-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Nay Wa Mitego Afungukia Vitisho Alivyovipat...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego amefunguka kuwa ingawa  asilimia kubwa ya ngoma zake zinazofanya vizuri ni zile ambazo inaonekana amediss watu live kwa kuwataja majina lakini katika maisha yake anasema hatoisahau wimbo wa Salaam Zao kwa sababu ndiyo wimbo iliyowahi kumpa shida kuliko nyimbo zake zote. ‘’Ngoma ya Salam Zao nilipokea vitisho vingi […]

Read More..

Harmonize Ajiweka kwa Jacqueline Wolper?!

Post Image

Wanasema sharing is caring. Ndiyo maana Harmonize haoni hatari kuweka kambi kwenye koloni la zamani la bosi wake, Diamond. Inaonekana si tetesi tena kwasababu CEO wa WCB mwenyewe ametoa baraka zake kwa wawili hao, Harmonize na Jacqueline Wolper ambao yeye anawaita ‘love birds.’ Diamond na Wolper waliwahi kuwa na uhusiano miaka kadhaa iliyopita. Muimbaji huyo […]

Read More..

Sisi Tumebadilisha Muziki – Ferouz

Post Image

Msanii Ferouz amesema utofauti mkubwa uliopo kati ya Bongo fleva ya zamani waliokuwa wanafanya wao na Bongo fleva ya sasa hivi, ni kwamba wao walikuwa wanaimba ujumbe wenye kuelimisha zaidi. Ferouz amyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV na kusema kuwa kitendo hicho kiliwahamasisha hata wasanii wachanga kufuata nyayo zao. […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kutolipwa Alipokuwa To...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amesema kuwa alikuwa halipwi kitu alipokuwa Top Band, ommy  ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, na kusema kuwa hajayajutia magumu hayo, kwani alikuwa anajifunza. “Mwanzo wakati naanza nipo Top Band nilikuwa siko vizuri financially (kifedha), nilikuwa sina hela, nilikuwa naenda kwenye shoo kwenye bendi, ilikuwa some […]

Read More..

Giggy Money: Gardner Kwangu Hachomoki

Post Image

MUUZA nyago kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo anayeuza maneno katika Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita, Risasi Jumamosi  linakumwagia ubuyu wote. Akichonga na gazeti hili baada ya picha zinazomuonesha […]

Read More..

Picha za Wema na Ommy Wakiwa Chumbani Zawa ...

Post Image

DAR ES SALAAM: LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine ametengeneza habari, amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Risasi Jumamosi limepewa mchapo. PICHA ZADHIHIRISHA Hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya kuvuja kwa picha […]

Read More..

Madee Akanusha Kufumaniwa Akiwa na Shilole

Post Image

Msanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole alisema kuwa aliumia alipomfumania Madee na mpenzi wake huyo wa zamani katika sehemu ambayo si ya wazi yaani chumbani. Lakini Madee kupitia kipindi cha Planet bongo amekana tuhuma hizo na kusema kuwa suala hilo halina ukweli wowote ule na kudai kuwa […]

Read More..

Mtangazaji Gardner Atakiwa Kumuomba Radhi L...

Post Image

Kufuatia madai  kuwa mtangazaji wa clouds fm, Gadner G Abashi ‘Captain’ kumdhalilisha  mwanamziki Laday jaydee ambaye alikuwa mke wake, wanasheria wa Lady Jaydee wamtaka Gardner kuomba radhi mbele ya umma. Hii ndiyo barua aliyopelekwa kwa Gardner.

Read More..

Najma: Sijali ‘Makombo’ kwa Baraka

Post Image

Mwanamuziki Najma Dattan ‘Naj’ ameibuka na kusema kuwa kwa msanii mwenzake Baraka Da Prince amefika wala hajali ametoka na wanawake wangapi kwa sababu hata yeye ana ‘pasti’ yake. Akizungumza na Ijumaa, Najma alisema kuwa amekuwa akiwashangaa wasichana waliopita kwa Baraka ndiyo wanamuongelea kila siku wakidai anakula makombo lakini Baraka mwenyewe haongelei kabisa uhusiano wa watu […]

Read More..

