Shamsa Ford Awatolea Uvivu Wasioolewa
Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kuwachana baadhi ya wasanii wa kike na watu maarufu ambao hawataki kuolewa au wanasubiri waje kuolewa na watu wenye fedha zao na kudai kuwa watasubiri sana mpaka sura zao ziote sugu. Shamsa Ford amesema hayo wakati akimpongeza msanii Shilole baada ya kuolewa “Hongera sana mamy. Umefanya maamuzi […]
Read More..