Hawa Ndiyo Wasanii Watano Anaowakubali Shil...
Msanii Shilole ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sitoi kiki’ amefunguka na kuwataja wasanii watano wa bongo fleva ambao yeye anawakubali na kupenda kazi zao. Shilole alifunguka hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema katika wasanii hao msanii wa kwanza kabisa anayemkubali ni Bi. Khadja Kopa “Jamanii mimi nampenda […]
Read More..





