-->

Daily Archives: January 23, 2016

Aunt Ezekiel: Tunajenga Kwanza Ndani Ndio T...

Post Image

Kutokana na kusuasua kwa hatua za tasnia ya filamu Bongo kuingia katika soko la kimataifa, nyota wa filamu Aunt Ezekiel amesema kuwa zipo jitihada zinafanyika sasa kuweka mambo sawa katika soko la ndani ambalo limeshuka, kama msingi wa safari hiyo. Aunt ambaye hakufafanua mikakati yenyewe, ameeleza kuwa itakuwa ni uongo pale kufanya jitihada za kwenda […]

Read More..

Ndege Wanaofanana Huruka Pamoja-Lulu

Post Image

Kupitia ukurasa wake mtandaoni,staa mrembo wa Bongo Movies ‘Lulu’ amefunguka haya; Kuna Msemo Unasema “NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA” hii misemo huwa inamaana sana Kwa akili yangu ndogo nilijaribu kuuweka huu Msemo katika Maisha ya kawaida Na nikagundua Una asilimia kubwa ya ukweliKatika Maisha yetu ya mahusiano,urafiki,undugu,ujamaa Na hata ushabiki sio kwamba mambo yanatokeaga Kama miujiza […]

Read More..

‘Kiboko Kabisa’ ya Nisha Inahesabu Siku

Post Image

ILE Filamu ya Kiboko Kabisa kutoka kwa gwiji la Uchekeshaji Swahilihood Salma Jabu ‘Nishabebee’ ipo tayari na inehesabu siku kadhaa ili iruke mtaani na kufanya fujo za hatari huko kunako soko ni kazi safi si ya kuikosa kwani imejaa mastaa kibao. Akiongea na FC Production meneja wa Nisha’s Film Productions Othuman Ochu amesema kuwa kila […]

Read More..

Nunua Kifurushi cha “Get Started Uond...

Post Image

Ishi kwa kuchukulia magumu kama changamoto na sio matatizo. Badala ya kuwaza kuwa utatoa,nini? Waza kuwa utapata nini? Ulishawahi kuwaza kuwa kwa kuondoa uzito uliokuzidi utapata pesa kuliko ulivyowahi kuwaza maishani mwako? Na unajua kwamba huhitaji elimu ya chuo wala mkopo kutembea ukiwa umekaa? Sio wote huamini, lakini wewe kwa kusoma habari hii kupitia mimi […]

Read More..

Steve Nyerere Ahenyeshwa Polisi

Post Image

DAR ES SALAAM: Msala! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kuhenyeshwa polisi kutoka na msala wa rafiki yake kuaminiwa fedha za matengenezo ya gari na kuanza ‘kupiga karenda’ matengenezo hayo bila sababu za msingi. Chanzo makini kimeeleza kuwa, miezi kadhaa iliyopita, Steve alimpeleka rafiki yake aitwaye Mohamed maarufu kwa jina la […]

Read More..

Nay wa Mitego auelezea mkasa wa mwanae Curt...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego amedai alimnyang’anya ex wake Siwema mtoto wao Curtis baada ya kile alichodai mwanadada huyo kuendekeza starehe za club pamoja na kusafiri nje ya mkoa kwa zaidi ya wiki mbili huku akiwa amemuacha mtoto nyumbani. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM Ijumaa hii, Nay alisema aliamua kumhifadhi lakini huu […]

Read More..