Yaliyobamba, kutikisa 2017
MASHABIKI wa burudani na sanaa nchini wanahesabu siku tu kabla ya kuuaga rasmi Mwaka 2017 na kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2018. Hesabu zinaonyesha zimesalia siku 9 tu ambazo ni sawa na saa 216 kabla mwaka haujakatika. Lakini mwaka ukiwa unaelekea ukingoni, kuna mambo mengi yaliyojiri yatakayokumbukwa ambayo baadhi yalikuwa ya furaha, mengine ya huzuni na […]
Read More..