-->

Daily Archives: December 22, 2017

Shilole Soon Kumzalia Uchebe Kidume!

Post Image

STAA wa Muziki wa Mduara, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa, kwenye ndoa yake aliyofunga hivi karibuni, atamzalia mumewe, Ashiraf Uchebe mtoto mmoja wa kiume. Akizungumza na Star Mix, Shilole au Shishi Trump alisema, hawezi kusema kuwa hatazaa wakati tayari yupo ndani ya ndoa. “Natarajia kumzalia mume wangu kidume mmoja maana siwezi kuwa kwenye […]

Read More..