-->

Author Archives: editor

Dudu Baya Amuomba Radhi Shetta

Post Image

Msanii Dudu baya ambaye alikuwa na ugomvi na msanii mwenzake Sheta, na kumtolea maneno machafu kwenye kipande cha video kilichosambaa kwenye mitandao ya kijamii, amemuomba msamaha msanii huyo na kumtaka kuwe na amani kati yao. Kwenye ukurasa wake wa instagram Dudu Baya amepost picha ya Sheta huku akiandika ujumbe mrefu wa kumuomba radhi msanii huyo. […]

Read More..

Hii Ndiyo Mipango ya Diamond kwa Mwaka Huu

Post Image

Pamoja na kuwa tumekuwa tukimshuhudia Diamond Platnumz akitangaza kolabo na wasanii wa kutoka Marekani lakini hakuna hata moja tuliyoona hata cover yake,mwaka jana rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete alimuunganisha Diamond na meneja wa Trey Song na ikasema kuwa kuna kolabo itafuta hiyo ni mbali na Swizz Beats,Alicia Keys,Alaine,Kanye West na wengine,na hivi karibuni […]

Read More..

Babu Yake Wastara Aeleza kilichosababisha N...

Post Image

Babu yake Wastara amefunguka na kueleza kilichosababisha kuvunjia kwa ndoa ya Wastara na Mbunge wa Donge kupitia CCM Sadifa Khamis Juma. Akizungumza na Times Fm, Babu huyo aliweka bayana kuwa Mbunge huyo mwenye cheo ndani ya umoja wa vijana CCM, alifikia hatua ya kuwatongoza wafanyakazi wa ndani ili awe nao kimapenzi. “Wastara hataki kurudiana na […]

Read More..

Gadner G Habash Arejea Clouds FM

Post Image

Mtangazaji mkongwe nchini, Gadner G Habash, amerejea tena kwenye kituo chake cha awali, Clouds FM. Gadner anajiunga tena na redio hiyo akitokea EFM alikokuwa akifanya kipindi cha jioni cha Ubaoni. Kabla ya EFM, Gadner alikuwa mtangazaji wa kipindi cha Maskani cha Times FM. Mtangazaji huyo anatarajiwa kurejea kwenye kipindi chake cha jioni, Jahazi. Mtangazaji huyo […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Kundi la Elephant na New ...

Post Image

Wasanii wa kundi la Elephant na New Brain wakitoa sadaka katika kituo cha watoto waishio katika mazingira magumu Magomeni Mikumi. wakiongozwa na kampuni ya Steps Entertainment kwaajili ya uzinduzi wa filamu mpya ya QUEEN ELIZABETH.

Read More..

Nuh Mizwanda Atoboa Alichokuwa Akikifanya k...

Post Image

Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Shilole, Nuh Mziwanda amedai wakati yupo kwa Shilole alikuwa hafanyi muziki bali alikuwa akifanya mapenzi.   Akizungumza katika kipindi cha Clouds E, Jamatatu hii, Nuh alisema hali hiyo ilimfanya apotee kimuziki na kukiki zaidi kimapenzi. “Kwa Shilole nilikuwa nikifanya mapenzi sio muziki, ndio maana ukaona kwenye upande wa muziki sikuwa […]

Read More..

Filamu ya Baba na Mwana ni Kali Sana – Ki...

Post Image

KINYE Mkali mkurugenzi wa Kinye Mkali Picters amejisifia kuwa filamu yake ya Baba na Mwana ni sinema ya kipekee na haina mfano wake kwani ni kazi ambayo ameifanya kwa umakini mkubwa na itasambazwa na kampuni hiyo nchi nzima. “Kila siku tunajitahidi kufanya kitu kilicho bora zaidi hasa katika masuala ya burudani na elimu kwa jamii, […]

Read More..

Mzee Kambi Kuachia Filamu ‘Dar to Washing...

Post Image

Msanii wa filamu, Hashim Kambi amesema filamu yake mpya ‘Dar to Washington DC’ ambayo ilikuwa ikiandaliwa nchini Marekani huku ikishirikisha wasanii wa Tanzania na Marekani imekamilika. Mwigizaji huyo ambaye bado jupo nchini Marekani, ameuambia mtandao wa Filamucentral kuwa, yupo mbioni kurudi Dar baada ya kukamilisha kazi hiyo. “Ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tumemaliza kushoot […]

Read More..

Wake Zangu Wananivuruga Akili-Mzee Yussuf

Post Image

Mkurugenzi wa Kundi la Jahazi Modern Taarabu, Mzee Yussuf amesema hakuna kitu kinamuumiza kichwa kama kutoelewana kwa wake zake wawili.   Akizungumza katika kipindi cha Sporah Show cha Clouds TV, Mzee Yussuf amesema anapitia wakati mgumu sana kuwamiliki wake wawili anaowapenda wakati wao hawapendani. “Kusema kweli napata wakati mgumu kuwahandle, yanii linanivuruga sana hili swala,” […]

Read More..

