Matatizo Yamenifikisha Hapa-Wema Sepetu
Malkia wa filamu bongo, Wema Abraham Sepetu amefunguka na kudai hawezi kubweteka chini na kushindwa kufanya kazi zingine kwa sababu ana kesi mahakamani huku akiamini kwamba matatizo wameumbiwa wanadamu na Mungu ndiye anayepanga. Akizungumza na wanahabari kwenye zulia jekundu wakati wa uzinduzi wa filamu yake mpya ‘Heaven Sent’ Mlimani City Century Cinema, Wema amesema matatizo […]
Read More..





