-->

Author Archives: editor

Prodyuza wa Going Bongo Kuchukua Wasanii Bo...

Post Image

WASANII wanaochipukia wametakiwa kujitokeza katika usahili wa filamu mpya ya mshindi wa tuzo ya filamu bora Afrika Mashariki katika tuzo za Filamu za Kimataifa kwa nchi za Jahazi (ZIFF) kupitia filamu yake ya Going Bongo, Ernest Napoleon, utakaofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Usahili huo utakaoanza kwa wasanii wa kike wenye umri kati ya […]

Read More..

Snura: Sitaki Mtoto Mwingine wa Nje ya Ndoa

Post Image

LICHA ya kuwa na watoto wawili kwa baba tofauti, mkali wa kuimba na kunengua, Snura Mushi, amesema kwa sasa hataki apate mtoto mwingine hadi atakapoolewa. Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Chura’ alisema wanaume aliowahi kuwa nao kimapenzi hawakuwa na msimamo na mwelekeo anaoutaka hivyo kwa sasa anataka mwanaume mwenye maadili, imani na upendo kwake, […]

Read More..

Profesa Jay Afunguka Kuhusu Chid Benz

Post Image

Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ (pichani) amesema hali ya Mbongo Fleva, Rashid Abdallah Makwiro (31) ‘Chid Benz’ ni matokeo ya matumizi yaliyobebea ya madawa ya kulevya ‘unga’, Amani lina mchirizi wake. Hivi karibuni, Chid Benz aliripotiwa na baadhi ya mitandao ya kijamii akionekana na […]

Read More..

Niliamua Kukaa Kimya kwa Malengo- Lady Jayd...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva nchini Judith Wambura a.k.a Lady Jay dee amesema yeye kukaa kimya kwa muda mrefu bila kutoa wimbo siyo kwamba alifulia bali aliamua kutotoa wimbo kwa malengo. Jaydee ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na EATV kuhusiana na yeye kukaa muda mrefu kabla ya juzi kuachia ngoma mpya aliyoipa jina la ‘Ndi Ndi Ndi’ […]

Read More..

Ningemtaja Anayeniuzia Madawa ya Kulevya â€...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi Kipya Madee amesema wao kama wasanii wamekuwa wakijitahidi kufanya harakati za kupambana na madawa ya kulevya, lakini serikali imekuwa haiwaungi mkono kwa kiasi kikubwa na kuwapelekea kukwama Madee ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Television, na kusema kuwa wao kama wasanii pekee hawana uwezo wa kupambana moja kwa moja, […]

Read More..

Namtaka Wema Sepetu Kwa Gharama Yoyote- Ibr...

Post Image

NYOTA wa filamu Nchini Burundi na Rwanda Ibrahim Ismael ‘Ic’u Ibrah’ amefunguka kwa kusema kuwa moja kati ya ndoto zake ni kuigiza filamu moja kubwa na Madame Wema Sepetu kwani ni msanii anayeamini kuwa ni mwigizaji mzuri na anaweza kuigiza. “Nashukru kwa mara ya kwanza kuigiza na actress kutoka Tanzania Shamsa Ford, lakini nitafurahi sana […]

Read More..

Wasanii Wengi Bongo Wanatumia Unga – ...

Post Image

Meneja wa wasanii wa muziki kutoka Tip Top connection Hamisi Tale Tale maarufu kwa Babu Tale, amesema kuwa wasanii wengi kwa sasa wanatumia madawa ya kulevya, na hii ni kutokana na kuiga mambo ya Marekani. Babu Tale ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye Planet Bongo inayorushwa na East Africa Radio, na kueleza kuwa alipokuwa akimpeleka rehab […]

Read More..

Sijui Kitu Gani Kinatusibu- Lulu

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu na mshindi wa tuzo za African Magic Viewers Choice Awards (AMVCA) Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kwa kusema kuwa haelewi kitu gani kinawala wasanii wa filamu kukosa umoja na ushirikiano kwa kila jambo zaidi ya kuombena mabaya tu. “Nimejifunza mengi sana katika tuzo za African Magic hasa kwa wenzetu wa Naijeria wanapendana sana […]

Read More..

Faiza Ataja Sababu za ‘Reality TV Show’...

Post Image

Msanii wa filamu Faiza Ally ameeleza kuwa mzazi mwenzie ‘Baba Sasha’ amesababisha reality TV show yake ‘Star’ kushindwa kuonekana EATV licha ya kukubaliana na uongozi wa runinga hiyo kirushwe. Kupitia instagram, Faiza ameandika: Siwezi kunyamazia hizi habari zaidi nimeona ni share na watu wote wajue sijajua zitani cost kiasi gani lkn niko tayari kuface chochote […]

Read More..

