-->

Author Archives: editor

Aunty Ezekiel Katuachia Funzo Juu ya Mapenz...

Post Image

Moja kati ya matatizo ya watanzania, ni kushindwa kusimamia yale tunayoayaamini. Linapokuja suala la mapenzi wengi hujikuta kwenye wakati mgumu hasa ikiwa yule anayempenda anaonekana si wa maana mbele za watu kwa hadhi,kipato na muonekano. Pengine mwaka 2016 mwanadada Aunty Ezekiel alituachia funzo,ukipenda usiangalie wengine wanaonaje fuata moyo wako na wasipooelewa wengine wataelewa mwisho wa […]

Read More..

Ally Star: Taarabu Itakufa Tusipoisaidia

Post Image

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa taarabu nchini, Ally Star, ameweka wazi kwamba muziki huo upo hatarini kutoweka endapo juhudi za kuunasua hazitachukuliwa. Ally ambaye ni msanii wa kundi la sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), alisema kiwango cha muziki kimeshuka ikilinganishwa na miaka ya 1980. Alisema muziki wa taarabu hivi sasa umekutana na changamoto nyingi […]

Read More..

Gigy Money Afungukia Swala la Ukimwi

Post Image

Video queen matata ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha redio moja jijini hapa, Gift Stanford ‘Gigy Money’, ametema cheche akisema kuwa, watu wote wanaomsema kwamba kutokana na kuvaa nusu utupu na kujiachia na midume mbalimbali huenda ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi, waache kwani kama ni kweli basi wengi wangekufa kwa sababu ameshatembea na […]

Read More..

Kalapina Atoboa Aliyemuharibu Chid Benz

Post Image

Kalapina ambaye ni mwanaharakati wa kuwasaidia watu ambao wameingia kwenye matumzi ya dawa za kulevya amefunguka na kumtaja mama yake mzazi Chid Benz kama mtu anayemuendekeza Chid na kumfanya asitoke kwenye matumizi ya dawa za kulevya. Kalapina amesema mama huyo anampenda sana mtoto wake kiasi cha mtoto kujua na kuona kwamba hata akifanya jambo fulani yupo […]

Read More..

Wolper Ampiga Chini Harmonize Kupitia Insta...

Post Image

Staa wa Bongo Movie,Jacqueline Wolper amefunguka rasmi kumbwaga Harmonize kupitia  mtandao wa Instagram. Hata hivyo posthiyo haikuweza kukaa kwa muda mrefu – imefutwa, japo wapo waliowahi kuinasa mapema. Kwenye post hiyo iliyokuwa na picha ya Harmonize pamoja na emoji za alama ya kopa iliyopasuka, Wolper ameandika: Nina akili timamu me syo mtoto mdogo, endelea na […]

Read More..

Ferooz: Inamuwia Vigumu Kuachana na Madawa ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Ferooz Mrisho ambaye katika miaka ya 2000 alitamba na wimbo wa Starehe ambaye kwa sasa ameathirika na dawa na matumizi ya Madawa ya kulevya, amedai inamuwia vigumu kuachana na matumizi ya dawa hizo. Muimbaji huyo amedai amejikuta akitenga bajeti kubwa ya fedha kwa matumizi ya kutumia dawa. “Ninawaomba wasanii wenzangu wasitumie […]

Read More..

Sitaki ‘Collabo’ na Wasanii wa ...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Q Chila amesema hakufanya kolabo na wasanii waliosainiwa kwenye lebo moja ya QS kwa sababu hakwenda pale kwa sababu ya kufanya kolabo na wasanii hao. Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Nay, H_Baba na wengine. Akiongea kupitia eNewz Q Chila amesema kwa sasa anafanya kolabo na wasanii wa nje zaidi ili kuweza kutambulika kimataifa […]

Read More..

Diamond Hapaswi Kujiita Simba – Darassa

Post Image

Msanii wa bongo fleva Darasa ameweka wazi ule mstari wake wa “sio simba, sio chui, sio mamba” kwa kusema Diamond hakupaswa kujiita simba kwani simba ni mnyama ambaye anaweza kuuliwa anapozidiwa nguvu. Akipiga story kupitia eNewz Darasa amesema Diamond ni msanii ambaye amehangaika sana kutoka kimuziki hivyo mafanikio yake na uwezo wake wa muziki alitakiwa ajiite jina lingine kwa […]

Read More..

Young Dee Afungukia Tetesi za Kurudia Unga

Post Image

Young Dee amejibu kwa ufupi kuhusiana na tetesi kuwa amerudi tena kwenye matumizi ya dawa za kulevya. kiandika maneno mafupi sana kwenye post yake mpya ya Instagram, Young Dee amedai kuwa ‘muda utaongea.’ “Time will Tell… Mi sina tatizo na mtu… Tuombeane kheri tu… Siwezi shindana na maneno,” ameandika rapper huyo. Wiki hii tetesi za […]

Read More..