Wananiroga Sana – PNC

Post Image

Msanii PNC ametoa sababu ya yeye kutofanya vizuri sasa hivi kwenye kona ya muziki, huku akihusisha imani za kishirikina, ambazo hivi karibuni baadhi ya wasanii wamekiri kuwepo kwa mambo hayo. PNC ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa pamoja na kuwa ameshawahi kufanya kazi zingine […]

Read More..

Je ni Kweli Video hii ya Wema Sepetu Imeuvu...

Post Image

Mara baada ya video ya Wema Sepetu aki-kiss na jamaa mwingime kusambaa mtandaoni, mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan ambaye anadaiwa kuwa bado yupo kwenye mahusiano na Wema sepetu inasemekana kuwa video hiyo imemuumiza sana moyo.     Idris amepost picha hiyo chini kwenye mtandao wa Instagram na kuandika: “I have learnt to consider […]

Read More..

Shamsa, Faiza Washerehekea Kulea Wenyewe!

Post Image

Kweli? Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Shamsa Ford na Faiza Ally wametamba kuwa wanasherekea maisha ya ‘usingo mama’ wakidai wanalea wenyewe watoto wao bila wazazi wenzao. Wakizungumza na Wikienda kwa pamoja wakiwa kwenye viwanja vya bata jijini Dar, Shamsa na Faiza walidai kuwa, pamoja na wazazi wenzao kukaa pembeni na kuwaachia majukumu ya kulea, ‘wanainjoi’ […]

Read More..

Irene Uwoya Adai Anapenda Kuigiza ‘scene...

Post Image

Staa wa filamu Irene Uwoya amesema anapenda sana kuigiza ‘scene’ za mapenzi katika filamu kwa sababu ni kitu ambacho anaweza kukifanya kwa ukamilifu zaidi.   Muigizaji huyo ambaye alionyesha uwezo mkubwa katika filamu ya Fair Decision, Pretty Girl pamoja na Oprah, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa filamu ya Oprah ndio filamu ambayo ilimpa […]

Read More..

Wasanii Zaidi ya 70 Wajitokeza Usaili wa Fi...

Post Image

ZAIDI ya wasanii wa kike na mastaa wa filamu Bongo 70 wenye umri kati ya miaka 16 na 30, wamejitokeza katika usaili wa filamu mpya ya ‘Xballer’ uliofanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Aliyeongoza zoezi zima la usaili huo ni prodyuza na mwigizaji mkuu katika filamu ya ‘Going Bongo’, Ernest Napoleon […]

Read More..

Wengi Hawapo Tayari Kupiga Vita Dawa za Kul...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo Fleva Rehema Chalamila kama Ray C amefunguka na kusema kuwa watu wengi hawapo tayari kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya nchini jambo ambalo linazidi kuwapoteza vijana wengi kutokana na matumizi ya dawa hizo. Kupitia Account yake ya Instgram Ray C aliyasema haya na kuwataka vijana wa Tanzania kusimama mstari […]

Read More..

Raila Odinga Amtembelea Rais Magufuli Nyumb...

Post Image

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya Mheshimiwa Raila Amoro Odinga amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyopo mapumzikoni katika Kijiji cha Kilimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita. Mheshimiwa Odinga ambaye ameongozana na mkewe Mama Ida Odinga na Binti yake Winnie Raila Odinga, wametua kwa Helkopta katika uwanja wa […]

Read More..

Juma Nature Ndiye Alikuwa Mkubwa Wanaume Fa...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava nchini Chege Chigunda amesema msanii mwezake Juma Nature ndiye msanii alikuwa mkubwa kuliko yeye na wenzake katika kundi la Wanaume Family na kuwafanya watambulike kwenye ramani ya muziki. Chege ameonyesha wazi kumkubali Juma Nature alipokuwa akizungumza katika kipindi cha MKASI kinachorushwa kila siku ya Jumatatu na kituo cha EATV. Msanii Chege […]

Read More..

Jide: Sijampiga Kijembe Gardner

Post Image

MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide, amefunguka kuwa katika wimbo wake mpya wa Ndindindi, hajampiga kijembe  aliyekuwa mumewe, Mtangazaji Gardner G. Habash kama wengi wanavyodhani. Akizungumza na mwanahabari wetu, Jide alisema wimbo huo ulitungwa na watu wake tofauti na yeye kuukamilisha hivyo kwa kuwa umebeba ujumbe mzito ni rahisi mtu kuhisi […]

Read More..