-->

Daily Archives: December 21, 2017

Kilichotokea kwa Kanumba ni sawa na Bob Mar...

Post Image

Msanii wa filamu wa Tanzania Jacob Steven amesema kifo cha Kanumba kilitokea wakati yupo kwenye ‘pick’ kwenye sanaa yake, na kufanya kuonekana wengine waliobaki hawana uwezo zaidi yake. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Rdio, JB amesema si kama Kanumba hakuwa muigizaji mzuri, au hakukuwa na waigizaji wazuri zaidi yake, isipokuwa alifariki katika kipindi […]

Read More..