-->

Author Archives: editor

Baada ya Chura Kufungiwa, Snura Anakuja na ...

Post Image

Ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu wimbo wa Snura mrembo kutoka kiwanda cha burudani bongo kufungiwa ameamua kuja na wimbo mwingine unaitwa Mende. Snura amesema wimbo wa mende anafikilia kuutoa baada ya mwezi mtukufu wa ramadhani unaotarajia kuanzi mwanzoni mwa mwezi huu “Wimbo wangu wa chura umefungiwa sasa hivi nakuja na wimbo unaitwa mende nimepanga kuutoa […]

Read More..

Picha: Mpenzi Mpya wa Nuh Mziwanda Ajichora...

Post Image

Msichana anaedaiwa kuwa ni mpenzi mpya wa msanii Nuh Mziwanda  amejichora tatoo kwenye mkono wake yenye jina la Nuh Mziwanda. Picha za Msichana huyo akiwa na tatoo hiyo ya ‘NUH MZIWANDA.’ zimekuwa zikisambaa mtandaoni huku ikiadiwa kuwa  Bado Nuh ana tattoo ya ex wake Shishi. Jionee picha

Read More..

Rich Movoko Atua Rasmi WCB

Post Image

Msanii Diamond Platnumz, ameitambulisha rasmi label yake ya ‘WCB’ pamoja na kumsaini Rich Mavoko mbele ya waandishi wa habari. Aidha, Diamond alimtambulisha dada yake, Queen Darleen kuwa mmoja kati ya wasanii wapya wa label hiyo. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa Taifa, Godfrey Mngereza ambaye alizungumza na kumpongeza Diamond huku akiwataka […]

Read More..

Sina Amani Imekuwa Kama Nimeua- Wema Sepetu

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali Wema Sepetu amefunguka ya moyoni kutokana na namna mashabiki wake wa Instgram wanavyomchukulia na kumpa maneno ambayo muda mwingine yanamuumiza na kumkosesha amani na kumfanya ajione ni kama mkosaji mkubwa. Wema Sepetu ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ha hayo yamekuja baada ya watu kuanza kusema maneno mbalimbali kwa […]

Read More..

Nuh Mziwanda atoboa Siri ya ‘Jike Shupa’

Post Image

Nuh Mziwanda amefunguka kile kilichojificha kwenye wimbo wake wa ‘Jike shupa’ ambao kwa sasa unafanya poa, aliomshirikisha Alikiba, na jinsi alivyoupokea kwa mara ya kwanza. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Nuh Mziwanda amesema Alikiba alimtaka Nuhu autoe wimbo huo bila yeye kutia sauti yake, kwani aliuona umekamilika na mzuri pia. […]

Read More..

Snura Amkabidhi Jipu Mama Samia

Post Image

STAA wa muziki Bongo, Snura Mushi ameibuka na kumkabidhi Makamu wa Rais, Samia Suluhu jipu la wanaume wanaowakataa watoto wao na kuwaachia wanawake mzigo wa kulea peke yao. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Snura alisema siku hizi wimbi la wanaume kuwakataa watoto wao ni kubwa sana hivyo tatizo hilo ni sawa na majipu mengine, anamuomba mama […]

Read More..

Hizi Ndizo Movie Mpya Zilizotoka Hivi Sasa

Post Image

  MOVIE MLANGONI: Sasa mashabiki wa bongo movies unaweza kujipatia nakala yako ya Movie zote kutoka Steps Entertainment popote pale ulipo. Kwa Bei rahisi kabisa; Kwa shilingi 5000/= -DVD na  3000/= -VCD Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489 Kuletewa filamu hizi. Pia kama unataka kuwa wakala wa kuuza filamu zetu wasiliana […]

Read More..

Mzee Majuto Akanusha Kustaafu Kuigiza

Post Image

Msanii wa filamu za kuchekesha, King Majuto amekanusha taarifa ambazo zilizagaa katika mitandao ya kijamii kwamba amestaafu kuigiza. Akiongea katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Jumatano hii, Mzee Majuto amedai sio kweli kwamba amestaafu kuigiza ila kuna baadhi ya filamu ambazo hatafanya tena. “Watu wameniwekea maneno mdomoni, sijasema nimeacha kuigiza,” alisema Majuto.“Wakati nipo […]

Read More..

Hatimaye Siwema wa Nay Atoka Gerezani!

Post Image

HABARI njema! Mzazi mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson aliyehukumiwa miaka miwili jela kwa kosa la kutishia kwa njia ya mtandao, hatimaye ametoka jela. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, Nay wa Mitego alisema katika harakati za kushughulikia ili mzazi mwenzake huyo atoke alifanikiwa kupata mawakili wawili ambao mpaka […]

Read More..

Babu Tale na Kalapina watajwa kama Chid Ben...

