-->

Category Archives: BongoFleva

Nikki wa Pili Awapa Darasa BASATA

Post Image

Msanii Nikki wa Pili kutoka katika kampuni ya Weusi amelitaka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufanya mpango kuwaita wasanii kwa ujumla ili wakae pamoja waweze kuwaweka sawa juu ya neno “maadili” linalotumiwa kama fimbo ya kuwachapa ‘wasanii’. Ametoa neno hilo leo wakati wakitambulisha wimbo wao mpya unaoitwa ‘Ya Kulevya’ kupitia kipindi cha Planet Bongo ya […]

Read More..

Nay wa Mitego Afunguka Baada Kuachiwa (Vide...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop Nay wa Mitego amefunguka mengi mbele ya waandishi wa habari muda mchache baada ya kuachiwa na jeshi la polisi. Rapa huyo alishikiliwa na jeshi hilo kwa siku mbili baada ya wimbo wake mpya ‘Wapo’ kuonekana hauna maadili. Akiongea na waandishi wa habari baada ya kutoka kituo cha polisi alipokuwa […]

Read More..

Profesa Jay: Diamond, Kiba Wanaua Bongo Fle...

Post Image

MKONGWE kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ ameibuka na kusema kuwa, wasanii  mahasimu wakubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Ali Kiba ndiyo wanauoa muziki wa Bongo Fleva.   Profesa Jay ambaye ni Mbunge wa Mikumi, akiwa ameachia ngoma yake mpya ya Kibabe hivi karibuni  amefanya mahojiano na Polisi wa Swaggaz na kuzungumza […]

Read More..

Rais Magufuli Aagiza Nay wa Mitego Aachiwe ...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Magufuli, amelitaka jeshi la polisi nchini kuhakikisha linamwachia huru msanii wa muziki wa kizazi kipya, Emmanuel Elibariki maarufu Nay wa Mitego, aliyekamatwa mjini Morogoro jana. Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma, Waziri wa Habari, Utamaduni na  Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, amesema Rais Magufuli amesema […]

Read More..

Hawa Ndiyo Wasanii Watano Anaowakubali Shil...

Post Image

Msanii Shilole ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sitoi kiki’ amefunguka na kuwataja wasanii watano wa bongo fleva ambao yeye anawakubali na kupenda kazi zao. Shilole alifunguka hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema katika wasanii hao msanii wa kwanza kabisa anayemkubali ni Bi. Khadja Kopa “Jamanii mimi nampenda […]

Read More..

Simu ya JPM Kwa Diamond Inaweza Kuleta Maba...

Post Image

JAPO sanaa ni utajiri ila kuna baadhi ya wahafidhina bado wanaona ni kitu cha kihuni. Kwao msanii ni muhuni na sanaa ndiyo uhuni wenyewe. Bahati mbaya dhana hii haiko kwa watu wa kawaida ila imesambaa mpaka kwa baadhi ya watu walio madarakani. Na hali inapofika hapa ndiyo wazi unajua kuwa sanaa haiwezi kuendelea. Mfano mzuri […]

Read More..

Harmorapa Ala Shavu, Awa Balozi

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva anayetrendi katika mitandao ya kijamii Bongo, ‘Hamorapa’ anatazamiwa kuwa balozi wa Kinywaji kiitwacho Swala. Akizungumza na mwandishi wa mtandao huu, Hamorapa amefunguka kuwa yupo katika mazungumzo na kampuni inayozalisha kinywaji hicho na anatarajia kupata dili nono ya kukitangaza kinywaji hicho.  

Read More..

Ney wa Mitego Awekwa Mtegoni, Akamatwa

Post Image

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limethibitisha kumkamata na kumshikilia rapa wa muziki wa kizazi kipya, Emanuel Elibariki maarufu Nay Wa Mitego leo usiku mjini Morogoro. Akizungumza na Mwananchi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei alithibitisha kumkamata rapa huyo kwa kosa la kutoa wimbo unaoikashifu […]

Read More..

VIDEO: Prof Jay Ajisafisha kwa Afande Sele,...

Post Image

Mkongwe wa hip hop bongo, Joseph Haule ‘ Prof Jay’ amekanusha kuwa ‘disi’ wasanii wenzake akiwepo Alikiba pamoja na Afande Sele kwenye wimbo wake mpya wa ‘Kibabe’. Katika ngoma hiyo, kuna mstari usemao ‘Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi’, mstari ambao umekuwa ukizusha hisia kuwa ni dongo kwa Afande Sele ambaye amewahi kupata taji ya […]

Read More..

Shilole: Nikichemka Muziki, Nakuwa Mama Lis...

