Mwili wa Mbunge wa Chadema Wawasili -VIDEO
Dar es Salaam.Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Tulia Ackson leo Alhamisi ameongoza mapokezi ya mwili Mbunge wa viti maalumu (Chadema) Dk Elly Macha. Dk Macha alifariki dunia Machi 31 mwaka huu katika Hospitali ya New Cross, Wolverhampton nchini Uingereza alikokuwa akitibiwa. Baadhi ya viongozi waliokuwepo wakati mwili huo ukiwasili, […]
Read More..





