-->

Daily Archives: December 27, 2017

Wema Sepetu: Siwezi Kuvunja Kiapo cha Kufun...

Post Image

WEMA Isaac Sepetu amefunguka kuwa, kamwe hawezi kuvunja kiapo alichoweka kuwa akitimiza umri wa miaka 30 bila kupata mtoto atafunga kizazi. Wema aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, kuwa alitoa ahadi kuwa atakapofikisha umri wa miaka 30 bila kunasa ujauzito, basi atafunga kizazi na kwenda kuasili mtoto. “Mwaka ndiyo hivyo unaisha, lakini ahadi yangu iko palepale. Kama […]

Read More..

Sitaki Kuteseka Miye – Rose Ndauka

Post Image

ROSE Ndauka muigizaji wa filamu Bongo anasema kuwa maisha yana nafasi kubwa kwa mwanadamu na unaposhindwa kufanya hivyo lolote linaweza kutokea, endapo kuna jambo unalifanya kama ni sehemu ya kujitatua kimaisha na ugumu kutokea ni kubadilika na kuangalia njia nyingine itakayokusaidia. “Maisha yana nafasi nyingi za kukufanya ufanikiwe ili ndoto zako zifikie usipende kung’ang’ania vitu […]

Read More..

Kwaheri mwaka 2017 karibu 2018

Post Image

MWAKA 2017 ulikuwa mpya, sasa umekatika tukisubiria mwaka mwingine mpya 2018 zikiwa zimebaki siku nne tasnia ya filamu kama ilivyo sekta nyingine ambazo zilikuwa na matukio ya kukumbukwa na kuagwa kwa kuukaribisha mwaka 2018 kwa matukio mapya katika ukuzaji wa tasnia ya filamu Swahilihood kwa waliojifunza wamejifunza na wale waliopoteza ni vema kujipanga kwa mwaka […]

Read More..

Uwoya Amponza Shamsa

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ameoga mvua ya matusi kutoka kwa baadhi ya mastaa wa Bongo Movies baada ya kusema hakuna staa mzuri wa kike kwenye tasnia hiyo kumzidi mwigizaji mwenzake, Irene Uwoya. Shamsa aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, haogopi matusi yao hata kidogo kwani anaonekana mbaya kwa sababu alisema ukweli ambao upo na wala […]

Read More..