-->

Author Archives: editor

Lulu: Mama Amenistiri Sana!

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa hakuna wa kumthamini na kumheshimu hapa duniani zaidi ya mama yake kwani ndiye mtu pekee aliyempa faraja ya kweli katika maisha magumu aliyopitia. Akizungumza kwa uchungu Lulu alisema, mama yake pekee ndiye aliyemuona ana thamani wakati watu wengine wakimuona ni mchafu wa maneno na hafai kabisa […]

Read More..

Chuchu Hans Akanusha Kugombana na Johari Ki...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Chuchu Hans amekanusha kugombana na Johari Chagula baada kuibuka madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa wawili hao hawaelewani kisa Vicent Kigosi aka Ray.   Chuchu aliyesema pia kuwa uhusiano wake na Ray hauna tatizo, amekiambia kipindi Take One cha Clouds TV Jumanne hii kuwa, hana tatizo na Johari na mara nyingi […]

Read More..

Stan Bakora: Vijana Tusipende Mteremko

Post Image

MKALI wa vichekesho nchini, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’, anatarajia kuachia filamu yake ya kwanza itakayoitwa ‘Shobodundo’ iliyobeba mafunzo kwa vijana wanaopenda maisha mazuri bila kujishughulisha. Stan Bakora alisema kutokana na hilo vijana wengi wamejikuta wakilazimika kulelewa na wanawake watu wazima wenye uwezo mkubwa kifedha bila kujali kwamba wao ni nguvu kazi ya taifa. “Kiukweli hii […]

Read More..

Nuh: Nimesikitishwa Sana Shilole Kufuta ‘...

Post Image

Shilole ameifuta ‘tattoo’ ya aliyekuwa mpenzi wake Nuh Mziwanda baada ya kuachana,lakini Nuh hajaifuta na hana mpango kwa sasa wa kuzifuta ‘tattoo’ hizo. ‘’Kiukweli nimesikitika sana hata kama tumeachana mimi mbona sijafuta tattoo zake na sina mpango wa kuzifuta kwa sasa,’’Alisema Nuh. Hata hivyo Shilole alipoulizwa kuhusiana na alichokisema Nuh alisema kuwa mbona Nuh aliwahi […]

Read More..

Tiffah Dangote Anawasumbua Wengi-Wolper

Post Image

Hapa na Pale: Staa wa Bongo movies, Jacqueline Woper ambaye siku za hivi karibuni ameonekana kuwa karibu na falimila ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz amefunguka hayo kupiytia ukurasa wke myandaone mara baada ya kubandika picha ya mtoto Tiffah. Tiffah Dangote..mtoto anawasumbua wengi huyu…!Naona mpk kuna wengine wanahisi wanalingana na Tiffah maana sio kwa […]

Read More..

Msanii wa filamu Omary Clayton Atembelea Ki...

Post Image

Msanii wa filamu Omary Clayton ‘Dogo Masai’ ametembelea kituo cha watoto yatima na kutoka msaada wa vitu mbali mbali kutokana na kuguswa kwake na watoto hao hivyo ameamua kugawana nao kidogo alichokipata kwenye filam yake ya ndugu wa mume  ambayo itaingia  sokoni kesho tarehe 15.01.2016 chini ya usambazaji wa Steps Entertainment. Filamu ya Ndugu wa […]

Read More..

Wastara: Sajuki Hakusema Nisiolewe,Ila Alio...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amefunga ndoa hivi karibuni na Mwenyekiti wa UVCCM na mbunge wa Donge, Sadifa Juma,ameolewa mke wa pili. ‘Ndoa haina ghafla unaweza ukapanga usiku asubuhi ukaolewa,sema tu wageni waalikwa hawakuwa wa kutosha,uzuri kwamba mke mwenzangu alikuwa ananijua kabla sijaolewa,sikutaka kuolewa na mwanaume kabla mkewe hajanijua na sijaolewa mke wa nne […]

Read More..

Wastara Ampa Masharti Magumu Bond

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amempa wakati mgumu aliyekuwa mwandani wake ambaye pia ni meneja wake, Bond Bin Suleiman kuwa kama bado anataka waendelee kufanya kazi pamoja asiendekeze wivu baada ya yeye kuolewa. Wastara aliyeolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis alisema kuwa ni ukweli […]

Read More..

Gabo Hana Mpango na Wahindi

Post Image

MKALI wa filamu hapa nchini, Gabo Zigamba, amedai kwamba anaweza kusambaza kazi zake mwenyewe bila ya kuwategemea Wahindi. Msanii huyo amedai kwamba filamu yake ya ‘Safari ya Gwalu’ alifanikiwa kuisambaza mwenyewe kupitia kampuni yake ya D Entertainment, hivyo hana ulazima wa kutegemea watu binafsi. “Nilikuwa kama najaribu kuisambaza kazi hiyo mimi mwenyewe, nimegundua kwamba inawezekana kwa kuwa nimeweza kusambaza Tanzania mzima kupitia […]

Read More..

