Bado Namkumbuka Mshkaji Wangu Kanumba!
MIAKA mitano imekatika sasa tangu mkali wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba afariki dunia. Marehemu Kanumba alifariki Aprili 7 na kuzikwa Aprili 10, 2012 katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Tasnia ya filamu za Kibongo bila shaka bado inamkumbuka shujaa huyu ambaye alijitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kupaisha filamu zetu katika medali […]
Read More..