Post Image

Akizungumza na eNewz mmoja wa wahusika wa Sober House ambae hakutaka kutajwa jina lake amesema, ikitokea Chidy atarudia kutumia dawa za kulevya tena basi wasimamizi wake ambao walimpeleka pale kwa mara ya kwanza watakuwa wamehusika kutokana na wao kushindwa kumtimizia ahadi walizokuwa wamempatia. Aidha, ameongezea kuwa mteja ni kama mtoto mdogo ukimuahidi kitu basi lazima […]

Read More..

Duma, Mboto , Dude na Riyama Kuja na ‘Mch...

Post Image

Baada ya kufanya vizuri katika filamu ya mfadhili wangu sasa anakuja kivingine hapa namzungumzia Daudi Michael (Duma) anakuja na filamu yake mpya ambayo imeshutiwa mikoa miwili dar na morogoro, Inaitwa (Mchongo Sio ) ambayo ameshirikiana na mastaa wenzake kibao kama Haji salum (Mboto) Kulwa Kikumba (Dude) Riyama Ally Mzee Kolongo Lukey Lukam…Rucky Baby Mwahija Mvungi […]

Read More..

Hakuna Shida mtu Kuvaa Kimini Kama Mtu Ana ...

Post Image

Staa wa Filamu Bongo Rose Ndauka  amefukunga kuwa haoni kama kuta tatitzo kwa wadada wa bomgo movies kuvaa vimini kwenye filamu wanaozocheza kama wana miguu mizuri ya kuvalia. Akizungumza na eNewz Rose aliweza kutoa maoni yake kuhusiana na kauli iliyokuwa imetolewa na nguli wa filamu nchini Bibi Hindu dhidi ya wasanii wa kike wa Bongo […]

Read More..

Miaka kumi na moja ya Jay Mo bila video

Post Image

Wakati wasanii wengine wa Bongo fleva wakizidi kutoa video kali ili waendelee kuwa juu katika ‘Game’ ya muziki lakini imekuwa tofauti kwa Rapa Jay Mo kwani ana miaka kumi na moja hajaachia video yeyote. Akizungumza na eNEWS Jay Mo alisema mara ya mwisho yeye kutoa video ya ngoma yake ilikua mwaka 2005 ngoma ambayo aliifanya […]

Read More..

Wastara Kufunga Ndoa Kisiri Kabla ya Ramadh...

Post Image

Katika hali ya Kushitukiza inasemekana kuwa staa wa Bongo Movies Wastara Juma ana mipango ya kufunga ndoa siku za usoni kabla ya Ramadhani.   Mtu wa karibu wa Wastara Juma ambaye Hakutaka jina lake litajwe alimthibitishia muandishi wa footprinttz kuwa ni kweli Wastara anatarajia kuolewa. ” Ni Kweli Wastara anafunga Ndoa Siku Si Nyingi Ila […]

Read More..

Picha: Harmonize Amtambulisha Wolper Ukweni

Post Image

Wikiiliyopita staa anaechipukia kwenye bongo fleva Harmonize alimpeleka mpenzi wake Jacqueline Wolper kwao Mtwara alikoenda kutumbuiza kwa mara ya kwanza tangu aukwae ustaa kupitia label ya WCB. “Time Ya Kumsaidia mama Harmo Kuanda Chakula Cha Usiku Mtwara Life @wolperstylish,” aliandika Harmonize kwenye picha inayomuonesha Wolper akichuma matembele shambani. Naye Wolper alipost picha akiwa na mama […]

Read More..

Muigizaji Da Zitta Anusurika Kifo Katika Aj...

Post Image

AKIWA katika harakati za kukamilisha filamu yake mpya ya ‘Nuru’ muigizaji, Zitta Matembo maarufu kwa jina la Da Zitta amenusurika kifo katika ajali ya gari akiwa anaelekea nchini Kenya kwa maandalizi ya filamu hiyo. Muigizaji huyo aliyetamba katika filamu ya ‘Gundu’ aliyomshirikisha Anty Ezekiel mwanzoni mwaka huu alifiwa na baba yake mzazi, Fidelis Hokororo Matembo […]

Read More..

Prof. Elisante Awaasa Wasanii Kuacha haya

Post Image

Serikali imesema ina nia njema na wasanii na kuwataka kutojihusisha na vitu haramu, kwani sio mfano mzuri kwa jamii wakiwa kama kioo kwao. Kauli hiyo ya serikali imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo. “Serikali kwa kweli ina nia njema […]

Read More..

KR Mullah Afunguka Kuhusu TMK Family na Rad...

Post Image

Rappa KR Mullah amesema yeye bado ni msanii wa TMK Wanaume Family na Radar Entertainment yupo kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali kutoka kwa vijana. Akiongeza na Bongo5 Jumapili hii, KR amesema hawezi kuondoka TKM Wanaume Family kwa kuwa yeye ni mmoja kati ya waanzilishi wa kundi hilo lenye maskani yake Temeke jijini Dar es […]

Read More..