-->

Author Archives: editor

TRA Yatoa Elimu ya Kodi kwa Wasanii wa Fila...

Post Image

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea na mpango mkakati wake wa kuhakikisha inatoa elimu ya kodi na inamfikia kila mdau ili kuwajengea uelewa wa masuala ya kodi na uhiyari wa kuilipa. Hivi karibuni mamlaka hiyo ilikutana na wasanii mbalimbali wa maigizo na muziki ili kuwafundisha kuhusu masuala mbalimbali ya kodi pamoja na umuhimu wa kulip […]

Read More..

Jay Moe: Wasanii Wanaokula ‘Unga̵...

Post Image

Msanii wa hip hop nchini Tanzania Jay Moe au wengine wanapenda kumuita kwa jina la mzee wa pesa madafu amekutana na camera ya eNewz na amezungumzia kuhusu swala la madawa ya kulevya ambalo limekuwa gumzo katika siku za karibuni. Gumzo hilo limekuwa kubwa hasa baada ya picha za aliyekuwa mshiriki wa Big Brother Africa kuonekana naye […]

Read More..

Katibu wa Bodi ya Filamu Bi. Fissoo Amtembe...

Post Image

KATIBU wa bodi ya filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo amemtembelea muandishi wa muswada mwenye kipaji cha ajabu Wankota Kapunda nyumbani kwao Mbezi kwa ajili ya kumtakia heri ya mwaka mpya na kubadilishana naye mawazo kufuatia maandalizi ya utayarishaji wa filamu na tamthilia inayoitwa Uaridi. “Mwaka mpya umeanza ni vema kuwaona wadau wetu na pia nimekuja […]

Read More..

Rich Mavoko: Niko Tayari Kufanya Kolabo na ...

Post Image

LEBO ya Wasafi Classic Baby (WCB) licha ya kukusanya vichwa vya wasanii wakali lakini nyota ya Richard Martin ‘Rich Mavoko’, imeendelea kung’ara ambapo kwa sasa anamake ‘headline’ kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kutokana na ngoma yake ya Kokoro aliyomshirikisha bosi wake, Diamond Platinumz. Ingawa ni miezi kadhaa tu tangu kuachiwa kwa Koko¬ro, […]

Read More..

Q Chief Amwagia Sifa Hizi Mpenzi Wake

Post Image

Msanii wa muziki Q Chief ameshindwa kuzuia hisia zake mtandaoni na kuamua kumwagia misifa mpenzi wake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo Sungura, amedai mwanamke hiyo ni mwanamke wa pekee kutokana na uvumilivu wake. “Soon tunatimiza miaka miwili katika uhusiano wetu umekuwa mvumilivu mwenye hekima ni wanawake wachache sana dunia hii wenye moyo wa […]

Read More..

Baba Haji Afungukia Swala la Rushwa ya Ngon...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Haji Adam a.k.a Baba Haji amekiri rushwa ya ngono kukithiri katika tasnia ya filamu nchini huku akiweka wazi kuwa kwa upande wake hajawahi kuomba wala kukubali rushwa hiyo kwa hofu ya maradhi. Msanii wa filamu nchini, Haji Adam a.k.a Baba Haji amekiri rushwa ya ngono kukithiri katika tasnia ya filamu nchini […]

Read More..

Picha: Maselle “Chapombe” Afunga Ndoa

Post Image

Msanii wa siki nyingi wa vichekesho aliyejipatia umaarufu katika kundi la vituko show kwa style yake ya kuigiza kama mlevi, Chrispine Lyogello “Masele” ameaga ukapela baada ya kufunga pingu za maisha na mchumba wake wa siku nyingi Specioza Malick katika kanisa Katoliki, Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es salaam. Hizi ni baadhi […]

Read More..

Alikiba Atoa Ratiba ya Tour ya Marekani

Post Image

Muda mfupi baada ya kutangaza tour yake ya Afrika Kusini, itakayoanza mwezi ujao, mkali wa bongo fleva Alikiba, ametangaza ratiba ya tour nyingine ya Marekani. Mkali huyo atatumbuiza katika miji ya Las Vegas, Austin, Houston, Minneapolis na Minnesota. Ziara hizo zitaanza March 4 hadi April.

Read More..

Gigy Money, Lulu Diva, Amber Lulu… Bongo ...

Post Image

MFUMO dume uliminya vipaji vya watoto wa kike kuchanua kwenye Bongo Fleva na kufanya wawe bidhaa adimu licha ya kuwa na uwezo wa kufanya kile wasanii wa kiume wanafanya. Lakini mwaka 2016 tulishuhudia hali hiyo ikitoweka na wasanii wa kike wakiongezeka kwa kasi na wengine wakitoka kwenye tasnia za filamu na utangazaji na kuingia kwenye […]

Read More..

