-->

Author Archives: editor

Hawa Ndiyo Wasanii Watano Anaowakubali Shil...

Post Image

Msanii Shilole ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sitoi kiki’ amefunguka na kuwataja wasanii watano wa bongo fleva ambao yeye anawakubali na kupenda kazi zao. Shilole alifunguka hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema katika wasanii hao msanii wa kwanza kabisa anayemkubali ni Bi. Khadja Kopa “Jamanii mimi nampenda […]

Read More..

Simu ya JPM Kwa Diamond Inaweza Kuleta Maba...

Post Image

JAPO sanaa ni utajiri ila kuna baadhi ya wahafidhina bado wanaona ni kitu cha kihuni. Kwao msanii ni muhuni na sanaa ndiyo uhuni wenyewe. Bahati mbaya dhana hii haiko kwa watu wa kawaida ila imesambaa mpaka kwa baadhi ya watu walio madarakani. Na hali inapofika hapa ndiyo wazi unajua kuwa sanaa haiwezi kuendelea. Mfano mzuri […]

Read More..

Gwajima: Nitaendelea Kusema Ukweli Fitina K...

Post Image

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema ataendelea kusema ukweli na hataogopa chochote. “Nitaendelea kusema ukweli fitina kwangu mwiko” alisema hayo katika mahubiri yake ya leo kanisani kwake Ubungo. Pamoja na mambo mengine, Askofu huyo, alisema Clouds Media ni rafiki zake kwa sababu wamewaeleza ukweli watanzania. Alisema hata waislamu […]

Read More..

Harmorapa Ala Shavu, Awa Balozi

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva anayetrendi katika mitandao ya kijamii Bongo, ‘Hamorapa’ anatazamiwa kuwa balozi wa Kinywaji kiitwacho Swala. Akizungumza na mwandishi wa mtandao huu, Hamorapa amefunguka kuwa yupo katika mazungumzo na kampuni inayozalisha kinywaji hicho na anatarajia kupata dili nono ya kukitangaza kinywaji hicho.  

Read More..

Ney wa Mitego Awekwa Mtegoni, Akamatwa

Post Image

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limethibitisha kumkamata na kumshikilia rapa wa muziki wa kizazi kipya, Emanuel Elibariki maarufu Nay Wa Mitego leo usiku mjini Morogoro. Akizungumza na Mwananchi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei alithibitisha kumkamata rapa huyo kwa kosa la kutoa wimbo unaoikashifu […]

Read More..

VIDEO: Prof Jay Ajisafisha kwa Afande Sele,...

Post Image

Mkongwe wa hip hop bongo, Joseph Haule ‘ Prof Jay’ amekanusha kuwa ‘disi’ wasanii wenzake akiwepo Alikiba pamoja na Afande Sele kwenye wimbo wake mpya wa ‘Kibabe’. Katika ngoma hiyo, kuna mstari usemao ‘Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi’, mstari ambao umekuwa ukizusha hisia kuwa ni dongo kwa Afande Sele ambaye amewahi kupata taji ya […]

Read More..

VIDEO: Steve Nyerere Atoa Neno kwa Nape

Post Image

Muigizaji maarufu wa vichekesho  Steve Nyerere amemshauri Mh.Nape Nauye kumshukuru Mungu na kumuomba kwa kutenguliwa uwaziri kwa kuwa hajui ameepushwa na jambo gani. Akiongea na eNewz Steve Nyerere ameendelea kusema kwamba Mh. Nape nje ya uwaziri alikuwa ni msanii pia na alikuwa anaithamini thamani ya msanii na kuilinda pia alikuwa akipenda maendeleo ya wasanii na maendeleo yake na […]

Read More..

Askofu Gwajima Awavuta Stan Bakora na Kital...

Post Image

Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Ministries, Josephat Gwajima amesema Jumapili hii atatembelewa na wachekeshaji Kitale ‘Mkudesimba’ pamoja na Stan Bakora. Gwajima amekuwa akitamka mara kadhaa kwamba anavutiwa na wachekeshaji hao ambao wamekuwa maarufu kutokana na vichesho vyao ambavyo vilikuwa vinarushwa kupitia redio ya EFM. Jumamosi hii mchungaji huyo ambaye amekuwa akizuru katika vituo […]

Read More..

Shilole: Nikichemka Muziki, Nakuwa Mama Lis...

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameibuka na kusema kuwa endapo itatokea muziki ukambumia atageukia kazi ya mama ntilie ‘mama lishe’ kwa sababu anaipenda na iko kwenye damu. Akibonga na Risasi Jumamosi, Shilole alisema tangu akiwa mdogo anapenda sana kupika hivyo hata sasa pamoja na kufanya muziki amekuwa akipika mwenyewe kwenye mgahawa […]

Read More..