Chuchu, Johari Wamaliza Bifu

Post Image

Habari mpya mjini kwa sasa ni kuwa wale mahasimu wawili wa muda mrefu, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambao ni mastaa wenye majina makubwa katika kiwanda cha filamu nchini, wamemaliza tofauti zao na sasa ni mashostito wakubwa, Risasi Mchanganyiko lina ubuyu mzima. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa, mabinti hao ambao sababu ya […]

Read More..

Wastara Aeleza Sababu ya Kumpiga Kofi la Kw...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma, alimpiga kofi la kweli mwanadada Diana Kimaro, ambalo mpaka lilitoa chozi Diana wakiwa na wanaigiza filamu ya FAULO. Lakini hata hivyo baada ya kumaliza kuigiza filamu hiyo, aliamua kumuomba msamaha kwa kumpiga kofi hilo ambalo lilimtoka kwa hasira. Wastara anasema alijikuta akimpiga kofi hilo kwakuwa aliigiza kama mwanaye, akajikuta […]

Read More..

Lady Jaydee Afunguka Kuhusu Mahusiano Yake

Post Image

Msanii wa siku nyingi wa Bongo Fleva hapa nchini Judith Wambura a.k.a Lady Jaydee amewaomba watanzania wampende yeye kama yeye na si kumfuatilia kuhusu mahusiano yake kimapenzi. Jaydee ameyasema hayo katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa baada ya mtangazaji Sam Misago kumuuliza swali kwamba kuna […]

Read More..

Filamu ya ‘7314Munu Mukuru’ Kutoka Mwez...

Post Image

BAADA ya kufanya vizuri kwa filamu ya ‘Mr. Makuka’ msanii wa filamu Tanzania, Bakari Makuka ‘Beka’, yupo mbioni kuachia filamu mpya inayokwenda kwa jina la ‘7314Munu Mukuru’. Beka alisema katika filamu hiyo amewashirikisha wasanii wakongwe akiwemo, Fatuma Makongoro, ‘Bi Mwenda’, Chuchu Hans, Haji Salum ‘Mboto’, Pacho Mwamba na wasanii wengine wengi. “Filamu hii nataraji kuiachia […]

Read More..

Natamani kuwa na Mahusiano na Wizkid-Linah ...

Post Image

Msanii wa bongo fleva nchini Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa alikuwa anatamani na bado anatamani sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Wizkid kutoka nchini Nigeria. Akipiga stori kwenye kipindi cha eNEWS kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana (EATV) Linah Sanga alisema kuwa toka kipindi cha nyuma alikuwa anatamani kuwa na msanii […]

Read More..

Diamond Ateketeza Sh.Mil 100 Ulaya

Post Image

DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa habari kamili. Diamond aliyeambatana na wanafamilia kama 14 wakiwemo Zarinah Hassan ‘Zari […]

Read More..

Msanii Huwezi Kufanya Kazi Peke Yako- Lady ...

Post Image

Msanii mkongwe katika muziki wa bongo fleva , Lady jaydee maarufu kama Komando ambaye sasa anatamba na wimbo wake mpya wa ‘Ndi Ndi ndi’ amefunguna na kuweka wazi sababu zilizomfanya kuwa chini ya uongozi na kudai kama msanii huwezi kufanya kazi kazi peke yako. Lady Jaydee alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Planet bongo alidai kuwa aliamua […]

Read More..

Nipo Kwenye Mahusiano Salama -Mwasiti

Post Image

Msanii wa bongo fleva hapa nchini Mwasiti Almasi amesema kwamba muonekano wake kwa sasa ni kutokana na kwamba yupo kwenye mahusiano ambayo ni salama. Mwasiti ametoa ya moyoni alipokuwa akizungumza na EATV kuhusiana na mwonekano wake kwa sasa kuonekana anavutia zaidi tofauti na siku za nyuma. ”Muonekano wangu kwa sasa nina mapenzi ambayo ni salama […]

Read More..

Khadija Kopa Adai Umri Unamtupa Mkono, Ajip...

Post Image

p>Malkia wa muziki wa taarab nchini, Khadija Kopa amesema kwa sasa anajipanga kuwekeza zaidi kwenye biashara kwa kuwa umri wa kuimba unamtupa mkono. Akizungumza katika kipindi cha Uhondo cha EFM Ijumaa iliyopita, Khadija amesema moja ya biashara kati ya zile ambazo anatarajia kuzifungua ni mgahawa. “Hivi sasa nampango wa kufungua mgahawa mkubwa, nataka nifungue na […]

Read More..