Aunty Fifii Amkumbuka Kanumba, Akiwachana W...
IJUMAA iliyopita ilitimia miaka mitano kamili tangu Steven Kanumba alipofariki dunia ghafla na kuleta majonzi nchini nzima, lakini huwezi kuamini ni wasanii wachache wa tasnia hiyo waliweza kufanya kumbukumbu yake. Jambo hilo limemkera mno mwingizaji mkongwe aliye pia mtunzi na mtayarishaji, Tumaini Bigilimana ‘Aunty Fifi’ ambaye aliongoza ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Kanumba sambamba […]
Read More..





