Jokate Afunguka Ujio wa Muigizaji wa Nigeri...
MIAKA saba baada ya kushirikishwa kwenye filamu ya The Devils Kingdom na marehemu, Steven Kanumba, staa mkongwe wa filamu kutoka Nigeria, Ramsey Nouah, ametua tena nchini kwa malengo mengine tofauti na filamu. Akizungumza na MTANZANIA, Jokate ambaye alikuwa mwenyeji wa Ramsey nchini, alisema msanii huyo hajaja kwa ajili ya kufanya filamu bali amekuja kama mhamasishaji […]
Read More..