Mzee Majuto, Asha Boko na Mzee Majanga Waki...

Post Image

Wakali wa ‘comedy’ kwenye tasnia ya Bongo Movies, Mzee Majuto, Asha Boko na Mzee Majanga wamefanya kweli kwenye filamu yao mpya inayokwenda kwa jina la Pauka na Pakawa inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ambapo unaambiwa “Zama za kale  Paka na Mbwa walipendana sana, hawakuona tofauti iliyopo kati yao. Na siku walipojuzwa tofauti zao, ndipo vita ikaibuka…” […]

Read More..

Dully Sykes Amgaragaza T.I.D

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini Abdul Sykes ‘Dully Sykes’, amemgaragaza Khalid Mohamed ‘T.I.D’ kwa idadi kubwa ya mashabiki wa muziki wao. Wasanii hao walishindanishwa katika kituo cha radio One ambapo walikuwa wanawashindanisha kwa ubora wa nyimbo zao huku mashabiki wa muziki huo wakipiga kura kumchagua mkali zaidi. Dully alifanikiwa kuibuka kidedea kwa kumzidi […]

Read More..

Maneno Matamu ya Uwoya kwa Mama Yake

Post Image

Leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi, staa wa Bongo Movies Irene Uwoya amemuandikia maneno haya matamu kupitia ukurasa wake instagram. My mom my world. ..u kept me in ur prayers night and day. ..I wish to return my gratitude in more ways than I can say. ..mom lov is the most […]

Read More..

Wastara: Mimi na Mke Mwenza Shega Tu

Post Image

Picha ya pamoja Wastara sajuki akiwa na mke mwenzie. Wastara akiwa na mke mkubwa baaada ya harusi.. Adai watu msiumize kichwa mke mkubwa kampokea vizuri kwa mikono miwili na wanajuana na kuheshimiana. By Amavubi on JF

Read More..

Chuchu Hans Akanusha Kuachana na Ray

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Chuchu Hans amesema bado yupo kwenye uhusiano wa kimapenzi na Vicent Kigosi aka Ray licha ya hivi karibuni baadhi ya watu kudai wawili hao hawapo tena pamoja.   Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumanne hii, Chuchu alisema toka aanze kutoka kimapenzi na staa huyo mengi yamezushwa juu […]

Read More..

Ndoa ya Wastara Bond Nusu Afe!

Post Image

DAR ES SALAAM: Zikiwa zimepita siku chache tangu staa wa filamu, Wastara Juma kufunga ndoa na Mbunge wa Jimbo la Donge,  Zanzibar, Sadifa Juma aliyekuwa mpenzi wake, Bond Suleiman nusu afe, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili. Wakizungumza na gazeti hili, ndugu wa karibu wa kijana huyo ambaye pia ni muigizaji (jina linahifadhiwa) alisema siku moja […]

Read More..

Rose Ndauka Hajali Nyumba Yao Kuvunjwa

Post Image

WAKATI mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waishio mabondeni na pembezoni mwa bahari na mito wakihaha nyumba zao kuvunjwa, staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka amesema hajali kama nyumba yao itakutwa na bomoabomoa hiyo. Badala yake, alimpongeza Rais John Magufuli kwa kusimamia zoezi hilo, kwani wengi wa wanaobomolewa walishapewa taarifa mapema na hawakutii agizo […]

Read More..

H-Baba Ajiita Baba wa Sanaa Tanzania

Post Image

Staa wa muziki H-Baba ametoa kauli ya kuwabeza wasanii wenzake, akieleza kuwa kwa sasa yupo kimya akiangalia mchezo kama baba mwenye nyumba ambaye akirejea, wasanii wengine kama wapangaji lazima waelewe juu ya uwepo wake. H-Baba ambaye majukumu ya kifamilia ambayo sasa ni makubwa si chanzo cha ukimya wake kwa mujibu wake, ameeleza kuwa nafasi yake […]

Read More..

Jennifer Mgendi, Mussa Banzi Wang’ang’a...

Post Image

Kanga foto! Staa wa sinema na nyimbo za Injili, Jennifer Mgendi na mwigizaji mwenzake, Mussa Banzi walijikuta waking’ang’aniwa na mashabiki wao ili wapige picha wakiwa lokesheni. Ishu nzima iliyoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Ubungo-Makuburi, Dar ambapo wasanii hao wakiwa na wenzao walikuwa wakirekodi moja ya sinema za Mgendi inayokwenda kwa jina […]

Read More..