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameibuka na kusema kuwa endapo itatokea muziki ukambumia atageukia kazi ya mama ntilie ‘mama lishe’ kwa sababu anaipenda na iko kwenye damu. Akibonga na Risasi Jumamosi, Shilole alisema tangu akiwa mdogo anapenda sana kupika hivyo hata sasa pamoja na kufanya muziki amekuwa akipika mwenyewe kwenye mgahawa […]

Read More..

Harmonize Adaiwa Kumuoneshea Ishara Mbaya M...

Post Image

Taarifa iliyotolewa na Kituo cha East Africa Television kupitia ukurasa wao wa Twitter imeeleza kuwa, Msanii kutoka WCB, Harmonize ilikuwa awepo kwenye kipindi cha FNL cha televisheni hiyo usiku huu, lakini ameingia mitini baada ya kumuona meneja wa msanii Harmorapa maeneo ya studio hizo. Inadaiwa kuwa baada ya kumuona meneja wa Harmorapa, msanii Harmonize amemuoneshea kidole cha […]

Read More..

Harmonize Awajibu Wanaoiponda Script ya Vid...

Post Image

Ni wiki moja sasa tangu First Born wa WCB,Harmonize apandishe Youtube video yake mpya ya Niambie ambayo imeonekana kupondwa na baadhi ya watu kuwa haijaendana na maudhui ya audio. Watu wengi wanadai kuwa audio inajenga picha ya umaskini,lakini kwenye video Harmonize anaonekana kwenye maisha ya kishua sana,jambo ambalo limewakera baadhi ya mashabiki.

Read More..

Harmorapa Afungukia Kilichomtoa Mbio kwa Na...

Post Image

Msanii asiyekaukiwa ‘kiki’ katika ulingo wa sanaa ya Bongo, Harmorapa amesimulia kilichomkuta alipokwenda kumuona aliyekuwa Waziri wa habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye kiasi cha kutoka mbio za aina yake, baada ya kuona bastola. Harmorapa ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la ‘Kiboko ya Mabishoo’ aliyomshirikisha Juma Nature, amesema kilichomfanya aende katika […]

Read More..

Diamond, Belle9 Wambeba Saida Kalori

Post Image

WASANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Abednego Damian ‘Belle9’ wamembeba msanii mwenzao anayeimba nyimbo za asili, Saida Kalori kwa kushiriki katika albamu yake itakayoitwa Naamka. Akilonga na Showbiz, Saida aliyewahi kutamba na Wimbo wa Chambua Kama Karanga ‘Maria Salome’ alisema kuwa anamshukuru Mungu amerudi tena kwenye gemu na wasanii hao wamempa […]

Read More..

Mrisho Mpoto Alia na Wanasiasa

Post Image

Msanii Mrisho Mpoto amewaomba wanasiasa waachie ‘gap’ kidogo ili wasanii nao waweze kupata muda wa kutambulisha kazi zao za sanaa kwa jamii ambayo sasa imetekwa na upepo wa siasa. Hayo yameibuka kutokana na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na baadhi ya wasanii wakiongozwa na Mpoto kuandika katika mitandao ya kijamii kuwataka wanasiasa wajaribu kidogo kupunguza kasi […]

Read More..

Video: Harmorapa Atimua Mbio Baada ya Kuion...

Post Image

Harmorapa ni bingwa wa kumendea headlines kwenye matukio makubwa yanayowahusu watu wenye majina. Hata hivyo Alhamis hii mambo yalitaka kumtokea puani. Rapper huyo mwenye visa alitimba Protea Hotel jijini Dar es Salaam ambako mheshimiwa Nape Nnaye alikuwa ameenda kuzungumza na waandishi wa habari, lengo lake kumpa pole kwa masahibu yaliyompata – kuvuliwa uwaziri. Hata hivyo […]

Read More..

Barnaba Afunguka Ukweli Kuhusu Mke Wake

Post Image

Mkali wa bongo fleva Barnaba Classic amesema yeye na mke wake hawajaachana kama watu wanavyoamini lakini wametofautiana kidogo. “Kwa sasa siko kwenye maelewano mazuri na mama watoto wangu, siyo kwamba tumeachana au tumetengana sitaki kusema hivyo pia wimbo wangu mpya huu wa Lonely sijamuimbia mtu na hauhusiani na maisha yangu kabisa”. Alisema Barnaba Aidha msanii huyo […]

Read More..

Shilole:Sipangiwi Kuzungumza Kiingereza

Post Image

Msanii wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole’ anayetamba na wimbo wa ‘Hatutoi kiki’ amefunguka kuwa hapendi kuzungumza lugha ya Kiingereza pasipo sababu kwakuwa ametumia gharama kuilipia lugha hiyo, na hivyo hakuna wa kumpangia kuizungumza. Akiwa East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo Shilole amesema kwamba watu wanaomtaka yeye kuzungumza Kingereza wanapoteza muda wao kwa […]

Read More..