-->

Author Archives: editor

Picha: Lulu Asifiwa ‘Mitupio’

Post Image

Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael’Lulu’ amemwagiwa sifa mtandao kuwa ni moja ya mastaa wanao penda mitindo ‘Fashion’ kitu ambacho kinamfanya kuonekana mrembo zaidi kile leo. Tofauti na mastaa wengi wakike wa hapa bongo Lulu kupitia ukurasa wake wa Instagram amekuwa akitupia picha akiwa amevalia mitindo mbalimbali ya mavazi na nywele. Lulu amekuwa […]

Read More..

Nikipata Mwanamke Atakayeweza Kuziba Nafasi...

Post Image

Ingawa Shilole tayari amefunika tattoo aliyochora kifuani yenye jina la ex wake Nuh, kwa kuongeza mchoro wa ua juu yake baada ya wawili hao kuachana, Nuh Mziwanda amesema yeye bado hajaamua kufuta tattoo zake. Nuh ambaye alichora tattoo mbili, moja ikiwa na jina la Shishi Baby na nyingine ikiwa na sura ya Shishi amesema kuwa […]

Read More..

Faiza Ally Afungukia Mavazi Yake na Kushaur...

Post Image

Inawezekana kuvaa nguo fupi au bikini ni tatizo hasa ktk upande wa imani zetu kutokana na maamrisho ya vitabu. Lkn Lkn hakuna tatizo kubwa kuliko kumtangazia mtu sifa mbaya – unapo sema maneno mabaya unatengeneza sumu mbaya sana kwenye mioyo na fikra za watu…tofauti na yale mavazi maana akisha vaa anavua mwisho wa siku ni […]

Read More..

Mazito Yaibuka Ndoa Mpya ya Wastara

Post Image

Dar es Salaam: HAYA ni mazito! Nyuma ya shughuli ya kuolewa kwa staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma iliyofungwa Alhamisi iliyopita, kuna matukio ya kustaajabisha ambayo Ijumaa Wikienda limeyabaini. Ndoa hiyo iliyofungwa kimyakimya, ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa mwigizaji huyo, Tabata-Barakuda, jijini Dar […]

Read More..

Naweza Kuuza Movie Zangu Bila Kumtegemea Mh...

Post Image

Msanii wa filamu aliyetamba kwenye Bado Natafuta, Gabo Zigamba amesema filamu yake mpya ‘Safari ya Gwalu’ aliyoisambaza mwenyewe kupitia kampuni yake ya D Entertainment, imemfanya agundue kuwa kusambaza mwenyewe filamu kuna manufaa zaidi kuliko kupeleka kwenye makampuni binafsi ya usambazaji. Gabo ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa tayari filamu yake imeshasambazwa Tanzania nzima na ameuza nakala […]

Read More..

‘Kwa Heri Mwaka 2015 Karibu 2016’ Makal...

Post Image

UMEMALIZA mwaka 2015 tupo mwaka 2016 ambao kuna baadhi wanajenga matumaini huku wengine wakisubiri kama mimi kuona majaliwa ya mola kama kutakuwa nan a unafuu au ndio balaa zaidi katika tasnia ya filamu mwaka jana hali haikuwa shwari baada ya wasanii kupotea. Soko la filamu limeshuka sana huku kukiwa na sababu ambazo si za kitafiti […]

Read More..

Mguu Wamzima Stara Kisiasa

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Stara Thomas, amesema kuwa aliyokuwa amepata katika mguu imezima ndoto yake ya kuingia katika siasa katika kipindi cha uchaguzi kilichopita. Stara aliyekuwa na mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum huko Mwanza ambapo ni nyumbani kwao, katika mahojiano aliyofanya na Planet Bongo ameeleza kuwa, harakati za kisiasa zinahitaji mtu […]

Read More..

Mzee Majuto Aibukia Kwenye Bongo Fleva

Post Image

Vunja mbavu! Komediani the big name Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ au ‘King Majuto’ (68) ameibukia kwenye Muziki wa Bongo Fleva baada ya kushirikishwa kwenye ngoma inayokwenda kwa jina la Baba na Mjukuu Wake (mtoto wa mtoto wake wa kumzaa), Emmanuel Ernest ‘Dady.’ Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Mzee Majuto, mbali na kumsifia Dady […]

Read More..

Mr Aomba ieleweke Kuwa Hana Ugomvi na Diamo...

Post Image

Mr Blue amesema hana tatizo na Diamond Plutnumz licha ya hivi karibuni kuibuka sintofahamu katika mitandao ya kijamii juu ya nani mmiliki halali wa jina ‘Simba.’   Blue ambaye anajipanga kuachia wimbo mpya akiwa na Alikiba mwezi huu, amekiambia kipindi cha The Weekend Chart Show cha Clouds TV kuwa aliamua kuweka wazi kwa umma juu […]

Read More..