Harmonize Adaiwa Kumuoneshea Ishara Mbaya M...

Post Image

Taarifa iliyotolewa na Kituo cha East Africa Television kupitia ukurasa wao wa Twitter imeeleza kuwa, Msanii kutoka WCB, Harmonize ilikuwa awepo kwenye kipindi cha FNL cha televisheni hiyo usiku huu, lakini ameingia mitini baada ya kumuona meneja wa msanii Harmorapa maeneo ya studio hizo. Inadaiwa kuwa baada ya kumuona meneja wa Harmorapa, msanii Harmonize amemuoneshea kidole cha […]

Read More..

Harmonize Awajibu Wanaoiponda Script ya Vid...

Post Image

Ni wiki moja sasa tangu First Born wa WCB,Harmonize apandishe Youtube video yake mpya ya Niambie ambayo imeonekana kupondwa na baadhi ya watu kuwa haijaendana na maudhui ya audio. Watu wengi wanadai kuwa audio inajenga picha ya umaskini,lakini kwenye video Harmonize anaonekana kwenye maisha ya kishua sana,jambo ambalo limewakera baadhi ya mashabiki.

Read More..

Nahitaji Demu Mzuri Anagonga Ngeri Sana- Id...

Post Image

IDRIS Sultan mwigizaji na mchekeshaji katika tasnia ya filamu Bongo amefunguka kwa kusema kuwa anahitaji mwanamke ambaye atamuoa, sifa ya kwanza awe mzuri sana awe na tabia nzuri hasa ya kuwapenda watoto kwani yeye anapenda Watoto zaidi. “Siku hizi mambo ya kidigitali mambo yanakuwa wazi tu, binafsi nampenda mwanamke mwenye sifa hizi awe na akili, […]

Read More..

Ikulu Yakanusha Taarifa ya Serikali Kufuta ...

Post Image

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa ameikanusha taarifa inayosambaa ikionyesha kuwa serikali inatishia kuifuta mitandao ya kijamii. Taarifa hiyo iliyoonyesha imeandaliwa na Ikulu, ilieleza kuwa serikali haitasita kuifuta mitandao ya kijamii iwapo itabaini kuwa yote yanayoendelea hayana tija. “Serikali inafuatilia kwa karibu yote yanayoendelea kwenye mitandao ya […]

Read More..

Filamu za Kibongo Kuanza Kuuzwa Nchini Chin...

Post Image

Wasanii wa filamu za kibongo wamepewa fursa ya kuanza kuuza filamu zao nchini China ambao sasa zitakuwa zikitafsiriwa kwa lugha ya nchi hiyo kama ambavyo Rufufu amekuwa akitafsiri za kwao hapa nchini. Aliyekuwa Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Nape Nnauye aliwaombea wasanii hao kwa serikali ya China ambapo maombi hayo yalipokewa kwa mikono […]

Read More..

Harmorapa Afungukia Kilichomtoa Mbio kwa Na...

Post Image

Msanii asiyekaukiwa ‘kiki’ katika ulingo wa sanaa ya Bongo, Harmorapa amesimulia kilichomkuta alipokwenda kumuona aliyekuwa Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye kiasi cha kutoka mbio za aina yake, baada ya kuona bastola. Harmorapa ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la ‘Kiboko ya Mabishoo’ aliyomshirikisha Juma Nature, amesema kilichomfanya aende katika […]

Read More..

Diamond, Belle9 Wambeba Saida Kalori

Post Image

WASANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Abednego Damian ‘Belle9’ wamembeba msanii mwenzao anayeimba nyimbo za asili, Saida Kalori kwa kushiriki katika albamu yake itakayoitwa Naamka. Akilonga na Showbiz, Saida aliyewahi kutamba na Wimbo wa Chambua Kama Karanga ‘Maria Salome’ alisema kuwa anamshukuru Mungu amerudi tena kwenye gemu na wasanii hao wamempa […]

Read More..

VIDEO: Magufuli Ashuhudia Tena ‘Madud...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti Maelekezo hayo ni juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa […]

Read More..

Mrisho Mpoto Alia na Wanasiasa

Post Image

Msanii Mrisho Mpoto amewaomba wanasiasa waachie ‘gap’ kidogo ili wasanii nao waweze kupata muda wa kutambulisha kazi zao za sanaa kwa jamii ambayo sasa imetekwa na upepo wa siasa. Hayo yameibuka kutokana na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na baadhi ya wasanii wakiongozwa na Mpoto kuandika katika mitandao ya kijamii kuwataka wanasiasa wajaribu kidogo kupunguza kasi […]

Read More..