Wema Sepetu: Siwezi Kuvunja Kiapo cha Kufun...
WEMA Isaac Sepetu amefunguka kuwa, kamwe hawezi kuvunja kiapo alichoweka kuwa akitimiza umri wa miaka 30 bila kupata mtoto atafunga kizazi. Wema aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, kuwa alitoa ahadi kuwa atakapofikisha umri wa miaka 30 bila kunasa ujauzito, basi atafunga kizazi na kwenda kuasili mtoto. “Mwaka ndiyo hivyo unaisha, lakini ahadi yangu iko palepale. Kama […]
Read More..