-->

Daily Archives: April 15, 2017

Bado Namkumbuka Mshkaji Wangu Kanumba!

Post Image

MIAKA mitano imekatika sasa tangu mkali wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba afariki dunia. Marehemu Kanumba alifariki Aprili 7 na kuzikwa Aprili 10, 2012 katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Tasnia ya filamu za Kibongo bila shaka bado inamkumbuka shujaa huyu ambaye alijitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kupaisha filamu zetu katika medali […]

Read More..

Wema Sepetu, Gabo Kuwasha Moto Kwenye Filam...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu pamoja na Gabo Zigamba wataonekana kwenye filamu mpya ‘Heaven Sent’ inayoongozwa na Neema Ndepanya chini ya kampuni ya Fontana Entertainment. Katika filamu hiyo Wema atakuwa kwenye mahusiano na Gabo Zigamba. “Sometimes in Life, You meet people for a Reason…. Im so happy I found the Reason I met you Gabo […]

Read More..

VIDEO:Nasubiri Ripoti ya Wafanyakazi 9000 w...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati Jumamosi hii akizindua majengo ya Hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) amefunguka kwa kusema kuwa anasubiri ripoti ya wafanyakazi wa Serikali zaidi ya elfu tisa ambao wanatumia vyeti vya kufoji. Rais Magufuli amesema kumekuwa na changamoto kubwa katika kila sekta […]

Read More..

Video: Mwigulu Awaongoza Wananchi Kuwaaga P...

Post Image
Read More..

Jux ameachana na Vanessa Mdee?

Post Image

Msanii Jux ambaye awali alikuwa akitoka kimapenzi na msanii Vanessa Mdee amefunguka na kusema kwa sasa yeye hayupo single kama ambavyo watu wanakuwa wakisema lakini pia amekanusha zile tetesi kuwa ameachana na mpenzi wake Vanessa Mdee. Jux alisema hayo jana kupitia kipindi cha Frida Night Live na kusema taarifa ambazo zinasambazwa kuwa sasa yupo single […]

Read More..