Lazima Wawepo Wabaya wako Ili Uwajue Wazuri...

Post Image

Lazima Giza Liwepo Usiku na mwanga uwepo Mchana Ili tuweze kutofautisha Usiku Na Mchana Lazima wawepo Wanaokuchukia Ili uweze kuwajua wanaokupenda? Lazima Wawepo Wabaya wako Ili uwajue Wazuri wako….maana bila hao Wabaya hutoweza kutofautisha yupi ni yupi. Sio kwa watu tu hii ina apply kwenye vitu vingi tu tofauti..! Ili uweze kujua Positive Side ya […]

Read More..

Sitti:Chozi Langu Limenifidia

Post Image

SITTI Mtemvu, mrembo aliyeshinda taji la Miss Tanzania Mwaka 2014 lakini akavuliwa baada ya kubainika udanganyifu, amesema chozi lake alilomwaga siku za nyuma, limem-faidisha kwani hivi sasa anaishi kwa amani na furaha. Akizu-ngumza hivi karibuni jijini Dar, Sitti alisema alipata maumivu makali siku alipovuliwa taji hilo, lakini alijipa moyo huku akifarijiwa na watu wake wa […]

Read More..

Picha: Ukaribu wa Wema na Idris Wazua Gumzo...

Post Image

Mbali na ukweli kuwa Wema Sepetu na Idris Sultan ni marafiki tangu zamani, hali imekuwa tofauti kwa hivi sasa ambapo baadhi ya mashabikibi wamekuwa wakiutilia shaka ukaribu wao wakidai kuwa umevuka mipaka na kuwahisi kuwa ni wapenzi. Mbali na madai kuwa Idris amekuwa akiweka kambi nyumbani kwa wema, Posti za Wema Sepetu kwenye mtandao wa […]

Read More..

Picha 10 za Harusi ya Wastara na Mh Sadifa ...

Post Image

Msanii wa filamu, Wastara Juma Alhamisi ya wiki hii, alifunga ndoa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha CCM (UVCCM) Taifa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma. Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo.

Read More..

Gigy, Msanii Tekno Ukweli Waanikwa

Post Image

Siri imefichuka! Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameibua gumzo baada ya ukweli kuanikwa kwamba alilala kwenye Hoteli ya Serena iliyopo Posta jijini Dar akijiachia na msanii kutoka Nigeria, Tekno Miles. Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, usiku wa kuamkia Ijumaa, mrembo huyo alionekana akijiachia na jamaa huyo […]

Read More..

Mafufu Kufungua Chuo cha Sanaa Baada ya Mie...

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Swahilihood Jimmy Mafufu anayegombea kuwa mwenyekiti wa TDFAA- Taifa amefunguka moja ya mambo muhimu ambayo yanachelewesha kuleta ukuaji wa tasnia ya filamu kwa ukosefu wa Vyuo na kwake ndio kipaumbele chake cha kwanza. Akiongea na FC Mafufu amesema kuwa kuna mambo mengi lakini kwake amegundua lazima elimu kwa kwanza kwa […]

Read More..

Tattoo Yangu ya Mgongoni Inasema- Amanda

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amesema tattoo yake aliyojichora mgongoni yenye maneno ‘Mapenzi yanauma’ ni kama inasema kwani mwanaume yeyote atakayekuwa naye kimapenzi, akiiona itampa kitu cha kujifunza. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, Amanda alisema alijichora tattoo hiyo baada ya kuumizwa kwa muda mrefu na wanaume, hivyo anaamini atakayefuata hivi sasa, atakuwa […]

Read More..

Dr Cheni Adai Serikali Inawaangusha Wasanii...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Dr Cheni amesema wasanii wengi wa filamu bado wapo kwenye kigugumizi kwenye kuwekeza pesa nyingi katika filamu zao kwa kuwa bado serikali haijatoa kauli yoyote kuhusu ulinzi wa kazi zao.   Dr Cheni ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo bado inawafanya waendelee kusita kuwekeza pesa nyingi kwenye kazi zao. “Tuna ari […]

Read More..

Zari Awakosha Mashabaki wa Penzi Lake na Di...

Post Image

Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada ya kubandika picha zake mtandaoni akiwa kijijini kwao pamoja na watoto wake na kuonekana anafanya kazi zote za nyumbani kitendo ambacho kimewafanya mashabiki kumwagia sifa kuwa ni mwanamke anayeyaweza maisha yote tofauti na wengi walivyokuwa wakimfikiria hapo zamani. Katika […]

Read More..