Darassa Afunga Mwaka Kwa Kishindo,Diamond B...

Post Image

TUMEZOEA kusikia nyimbo za mapenzi zikipendwa zaidi kuliko zile zenye ujumbe wa masuala mengine muhimu kwa jamii. Mara nyingi ngoma zenye meseji ni zile zinazohusisha mtindo wa kofokafoka yaani Rap. Kwenye historia ya Bongo Fleva, nyimbo za Rap hazikuwahi kuzizidi zile za mapenzi. Ngoma zenye jumbe za mapenzi zinapendwa zaidi sokoni na ndiyo  zinazochezwa zaidi. […]

Read More..

Nay Ataja Tofauti ya Diamond na Alikiba

Post Image

Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa katika wanamuziki watatu wakubwa Tanzania wazuri kwake yeye Alikiba atakuwa namba moja ila katika wanamuziki wakubwa watatu wafanyabiashara basi Diamond Platnumz atakuwa namba moja. Nay ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sijiwezi’, amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo cha EATV na kusema siku zote yeye amekuwa […]

Read More..

Mimi Mpinzani Halisi Wa Gabo Katika ‘Game...

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi anayetamba na filamu ya Ngoma ya Roho na tamthilia ya Buriani Angel Maige Alex Mgeta ‘Faita’ ametamba kuwa kwa sasa yeye anamini kuwa ndiye mpinzani wa kweli wa mwigizaji bora katika tasnia ya filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ kwani ana uwezo mkubwa wa kuvaa uhusika na kubadilika kwa kila sinema. “Unajua uigizaji ni mbinu […]

Read More..

Niva Atoboa Ukweli wa ‘Bifu’ La...

Post Image

Msanii wa bongo movie Niva amesema madongo yote waliyokuwa wanatupiana na Nay wa Mitego kwa mwaka 2016 ilikuwa ni ‘bifu’ za kimuziki na mipango ya kibiashara kwa upande wa movie lakini hawana bifu lolote kati yao. Akiongea kupitia eNewz Niva amesema hawajawahi kugombana na wala hawana tatizo lolote na Nay kwa kuwa ni watu ambao wamekuwa sehemu […]

Read More..

Nahitaji Maombi Yenu Wadau – Ben Selengo

Post Image

Msanii wa filamu Ben Selengo baada ya kupata ajali ambaya siku ya sikukuu ya Christmas na kulazwa katika Muhimbili, ameruhusiwa na sasa hivi yupo nyumbani. Muingizaji huyo amedai licha ya kuwa ameruhusiwa kutoka hospital lakini bado afya yake haijakaa sawa na anahitaji maombi. “Bado nahitaji maombi yenu wadau,” aliandika Ben Instagram “nimetoka Muhimbili nipo home […]

Read More..

Kilichomuua Mke wa Director Lister Hiki Hap...

Post Image

Mke wa muongozaji wa Filam  Tanzania Gift John Lister aliyefariki wiki iliyopita akiwa anasumbuliwa na homa ya mapafu amezikwa Jumamosi hii katika makaburi ya Kinindoni. Akiongea kupitia eNewz  mume wa marehemu Director John Lister amesema marehemu ameacha watoto wawili na siku tatu zilizopita waligundua kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu na wakati anapatiwa matibabu ndipo umauti […]

Read More..

Inasikitisha Sana, Tazama Nando wa Big Brot...

Post Image

HALI ya kiafya ya mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Big Brother Afrika, 2013 nchini Afrika Kusini,  Ammy Nando inasikitisha ambapo inadaiwa kuwa amedhoofika sana kwa sababu ya matumizi ya madawa ya kulevya. Picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni (picha ya juu kulia), zinamuonesha kijana huyo akiwa amedhoofika sana mwili wake, tofauti kabisa na jinsi afya yake […]

Read More..

Tanzia: Bongo Movie Wampoteza Mwingine

Post Image

TASNIA ya filamu hapa Tanzania, Bongo Movie wamempoteza muigizaji mwenzao Kijakazi Pazi Shabani maarufu kwa jina la Zamzam aliyefariki dunia jana Jumapili, Januari 1, 2017 mkoani Kigoma. Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa mwili wa Zamzam unatarajiwa kusafirishwa leo kutoka Kigoma kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi ambapo msiba huo utakuwa maeneo […]

Read More..

Wema Sepetu Awashangaza Mashabiki Wake Inst...

Post Image

Nini tena kimemkuta malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu? Ama labda ameamua kutoingia mwaka 2017 kwa kumbukumbu za mwaka 2016?. Ni kwa sababu mrembo huyo ameamua kufuta picha zote kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram yenye followers milioni 2.5.

Read More..