-->

Category Archives: BongoFleva

Ommy Dimpoz Afungukia ya Skendo ya Kuwekwa ...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Ommy Dimpoz amekanusha tetesi zilizozagaa kwamba amewekwa ndani kimapenzi maeneo ya mbezi  na jimama ambalo lina mahusiano naye kumapenzi. Akiongea kupitia eNEWZ ya EATV, Ommy amesema kwa sasa anaishi Mikocheni Dar es Salaam na hajawahi kuwekwa ndani na mwanamke yeyote kwa kuwa anasema mpenzi wake wa sasa ni mchina […]

Read More..

New Video: Billnass Ft Mwana FA – Mazoea

Post Image

Msanii Billnass ameachia video yake mpya ya wimbo ‘Mazoea’ akiwa amemshirikisha Mwana FA. Video imeandaliwa na Kwetu Studio chini ya director Masafiri.

Read More..

Harmorapa Afungukia Uhusiano Wake na ‘Wol...

Post Image

Msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, Harmorapa, leo ametinga kwenye Ofisi za Global Publishers, Bamaga- Mwenge jijini Dar ambapo mbali na mambo mengine, amefungukia uhusiano wake wa kimapenzi na ‘Wolper’. Harmorapa amesema kuwa kutokana na kufanana sana na Harmonize, […]

Read More..

Nay wa Mitego Aijibu ‘Diss’ ya Madee

Post Image

Wafalme wa Manzese, Madee na Nay wa Mitego, wameirejesha tena bifu yao. Imerudi upya baada ya Madee kuandika mstari kwenye wimbo wake mpya, Hela ambao umetafsiriwa kumwendea hasimu wake, Nay. “Yule kijana wa home sio staa, anatukana hata waliomzaa, wivu tamaa na njaa ukiendekeza ujue kidole utakaa,” Madee amerap kwenye wimbo huo. Baada ya muda […]

Read More..

Jaydee Afungukia Maisha ya Ndoa kwa Wanawak...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Lady Jaydee amefunguka na kusema wanawake wengi wanaogopa kuanza maisha mapya ya mahusiano kwani wengi wao wanashindwa kuondoka kwenye ndoa zao ambazo hazina afya. Lady Jaydee alisema hayo kupitia kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa na EATV na kusema wanawake wengi wanashindwa kufanya maamuzi kwa sababu hawajiamini na wanaogopa kwenda […]

Read More..

Video: Joti Akiimba Wimbo wa Darassa- Muzik...

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Joti amerudia wimbo wa mwanamuziki Darassa unaokwenda kwa jina la Muziki. Huu ni wimbo uliofanya vizuri tangu ulipotoka mwezi Disemba mwaka jana hadi sasa. Wimbo huu ni wa Darassa ambapo amemshirikisha Ben Pol ikiwa ni wimbo wao wa pili kuimba pamoja baada ya ule wa Sikati Tamaa. Burudika na video hapa […]

Read More..

Hawa Ndiyo ‘Marapa’ Watano Anao...

Post Image

Rapa Roma Mkatoliki leo kwenye kipindi cha Planet Bongo amefunguka na kutaja orodha ya wasanii wake wa tano wa hip hop Bongo ambao anawasikiliza na kuwakubali zaidi kutokana na kazi zao. Roma Mkatoliki kwa kuanza alimtaja Rapa Roho Saba na kusema anamsikiliza sana na kumkubali sana na watu watashangaa kwanini amemtaja Roho Saba ili hali ana […]

Read More..

Diamond, Zari Walipamba Jarida Maarufu la S...

Post Image

MWANAMUZIKI mwenye taito kubwa kwa sasa nchini na Afrika, mtoto wa Tandale na Mkurugenzi wa Kampuni ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mzazi mwenzake, Zarina Hassani ‘Zari’ wamelamba shavu kubwa baada ya kuvuta mkataba wa kupiga picha za kupendezesha jarida maarufu la Afrika Kusini liitwalo ‘Papas and Mamas’. Kitendo hicho kimewafanyanyote […]

Read More..

Video: ‘Pacha’ wa Harmonize, Ha...

Post Image

Msanii wa muziki, Hamorapa anayedai ni pacha wa Harmonize ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Usigawe Pasi’ aliomshirikisha Em One. Video imeongozwa na Khero One.

Read More..

Mpoto Atoa Dili Tano kwa Vijana Wasio na Mt...

