nachukia duniani kuliko vyote kama watu fake – watu fake duniani wana haribu vizazi vyetu…..wanatabia zote mbaya na umaskini juu maana unapo kuwa fake unakua mjinga na ujinga ni umaskini na hata kutoka kimaisha ni ngumu na ukitoka hata ukiwaje mwisho wa siku unarudi chini coz watu fake there is where they belong- […]

Read More..

Masanja: Nimenunua BMW X6 Kama Mtu Mwingine...

Post Image

Mchekeshaji wa Orijino Komedi na mjasiriamali, Masanja Mkandamizaji amesema kila anachomiliki amekinunua kwa pesa yake halali huku akishangaa kwanini watu wameshtuka baada ya kuona anamiliki BMW yenye plate namba ya jina lake. Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa hii, Masanja alisema anamiliki magari mengi huku akidai BMW X6 ameinunua kama mtu mwingine […]

Read More..

Maprodyuza Wasiosajiliwa Kukiona cha Moto

Post Image

KAIMU Mwenyekiti wa Chama cha Maprodyuza Tanzania, William Mtitu, amesema hakuna prodyuza atakayeruhusiwa kufanya kazi ya kutengeneza filamu ndani na nje ya nchi kama hatasajiliwa na chama hicho. Mtitu alisema chama hicho kimeamua hayo ili kuondoa filamu zisizo na ubora katika soko la filamu nchini ambalo anadai limejaa filamu zisizo na ubora hali inayopelekea kudharauliwa […]

Read More..

Lulu: Mama Amenistiri Sana!

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa hakuna wa kumthamini na kumheshimu hapa duniani zaidi ya mama yake kwani ndiye mtu pekee aliyempa faraja ya kweli katika maisha magumu aliyopitia. Akizungumza kwa uchungu Lulu alisema, mama yake pekee ndiye aliyemuona ana thamani wakati watu wengine wakimuona ni mchafu wa maneno na hafai kabisa […]

Read More..