-->

Author Archives: editor

Mtitu Awachana Viongozi wa Shirikisho la Fi...

Post Image

DAIREKTA mwenye jina kubwa nchini, William Mtitu amefunguka kuwa kitu kinachoiangusha tasnia ya filamu Bongo ni uongozi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), ambao umeshindwa kuwasimamia wasanii wake vizuri pamoja na kutengeneza mazingira mazuri ya kuwafanya wadau mbalimbali kuvutiwa na tasnia hiyo hata kuwekeza. Akichonga na gazeti hili, Mtitu aliongeza kuwa ili tasnia ya filamu […]

Read More..

Mrisho Mpoto Awafungukia Wakuu wa Wilaya Wa...

Post Image

MWANAMUZIKI wa nyimbo za asili, Mrisho Mpoto, amewaasa wakuu wa wilaya wawatumikie wananchi wao katika wilaya walizopangiwa  katika sherehe za kuapishwa Wakuu wa Wilaya wa Jiji la Dar es Salaam. Akiimba shairi la kuwaasa wakuu hao wa wilaya katika sherehe hiyo, alisema wanatakiwa watekeleze majukumu yao na si kujibweteka na kufanya mambo mengine yasiyo na […]

Read More..

Mr Blue Awakubali Diamond na Zari

Post Image

Mr Blue amesema Diamond na Zari ndiyo couple anayoikubali zaidi. “Ukinitoa mimi na Wahyda couple ambayo naipenda, naielewa ni Zari na Diamond,” Blue alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM. “Yaani wanapendeza unajua eeh, na Mungu amewajaalia wamepata mtoto, wanashirikiana kama marafiki kwenye biashara, wanajua kucheza na akili za raia, wanaitengeneza couple yao ya […]

Read More..

20% Amerudi Tena Ndani ya ‘Kombinenga’,...

Post Image

  Mkali wa Bongo Fleva, 20%  siku ya jana alisaini mkataba chini la Label ya Kombinenga inayomilikiwa na mtayarishaji wa muziki Man Water kutoka katika studio za Combination Sound, 20% aliweza kusaini mkataba wa miaka mitano kufanya kazi chini ya Label hiyo, ambayo itakuwa ikimsimamia katika kazi zake. “Kwa upande wake 20% alisema kuwa sasa […]

Read More..

Iyobo Amtaka Aunt Ajichore Kama Shilole

Post Image

Dansa kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Moses Iyobo ‘Moze’ ambaye ni mzazi mwenza wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson, amemwambia mpenzi wake huyo kuwa na yeye ajichore ‘tatuu’ ya jina lake kama ilivyokuwa kwa msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kwa Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kabla ya kumwagana. Moze alimwambia hayo Aunt baada ya […]

Read More..

Mapya Kutoka kwa Lady Jaydee

Post Image

Mwanamuziki mkongwe katika tasnia ya bongo fleva Lady Jaydee amefunguka na kusema kuwa mpaka sasa tayari ana album nzima iko ndani na anachofanya ni kutoa kazi moja moja kila baada ya miezi mitatu. Leo kupitia kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio. Lady Jaydee amesema album yake imekamilika na inaitwa ‘Woman’ hivyo […]

Read More..

Gabo Zigamba: Atoboa Sababu za Filamu za Ta...

Post Image

Msanii wa filamu, Gabo Zigamba ametoa ya moyoni kuhusu mapungufu ambayo yanafanya filamu za Tanzania kutofanya vizuri katika nchi kubwa hasa zile za kimaitafa. Akizungumza na Ayo TV alisema….‘Pungufu la mwanzo kabisa linatokana na bajeti kuwa ndogo kwahiyo tukianza na bajeti ikiwa ndogo lazima kuna vitu vitatu au vinne vikafanywa na mmoja kwahiyo tayari itakuwa […]

Read More..

Wasanii Hawa Kunogesha ZIFF Mwaka Huu

Post Image

WASANII wa hip hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’, Juma Kassim ‘Juma Nature’, Stamina na Young Killer ni miongoni mwa wasanii watakaonogesha Tamasha la 19 la Kimataifa la Filamu za Nchi za Jahazi maarufu ZIFF, linalotarajiwa kuanza maonyesho yake Julai 9 hadi 17 visiwani Zanzibar. Tamasha hilo limezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki […]

Read More..

