-->

Author Archives: editor

Kuvunjika Ndoa ya Rayuu, Mashehe Waingilia ...

Post Image

Baada ya uvumi kuwa staa wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ ameachika kwenye ndoa yake ambayo imedumu kwa siku nne tu huku chanzo kikiwa ni familia ya mwanaume, hatimaye mashehe wameamua kuingilia kati kuinusuru ndoa hiyo. Februari 26, mwaka huu, Rayuu alifunga ndoa na mwanaume mwenye asili ya Kiarabu, Ahmedi Said lakini siku ya nne […]

Read More..

Lulu Kutua Kesho na Tuzo Yake

Post Image

Tunajua ni Watanzania wawili walishinda tuzo mbili kwenye usiku wa tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards, wa kwanza ni Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo Richie tayari alisharudi nyumbani Tanzania usiku wa March 6 2016 ila Lulu hakutokea Airport japo baadhi ya watu walimtarajia. Lulu alishindwa kutokea jana akiambatana na Richie na kuiambia […]

Read More..

Mwasiti: Wanawake Tuwekeze Kwenye Ardhi Siy...

Post Image

MSANII wa muziki wa Zouk, Mwasiti Almasi, amewaasa wanawake waachane na matumizi mabaya ya fedha kwa kununua nywele, vipodozi na nguo za gharama, badala yake watumie fedha hizo kuwekeza katika ardhi. Mwasiti anawaasa wanawake wenzake kuelekea maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani inayoadhimishwa kesho ambapo msanii huyo na wenzake watatu watatumbuiza katika tamasha maalumu litakalofanyika […]

Read More..

Van Vicker Anaamini Tanzania Itapasua Zaidi...

Post Image

MUIGIZAJI nyota wa Ghana, Joseph van Vicker, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuendelea kutamba baada ya wasanii wake wawili kushinda tuzo. Single Mtambalike ‘Rich Rich’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wameibuka washindi katika African Magic People’s Choice Awards zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Eko kwenye Kisiwa cha Victoria jijini hapa, juzi. Akizungumza na Championi […]

Read More..

Mapokezi ya Richie Uwanja wa Ndege wa Kimat...

Post Image

USHINDI huwa ni chachu kwa kila ashindaye hayo yamejitokeza leo usiku baada ya watayarishaji waliokuwa Naijeria kuingia mnamo saa saba kasoro wakiwa na mshindi mmoja aliyeshinda tuzo ya kipengele cha Filamu ya Lugha ya kigeni. Mwakifwamba na Amili Keki Richie danga Richie akiwalisha wanaye keki Amil, Honeymoo na Richie shampen Dude akila Keki Jb akilishwa […]

Read More..

Ali Kiba: Serikali Iweke Mkono Bongo Movie

Post Image

MWANAMUZIKI Ali Saleh Kiba amesema ingekuwa jambo zuri kama wasanii wa Bongo Movie watapewa nguvu zaidi na serikali. Kiba ameyasema hayo wakati akizungumzia ushindi wa Watanzania Single Mtambalike ‘Rich Rich’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wakati wa tuzo za African Magic People’s Choice Awards zilizofanyika katika Hoteli ya Eko kwenye Kisiwa cha Victoria jijini Lagos, Nigeria, […]

Read More..

Picha: Kitao cha Maandalizi ya pati ya was...

Post Image

Kikao cha kwanza cha maandalizi ya part yangu ya pongezi kwa mengiiiiii niliyopitia Mpka hapa nilipofikia Na kuna wale waliokosa mengiii yangu awakufanikiwa kuhudhuria basi Nimeamua kuandaa hii part kwa ajili ya wasaniii wenzangu ndugu zangu marafiki zangu na wengineo wengiiii waliyo tayari kuwa pamoja nami ikifika wakati moyo unahitaji furaha na nafasi ya kuipatia […]

Read More..

Wema, Kajala Acheni Utoto Bwana!

Post Image

KWENU warembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ na Kajala Masanja. Habari zenu binafsi? Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku. Kitambo kidogo sijawaona lakini naamini pumzi ya bure mnaendelea kuivuta ndiyo maana nasikia matukio yenu kwenye vyombo vya habari. Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru […]

Read More..

Tanzia: Mzee Tofi Afariki Dunia Tanga

Post Image

MCHEKESHAJI Mahiri Salimu Athuman (Tofi) mwenye lafudhi ya Kichaga amefariki jana nyumbani kwake Duga Mwembeni mchana FC iliongea na Katibu wa TDFAA mkoa wa Tanga ndugu Raphael William Kiango na kudhitisha kifo hicho kwa mujibu wa familia yake. “Mzee wetu msanii mwezetu Tofi amefariki mchana akiwa nyumbani kwake na likuwa akisumbuliwa na ugonjwa Kansa ya […]

Read More..