Sikumfukuza Young D – Max Rioba

Post Image

Aliyekuwa mlezi na meneja wa Rapa Young D, Maximilian Rioba amefunguka na kuweka sawa kuwa yeye hakumfukuza Rapa huyo nyumbani kwake bali alimwambia tu aondoke kwani walishindwana kibiashara kutokana na utovu wa nidhamu. Maximilian akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live alisema sababu kubwa iliyompekelea kushindwana kibiashara na Young D ni kutokana na msanii huyo […]

Read More..

Yamoto Band Watoka Mafichoni

Post Image

Mhe. Temba ambaye ni msanii na kiongozi wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi mipango ya kundi hilo na kusema wapo tayari kuachia kazi mbili za Yamoto Band ndani ya siku mbili zijazo. Akizungumza na eNEWZ Mh Temba amesema alikuwa na mpango wa kuachia kazi yake lakini inabidi asubiri kwanza Yamoto Band watoe kazi […]

Read More..

Crazy GK: Serikali Iwachukulie Hatua Kali W...

Post Image

Rapper mkongwe nchini Tanzania King Crazy GK, ameshauri serikali kuwachukulia hatua kali watu wanaotumia dawa za kulevya nchini. “Marekani hawahudumiagi mtu mwenye madawa ya kulevya hata angekuwa anagalagala barabarani pale mpaka mwenyewe akajisahihishe na mgonjwa mwingine anahudumiwa bure kabisa,” rapper huyo amemuambia mtangazaji wa Ice Fm, Gami Deetz Alipoulizwa iwapo ni sawa kuwaacha wafe, GK […]

Read More..

Flora Mvungi Afa, Aoza kwa Penzi la Waziri!

Post Image

DAR ES SALAAM: HUKU kukiwa na taarifa kwamba ndoa yake na msanii wa Bongo Fleva, Hamis Ramadhan Baba ‘H-Baba’ imeparaganyika, mrembo wa Bongo Movies, Flora Mvungi amedaiwa kunasa kwenye penzi la mmoja wa mawaziri wa serikali ya awamu ya tano. Chanzo kilicho karibu na msanii huyo kimepenyeza habari kuwa, mrembo huyo kwa sasa yupo chini […]

Read More..

Alikiba Kufanya Tour Nchini Afrika Kusini

Post Image

Mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa EATV Award 2016, Alikiba amefungua mwaka kwa kutangaza tour yake ya kimataifa. Muimbaji huyo ambaye mwaka 2016 ulikuwa mzuri kwa upande wake baada ya kuchukua tuzo 13 za kitaifa na kimataifa, tour yake itaanza February nchini Afrika Kusini. “Happy New Year. It’s time to meet my fans across […]

Read More..

Pichaz: Jennifer na Patrick wa Kanumba Wali...

Post Image

Vijana hao wawili walifanya vizuri ndani ya filamu ya Uncle JJ pamoja na This Is It wakiwa na marehemu Steven Kanumba. Jennifer ambaye mwaka 2014 alionekana kwenye filamu ya Zena na Betina ya Salma Jabu aka Nisha, amehitimu kidato cha nne mwaka huu. Kwa upande wa Patrick 2016 alihojiwa na mtandao mmoja wa habari nakudai […]

Read More..

Abby Skillz Ndiyo Msanii wa Kwanza Kusainiw...

Post Image

Msanii Abby Skillz aliyerudi rasmi kwenye muziki kwa wimbo wake Averina akiwa na Mr Blue pamoja na Alikiba amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii wa kwanza kusaini mkataba chini ya ‘Label’ ya msanii Alikiba inayofahamika kama ‘Kings Music’. Abby Skillz amesema hayo kupitia eNEWZ na kusema mpaka sasa label hiyo imeshasaini wasanii kama kumi […]

Read More..

Pichaz: Dua ya Sajuki Ilifanyika Songea

Post Image

Siku ya tarehe 31/12/2016, muigizaji  Wastara Juma alimfanyia dua marehemu mumwe wake, Sajuki huko mkoani Songea. Wastara alifunguka haya; “Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpaka mda huu Sina budi kusema haya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho. Ni miaka 5 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari, […]

Read More..

Kalapina Akana Kutafuna Mamilioni ya Chid B...

Post Image

Msanii wa Hip Hop na mwanaharakati wa madawa ya kuleva Kalapina amekanusha tetesi za kutapeli milioni 50 zilizotolewa na wadhamini kwa ajili ya kumsaidia Chid Benz kuachana na madawa ya kulevya. Akiongea kupitia eNewz Kalapina amesema hakuna mtu yeyote aliyejitokeza na kutaka kumsaidia Chid Benz bali alijitolea na kupoteza pesa nyingi alivyokuwa anakwenda kumsalimia Chid Benz alipokuwa Soba House. Hata hivyo […]

Read More..