-->

Monthly Archives: March 2016

Huu Ndiyo Mchango wa Diamond kwenye lebo ya...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema kwenye Label yake ya WCB yeye huwa anachangia vitu vidogo sana na kusema management yake chini ya Babutale na Mkubwa Fela ndiyo wanao waangalia wasanii na kuona kama wasanii hao wana vipaji na uvumilivu.   Akiongea na East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet bongo Diamond Platnumz amedai wakati […]

Read More..

Ndugu Wakwama Kumpata Wastara

Post Image

Hali bado tete! Baada ya Gazeti la Ijumaa Wikienda ambalo ni dugu wa damu na hili toleo la Jumatatu iliyopita kutoka na habari yenye kichwa kisemacho; WASTARA ATOROSHWA HOSPITALINI, habari mpya ni kwamba, nduguze wameshindwa kujua wapi alipo mpaka sasa. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Ijumaa iliyopita, baadhi ya ndugu wa Wastara, wakiwemo dada zake, […]

Read More..

Mzee Kambi na Frank Watembelea White State ...

Post Image

Ramsey Kambi na Frank waigizaji wa Filamu kutoka Bongo WAIGIZAJI kutoka  Hashim Kambi ‘Ramsey’ akiwa na msanii mwenzake Mohamed Mwikongi ‘Frank’ wamebahatika kutembelea katika viwanja vya Ikulu ya Marekani maarufu kwa jina la White State House katika jiji la Washington Amerika. Ramsey akiwa na Frank New York wakionyesha kitu nje ya Ikulu ya Marekani Kambi […]

Read More..

Nitaendelea Kuwa Mwanamuziki Mpaka Nakufa-P...

Post Image

Mbunge wa Jimbo la Mikumi na msanii wa bongo fleva, Joseph Haule maarufu kama Prof Jay amesema kuwa yeye ni mwanamuziki na ataendelea kufanya muziki mpaka siku atakapotoweka duniani. Prof Jay amefunguka hayo baada ya Babutale kutaka kufahamu ni lini msanii huyo ataachia kazi nyingine kwani toka amekuwa mbunge wa jimbo la Mikumi amekuwa kimya […]

Read More..

Zari, Diamond Kimenuka Ulaya!

Post Image

Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa Sweeden na familia yake. DAR ES SALAAM: Hakuna furaha isiyo na karaha! Ndiyo kauli inayoweza kutumika kwenye habari ya ziara ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Familia ya Wasafi Classic Baby (WCB) huko barani Ulaya ambapo staa huyo na mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari The […]

Read More..

Serikali Iruhusu Bangi – Afande Sele

Post Image

Msani mkongwe wa Hip Hop ambaye alitupa karata yake kwenye siasa na kufeli Afande Sele, ameitaka serikali kuruhusu biashara na matumizi ya bangi, ili kuongeza pato la taifa kwa kuilipia kodi biashara hiyo. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Afande Sele amesema iwapo zao hilo la biashara likiruhusiwa rasmi nchini […]

Read More..

Stara Thomas: Bado Nipo Kwenye ‘Gospel’

Post Image

MKONGWE katika muziki wa Bongo Fleva, Stara Thomas, ameibuka na kudai kwamba muziki wa injili haujamshinda hivyo ataendelea kuimba Bongo Fleva na Injili kwa kuwa nyimbo zake hazipotoshi jamii. “Baada ya kukaa vizuri ndani ya Biblia nimeona naweza kufanya Bongo Fleva kwa ajili ya kuelimisha jamii huku nikiendelea kuimba muziki wa injili, cha msingi ni […]

Read More..

Harmonize Atamani ‘Levo’ za Diamond

Post Image

MSANII wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ amefunguka kuwa anatamani kuona anakuja kuongoza kundi la wasanii kama ilivyo kwa bosi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye anamiliki Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB). Harmonize, ambaye anatikisa kwenye stesheni mbalimbali za redio na runinga hapa nchini na ngoma yake ya Bado, aliompa shavu Diamond […]

Read More..

Juma Nature Adai Mshindani Wake Kwenye Muzi...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki, Juma Nature amedai msanii pekee ambaye anaweza akashindana naye kwa sasa ni Diamond. Akizungumza na tovuti ya Times Fm, Juma Nature ameomba wadau kuandaa tamasha ili washindanishwe. “Watu wanamtukuza sawa lakini watuweke stage moja tuone nani atakamua, unajua tuseme ukweli bongo flava sasa mimi na Diamond ndio wapinzani pekee,” alisema Juma […]

Read More..

