Ben Pol Akanusha Kutoka na Ebitoke
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Benard Paul maarufu Ben Pol, amefunguka na kusema hana uhusiano wowote na msanii mwenzake Ebitoke, ila watu wameamua kujipa majibu wenyewe. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ben Pol alisema watu wameamua kuongea maneno wanayoona yanaweza kuwapa majibu sahihi lakini yeye ameamua kukaa kimya na muda ukifika ataweka wazi kila kitu […]
Read More..





