Huu Ndiyo Mchango wa Diamond kwenye lebo ya...
Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema kwenye Label yake ya WCB yeye huwa anachangia vitu vidogo sana na kusema management yake chini ya Babutale na Mkubwa Fela ndiyo wanao waangalia wasanii na kuona kama wasanii hao wana vipaji na uvumilivu. Akiongea na East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet bongo Diamond Platnumz amedai wakati […]
Read More..






