Nay Wa Mitego Afungukia Vitisho Alivyovipat...
Mkali wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego amefunguka kuwa ingawa asilimia kubwa ya ngoma zake zinazofanya vizuri ni zile ambazo inaonekana amediss watu live kwa kuwataja majina lakini katika maisha yake anasema hatoisahau wimbo wa Salaam Zao kwa sababu ndiyo wimbo iliyowahi kumpa shida kuliko nyimbo zake zote. ‘’Ngoma ya Salam Zao nilipokea vitisho vingi […]
Read More..