Wanaume wa Mitandaoni Wamenipa Somo-Giggy M...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva ambaye jana ameachi wimbo wake unaoitwa ‘Supu’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hataki tena wanaume wa mitandaoni na kudai kuwa wanaume hao wamempa somo. Giggy Money akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo amesema kuwa msanii Hemedy Phd pamoja na Rich Mavoko ndiyo wasanii ambao walimtokea kupitia njia ya mtandao na […]

Read More..

Diamond Afungukia Madai ya Yeye na Zari Kuc...

Post Image

Star wa Bongo fleva Diamond Platnum akanusha juu ya stori zilizozagaa mitandaoni kuwa mpenzi wake Zarina ama mama Tiffa anachepuka na Ivan huku yeye akichepuka na video Quuen wa Ketu ya Raymond Akizungumza na Enewz Diamond alisema kuwa hizo ni stori tu ambazo mapaparazi waliamua kuzitengeneza lakini Zari hakuwahi kuwa na uhusiano wowote na Ivan […]

Read More..

Kwa Picha Hii, Wema Amemjibu Zari?

Post Image

Miezi kadhaa iliyopita liliibuka gumzo kubwa mtandaoni kati ya Timu Wema na Timu Zari kuhusu nani kati ya Wema Sepetu na Zarinah Hassan ‘Zari’ ana wowowo kubwa. Katika mjadala huo kila upande ulikuwa ukivutia kwake huku mara nyingi Timu Zari wakitumia ile picha aliyopiga Zari na Diamond (Zari kavaa gauni jekundu na Diamond kavaa suti […]

Read More..

Picha: Diamond na Mafikizolo Wakiwa Bungeni...

Post Image

Kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz leo walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo mastaa hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kupiga burudani  Chuo kikuu cha Dodoma. “Unajua leo tuna show hapa Dodoma mimi na Mafikizolo hivyo serikali kupitia kwa Waziri Nape Nnauye walitualika bungeni japo […]

Read More..

Kusaka Mpenzi Kwenye Simu, Sitosahau –...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Linah a.k.a ndege mnana amefunguka moja kati ya vitu ambavyo hawezi visahau katika maisha yake yote. Akizungumza na Enewz Linna alisema kwamba moja ya kitu hicho ni tukio ambalo walilifanya yeye na mwenzie kipindi wanasoma kwani walikuwa wana tabia ya kujaribu kupiga namba tofauti tofauti ili kutafuta mpenzi. “Nilifanikiwa kumpata mwanaume […]

Read More..

AY na Mwana FA Kulipwa Bilioni 2 na Tigo, B...

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala imeiamuru kampuni ya Mawasiliano ya TIGO kuwalipa wasanii Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ na Ambwene Yessaya ‘AY’ jumla ya shilingi bilioni 2.18 baada ya kutumia kazi zao za muziki bila ridhaa yao. May 10, 2016, Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando alipost picha Instagram akiwa kwenye mahakamu kuu ya Tanzania akiwa na rappers […]

Read More..

Dayna Nyange Amuonea Wivu Roma

Post Image

MWANADADA anayefanya poa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ hivi karibuni amedai kuwa anamuona wivu staa wa Hip Hop, Roma Mkatoriki kutokana na hatua aliyoifikia ya kufunga ndoa Jumamosi iliyopita mkoani Tanga na mchumba wake wa muda mrefu. Dayna anasema amekuwa mtu wa karibu wa Roma kwa muda mrefu sasa […]

Read More..

Nimemuweka Wazi Mpenzi Kupunguza Usumbufu &...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake ‘Achia boy’ amefunguka na kusema kuwa ameamua kumuweka wazi mpenzi wake ili kupunguza usumbufu kutoka kwa watoto wa kike. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet bongo cha East Africa Radio, Ommy Dimpoz alidai kuwa kufanya hivyo ni kupunguza kasi ya watoto wa kike ambao wamekuwa […]

Read More..

Mr Blue Anakuja na Hii Akiwa na Alikiba

Post Image

Mr Blue alitumia Acount yake ya Instgram kufikisha ujumbe huo kwa mashabiki wake na kuwaambia kazi ambayo amefanya na msanii Alikiba kwa producer Man Water ‘Combination Sound’ imekamilika na sasa ipo mikononi mwake. “Nataka kuwaambia kuwa nawapenda sana ila nataka muachane na skendo ambazo zipo kwenye vyombo vya habari, Mr Blue sasa nakuja na mambo […]

Read More..