Lady Jaydee Kula na Mashabiki Wake

Post Image

MKALI wa wimbo wa ‘Ndi ndi ndi’, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, ameonyesha kuwateka mashabiki wake kwa kuchagua video tatu nzuri wanazomtumia kisha anakwenda kula nao chakula cha jioni na kuwa nao katika matukio yake makubwa ya kimuziki. Katika maelezo yake aliyoweka katika ukurasa wake wa facebook, Jay Dee aliandika kwamba waliomtumia video wakiwa wanaimba wimbo […]

Read More..

Ray C wa Sasa Sio Kama wa Kipindi Kile R...

Post Image

Msanii Ray C amevijia juu vyombo vya habari vianvyoandika taarifa za uongo juu yake, kuwa amerudia kutumia madawa ya kulevya, na kuahidi safari hii atavifikisha mahakamani.   Katika ukurasa wake wa instagrama Ray C ameandika ujumbe mrefu kuhusu vyombo vya habari vinavyomchafua, na kwamba wana mpango wa kukwamisha harakati zake za kupambana na madawa ya […]

Read More..

Vanessa amfungukia laivu Jack Patrick!

Post Image

Baada ya kumkwapua Juma Mussa Mpolopoto ‘Jux’ aliyekuwa mpenzi wa modo Jacqueline Fitzpatrick ‘Jack Cliff’ kisha modo huyo kufungwa kwa msala wa madawa ya kulevya nchini China, mtoto mzuri wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’ ameibuka na kumzungumzia ‘mtalaka’ huyo wa Jux. V-Money alimfungukia modo huyo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akifanya mahojiano maalum (exclusive) […]

Read More..

Sugu Awachana Wasanii Kufanya Show Ulaya

Post Image

Kwenye stori tatu ya Planet Bongo ya East Africa Radio, Sugu amesema huwezi kutumia kigezo cha wasanii kufanya show nje ya Afrika yaani Ulaya, America na kwengineko kama kigezo kuwa game imekua, kwa sababu show kama hizo walishazifanya miaka zaidi ya 20 iliopita. “Huwezi kutoa credit kwa kusema wasanii wanaenda kupiga show Ulaya, Sugu, X-plastars, […]

Read More..

Wake Zangu Hawahusiki na Umaarufu Wangu-Mze...

Post Image

Mzee Yusuf ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha E News kinachorushwa na EATV kuhusiana na wakezake kuzozana kwenye mitandao ya kijamii na kama suala hilo haliwezi kumharibia katika tasnia ya muziki hapa nchini. ”Wake zangu hawahusiki na ‘usupastaa’ wangu mimi ni Mfalme na wake zangu wanaweza kuondoka lakini mimi nikabakia na ndiyo maana […]

Read More..

Barakah Da Prince Ajiweka kwa Naj

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva ‘Barakah da Prince’ akiwa na mpenzi wake Najma Dattan ‘Naj’. HATIMAYE! Baada ya kufichaficha kila sehemu juu ya uhusiano wao, msanii wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah da Prince’ ameamua ‘kujilipua’ kwa mpenzi wake mpya, Najma Dattan ‘Naj’ na kwamba ndiyo kila kitu kwake. Akiliachia domo liserereke, Barakah anayebamba na Ngoma […]

Read More..

Ishu ya Madawa ya Kulevya, Tunda Amkingia K...

Post Image

David Genzi ‘Young D’ akiwa na mpenzi wake Tunda. MUUZA nyago kwenye video za Bongo Fleva, Tunda Sebastian amejikuta akimkingia kifua mwandani wake, David Genzi ‘Young D’ kutokana na kuhusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya na kudai maneno hayo ni uzushi mtupu. Akibonga na Showbiz alisema kuwa, anawashangaa watu ambao kila kukicha wamekuwa wakimsakama […]

Read More..

Waziri Nape Aelezwa Rose Mhando Alivyo jipu

Post Image

MSANII wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando, ameshtakiwa kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, kwa kitendo cha utapeli na kushindwa kutekeleza mkataba wa kuhudhuria na kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka lililofanyika jijini Mwanza licha ya kulipwa gharama zote alizotaka. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions inayoongozwa na Alex Msama, ambayo […]

Read More..

Ferooz Awashukia Msahabiki Wanaodai Anatumi...

Post Image

Ferooz amewajia juu mashabiki wake katika mitandao ya kijamii baada ya kuambiwa anatumia madawa ya kulevya.   Ferooz amedai baada ya Chidi Benz kuonekana afya yake imedhoofika kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya basi mashabiki wanamchukulia kila msanii aliyepungua mwili wake anatumia unga. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Ferooz ameandika: Tatizo la wabongo mnapenda […]

Read More..