Filamu Zinavyowatesa Wasanii Uraiani

Post Image

KATIKA tasnia ya uigizaji kuna mambo mbalimbali unaweza kukutana nayo kwenye jamii, iwe kwa uzuri au kwa ubaya. Japokuwa vinaweza kumpatia mtu umaarufu ingawa mara nyingi hutegemea na jinsi msanii anavyojiweka ama anavyojihusisha na sanaa yake. Kwa upande wa fani ya filamu mara nyingi hilo linatokana na kuuvaa vyema uhusika wa nafasi anayoigiza katika kazi […]

Read More..

Pichaz: Ommy Dimpoz na Wayne Rooney Wakutan...

Post Image

Akiwa nchini Hispania, mkali wa bongo fleva, Ommy Dimpoz amekutana na mchezaji nyota wa nyota wa Manchester United na timu ya uingereza, Wayne Rooney na familia yake kwenye kisiwa cha Ibiza nchini humo. Ommy dimpozi ameweka picha hizi na video mtandaoni.  

Read More..

Wastara Atumia Mil 180 Kununua Mjengo

Post Image

Huku kukiwa na madai mazito ya kumchuna aliyekuwa mumewe ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Khamis Juma, staa wa sinema za Kibongo, Wastara sasa anaripotiwa kununua mjengo wenye gharama ya Sh. milioni 180 za Kitanzania, Wikienda limechimba. Pamoja na misukosuko […]

Read More..

Mabasi ya Haraka Kuanza Kutumia Gesi

Post Image

Gazeti la Habari Leo limeripoti kuwa` msimamizi wa usambazaji gesi katika shirika la maendeleo ya petrol  Tanzania (TPDC), Ismail Naleja, amesema awamu ya pili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam yatatumia nishati ya gesi asilia badala ya mafuta jambo litakalosaidia kupunguza gharama. Kupitia gazeti hilo Naleja amesema matumizi ya nishati hiyo yataanza katika […]

Read More..

Amanda Awafungukia Mastaa Wabwia Unga

Post Image

AMANDA Poshi, staa wa sinema za Kibongo, amewabwatukia baadhi ya mastaa wanaojitangaza kuwa wanatumia madawa ya kulevya baada ya kuathirika kuwa ni wanafiki. Alisema angewaona wana hoja kama wangejitangaza kipindi walipoanza kuyatumia kuliko wakiona yanawashinda ndiyo wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kuomba msaada. “Yaani kila siku wanaambiwa kuwa usipite hapa kuna hatari lakini wao wanakimbilia […]

Read More..

Abdu Kiba:Wasanii wa WCB Wanabebwa na Promo...

Post Image

Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.” “Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae […]

Read More..

Ruby Amjia Juu Said Fella

Post Image

Baada ya Saidi Fella kumzulia jambo msanii Ruby ameibuka na kusema hakuwa na msongo wa mawazo wala nini ila haraka haraka zao ndizo zilisababisha asionekane kwenye video ya ngoma ya Bendi ya Yamoto. Baada ya mkubwa Fella kuzungumza na eNewz na kutufahamisha kuwa mwanadada Ruby ana msongo wa mawazo, kitu ambacho kilipelekea uongozi wa Bendi […]

Read More..

Diamond Ampa Heshima Alikiba

Post Image

Meneja wa Diamond, Babu Tale ameonyesha kuwa wao hawana tatizo na Alikiba baada ya kupost kipande cha video kinachoonyesha picha ya msanii huyo ndani ya studio ya Wasafi Records. Ni muda mrefu imezungumzwa kuwa Diamond na Alikiba wana bifu mpaka kupelekea kuanzishwa kwa baadhi ya team za mitandaoni za kukejeli mafanikio ya msanii wa team […]

Read More..

Jini Kabula Aswekwa Lupango

Post Image

 Kibano! Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amejikuta kwenye mikono ya sheria na kuswekwa lupango baada ya  kumtukana shosti yake, Miss Kinondoni 2009, Stella Mbuge. Kwa mujibu wa mtoa ubuyu wetu makini, Kabula alitaitiwa na polisi usiku wa Jumatano iliyopita mara baada ya kutendo kosa hilo walipokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini […]

Read More..

Video: Mtoto wa Shilole Akionyesha Uwezo Mk...

Post Image

Mtoto wa msanii wa bongo movies na bongo fleva,  Shilole anaeitwa Rahma aonyesha uwezo mkubwa wa kuimba kitendo ambacho kimemshagaza hadi shilole mwenyewe. Mtoto huyo, Rahma alionesha uwezo huo kwenye kipindi cha leo tena cha cloudsfm hivi majuzi. “Sikuwahi kujua kama mwanangu anajua kuimba leo kanisuprise”-Shilole alemadika kwenye ukurasa wake mtandaoni.  

Read More..