Lulu na Richie wanyakua Tuzo Usiku wa Jana,...

Post Image

Usiku wa jana Tanzania imeingia kwenye headlines tena baada ya waigizaji wa Tanzania kuchukua Tuzo Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria ambapo mwimbaji toka Tanzania Alikiba  alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo. Wasanii wa Filamu Tanzania Elizabeth Michael na Single Mtambalike wamefanikiwa kuondoka na tuzo moja kila mmoja ambapo Elizabeth Michael (Lulu) amechukua […]

Read More..

Richie na Lulu Watua Lagos, Nigeria Kwenye ...

Post Image

Mastaa wa Bongo Movies, Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wameshatua jijini Lagos, Nigeria kwaajili ya kuhudulia utoaji wa tuzo za filamu za Africa Magic Viewers Choice Awards zitakazo fanyika siku ya leo jijini humo. Richie anawania tuzo  katika kipengele cha Best Movies-East Africa kupitia filamu yake ya KITENDAWILI wakati Lulu naye anawania tuzo […]

Read More..

Baba Levo: Wanaosema Shilole Kachuja ni Ki...

Post Image

Baba Levo ambaye hivi sasa ni mheshimiwa Diwani Kata ya Mwanga Kigoma kwa tiketi ya ACT Wazalendo amefunguka na kusema kuwa wanaosema Shilole amechuja ni kina nani hao? Baba Levo alijiuliza hilo na kuzua utata kwani baadhi ya watu walianza kuhisi kwamba watu hao ni wapenzi kutokana na ukaribu wao pindi Baba Levo anapokuwa Dar es […]

Read More..

Utumbuaji Majipu Sasa Watua Kariakoo kwa We...

Post Image

UNAPOSEMA Serikali ya awamu ya tano ilichoahidi lazima kifanyike ni kweli kabisa hivi karibu Mh. Nape Moses Nnauye alisema kuwa atahakikisha kuwa wale wanaojipatia fedha kwa njia za ujanja ujanja mwisho wao umefika lazima washughulikiwe kulinda maslahi ya Wasanii wa Tanzania. Jana ilikuwa ni siku mbaya kwa wale wauuzaji wa filamu za nje baada ya […]

Read More..

Picha: Diamond Akutana na Kanye West Mareka...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz  ameshare picha akiwa na mkali wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Kanye West. Diamond alisafiri kuelekea Marekani Las Vegas kwa ajili ya kufanya  show, ambapo kwenye maelezo ya hii picha, ilionekana wakati huo alikuwa Los Angeles.

Read More..

Ali Kiba Alikuwa Analia Studio -Chid Benz

Post Image

Msanii Chid Benz alimaarufu kama Chuma amefunguka na kusema wakati wana rekodi wimbo wa ‘Hasira za Nini’ ambao alimshirikisha Ali Kiba. Anadai ilifika mahali msanii King Kiba alidondosha chozi. Kupitia kipindi Cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo Chid benz alipewa “Heshima ya bongo fleva” alifunguka na kusema wakati wapo Mj Records kufanya kazi […]

Read More..

Jide Ndoa Tena

Post Image

Siku chache baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, mtangazaji Gardner G. Habash ‘Captain’, mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva anayekuja na ujio mpya alioubatiza jina la Naamka Tena, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au Jide amedaiwa kupata mwanaume mwingine ambaye yupo kwenye mikakati kabambe ya kumuoa, Risasi Jumamosi lina ubuyu kamili. Jide ambaye amekuwa kimya […]

Read More..

Uvumilivu Umemshinda Vanessa Mdee Kisa Jux

Post Image

Msani wa bongo fleva Vanessa Mdee maarufu kama V Money ameshindwa kuvumilia baadhi ya Comments zinazotolewa na baadhi ya mashabiki wake kwenye account yake ya Instgram baada ya msanii huyo kumzungumzia mpenzi wake Jux. Inafahamika kuwa wiki hii Jux atakuwa na show kadhaa katika mikoa mbalimbali hivyo mwandani wake Vanessa Mdee alichukua muda kumpa support […]

Read More..

Sipendi kuisikia ‘DSM Stand Up’ – Chid Benz

Post Image

Msanii Chid Benz amesema huwa hapendi kuisikiliza nyimbo yake ya Dar es salaam Stand Up na kwamba hata anapo ‘perform’ jukwaani hujisikia vibaya. Chid Benz ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema ukubwa wa wimbo huo unamuumiza hisia zake, hivyo hujisikia vibaya kila anapousikiliza. “Hii nyimbo […]

Read More..