Post Image

Msanii wa mashairi na kughani Mrisho Mpoto ametoa somo kwa vijana wa watanzania kwa kuwapa njia mbalimbali ambazo zinaweza kuwafanya kujikwamua kiuchumi endapo watazitumia kuanzisha biashara ya kutumia mtaji mdogo au bila ya kuwa na mtaji kabisa. Mrisho Mpoto ametumia ukurasa wake wa facebook kutoa fursa tano ambazo anaona kama vijana watazitumia zinaweza kuwa na tija […]

Read More..

Said Fella Aota Urais Mwaka 2040 au 2060

Post Image

Said Fella ana ndoto kubwa katika career yake ya siasa. Si tu kwamba anataka aje kuwa mbunge siku za usoni, Fella ana ndoto ya kuwa mkuu wa nchi kabisa. Meneja huyo mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo Fleva na aliyejitengenezea umaarufu mkubwa kupitia kundi la TMK Wanaume Family kwa sasa ni Diwani wa kata […]

Read More..

Dume Suruali Yavunja Historia ya Mwana FA

Post Image

Video ya wimbo Dume Suruali wa Mwana FA aliyomshirikisha Vanessa Mdee imevunja historia ya rapa huyo kwa kuwa video yake ya kwanza katika historia yake ya muziki kufikisha watazamaji wengi zaidi katika mtandao wake wa ‘You tube’ Video ya ‘Dume suruali’ ilitoka rasmi tarehe 25 Novemba mwaka jana na mpaka sasa imefikisha jumla ya watazamaji […]

Read More..

Afande Sele Awaomba Msamaha Mashabiki Wake

Post Image

BAADA ya kutangaza kuachana na siasa, mwanamuziki wa Hip Hop, Selemani Msindi ‘Afande Sele’ ameibuka na kuwaomba msamaha mashabiki zake aliowakwaza kipindi yuko kwenye siasa na sasa alivyojiondoa. Akizungumza na Gazeti la Risasi Jumamosi, Afande Sele alisema anawaomba msamaha wote kutokana na kuingia na kutoka kwenye siasa hivyo wamuunge mkono kwenye muziki kwani amerudi rasmi. […]

Read More..

Shilole Ahusika Kwenye ‘Mjengo’...

Post Image

Mkali wa muziki wa singeli Bongo, Man Fong amemtaja msanii mwenzake wa bongo fleva na bongo movie, Shilole a.k.a Shishi Trump kuhusika katika ujenzi wa nyumba yake ambayo anataraji kuijenga wakati wowote kutoka sasa. Man Fongo aliyekuwa katika mahojiano kwenye kipindi cha Ujenzi cha EATV, amesema mtu pekee aliyemuhamasisha kujenga nyumba ni Shilole, na hiyo […]

Read More..

Video: Show ya Diamond Kwenye Ufunguzi wa A...

Post Image

Jumamosi hii Diamond Platnumz na dancers wake, akishirikiana na wasanii wengine akiwemo Mohombi na Lumino, walitumbuiza kwenye ufunguzi wa kombe la AFCON 2017 nchini Gabon. Tazama video hiyo chini.

Read More..

Joti: Nakuja Kidigitali Zaidi

Post Image

UKUMUANGALIA tu lazima ucheke kwani ni kipaji na sio ngekewa, amefanikiwa kuteka watoto, vijana, watu wazima na wazee hiyo yote ni kutokana na kuigiza nyanja zote tena bila wasiwasi wowote ule, Lucas Mhavile maarufu Joti alitamba na Original Comedy kundi ambalo lilitoa burudani kwa muda wa miaka 11 bila kuwa na mpinzani katika angaza za […]

Read More..

Sababu za Weusi Kuficha Wapenzi Wao Yafichu...

Post Image

Rapa Nikki wa Pili kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kuweka wazi sababu ambazo zinawafanya wao kama Weusi kutoweka wazi maisha yao binafsi ikiwepo maisha ya mapenzi na maisha ya kawaida ya kila siku Akionge kwenye kipindi cha Planet Bongo Nikki wa Pili amesema wamekuwa wakificha maisha yao binafsi kwa sababu hawahitaji familia zao […]

Read More..

Lulu Aifungukia Video ya Darassa, Aipa Namb...

Post Image

Msanii wa Filamu nchini Elizabeth Michael ambaye amekuwa msanii wa kwanza kufungua kipindi cha ‘NgazKwaNgaz’ mwaka 2017 ametaja video zake 20 ambazo zilimkosha sana na kumfurahisha mwaka jana. Katika ngoma 20 zilizofunga vizuri mwaka kwa Lulu Michael wimbo wa Darassa ‘Muziki’ ndiyo umekamata nafasi ya kwanza. Lulu anadai kwa mara ya kwanza alipoiona video hiyo […]

Read More..