-->

Category Archives: BongoFleva

Pichaz: Je Ni Kweli Lady Jaydee Amefunga Nd...

Post Image

Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa ni mkubwa. Na tena kwa anachokiandika mwenyewe kwenye Instagram, Jide anamaanisha kuwa […]

Read More..

Dimpoz Afunguka Kuhusu Mubenga

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amekanusha tetesi za kuwa na ugomvi na aliyekuwa ‘business partiner’ ambaye pia alikuwa meneja wake maarufu kwa jina la Mubenga, baada ya kila mmoja kuchukua hamsini zake na kufanya yake. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television Ommy Dimpoz amesema Mubenga ameamua kufanya biashara zake mwenyewe bila kushirikiana naye, kitu ambacho ni […]

Read More..

TUZO za EATV: Kwanini Mastaa Wametoswa?

Post Image

MIONGONI mwa habari zinazobamba kwa sasa katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni pamoja na Tuzo za EATV 2016, lakini kinachozunguka zaidi vichwani mwa wadau ni kutoswa kwa baadhi ya mastaa wengi wa filamu na muziki katika kinyang’anyiro hicho. Tuzo hizo ambazo zinatarajiwa kutolewa Desemba 10, mwaka huu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es […]

Read More..

Nikki wa Pili Awaasa Mafisadi, Awakumbusha ...

Post Image

Msanii Nikki wa pili ambaye pia ni mwanazuoni anayetoka kundi la Weusi ambalo linafanya vizuri kwenye muziki wa Hip Hop, amewaasa mafisadi juu ya wanachokifanya, huku akiwaonya kuwa maisha bado yatakuwa yale yale hadi siku ya kifo. Kwenye ukurasa wake wa instagram Nikki wa Pili ameandika ujumbe akiwakumbusha watu wanaopenda kujilimbikizia pesa, kuwa hata uwe […]

Read More..

Mama Diamond Adai Nyumba ya Diamond ya Mada...

Post Image

Mama mzazi wa msanii diamond Platnumz amefunguka na kudai kuwa nyuma ya diamond aliyojenga madeli jijini dar es salaam ni yake na sio ya diamond. Hii nikutokana na ahadi alioiweka diamond mwenyewe kipindi ameanza kuijenga. Zaidi msikie hapa  

Read More..

Ommy Dimpoz Awamwagia Sifa BASATA

Post Image

Msanii wa bongo fleva Ommy Dimpoz amelisifia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kuwafanyia kazi wasanii ambao wanajishughulisha na kuimba mambo yasiyofaa pamoja na matusi katika nyimbo zao. Akipiga story ndani ya eNewz amesema analipongeza baraza hilo kwa kuwachukulia sheria wasanii ambao wanaimba nyimbo zenye matusi na ambazo hazina maadili na kutengeneza maneno na mijadala isiyo […]

Read More..

Dito Awafagilia Mastaa Waliooa, Afunguka Ku...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Dito amesema amekaa na mwanamke wake kwa miaka mitano na wamefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume lakini bado hawajafanikiwa kufunga ndoa. Akiongea ndani ya eNewz Dito amewapongeza wasanii waliofunga ndoa na kusema wamefanya vizuri kutengeneza familia ambazo baadaye zitawasaidiaa kwa kuendeleza vipaji kupitia watoto wao au kuwa wasimamizi wa muziki wanaoufanya na […]

Read More..

Man Fongo: BASATA Walitaka Kufungia Hainaga...

Post Image

Msanii wa muziki wa Singeli Man Fongo amesema aliitwa na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na kuhojiwa kuhusu maudhui ya wimbo wake ‘Hainaga Ushemeji’ ambao umeshafanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Man Fongo amesema aliachiwa na baraza hilo baada ya kuonekana hana hatia. “BASATA walinitafuta wakaniuliza vipi kijana mbona […]

Read More..

Raymond Atuhumiwa Kuiba Mistari Kwenye Wimb...

Post Image

Msanii wa WCB, Raymond anatuhumiwa kutumia baadhi ya mistari ya wimbo wa msanii wa muziki wa Singeli, Manyo Lee kwenye wimbo wake mpya wa ‘Sugu’. Akiongea na kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Manyo Lee amesema, “Mimi nilisikia kwa watu tu kuwa dogo kachukuwa mashairi yangu. Juzi kati lilifanyika tamasha kubwa tu nikaona akiimba […]

Read More..

Sina ‘Bifu’ na Bella – Chaz Baba

Post Image

Mkongwe wa muziki wa dance nchini Chaz Baba amesena hana bifu lolote na msanii mwenzake Christian Bella na kwamba yeye ni ‘Team Bella’ damu. Pia Chaz Baba amesema ni wakati tu haujafikia na muda ukifikia watakutana na Bella kwa kuwa tangu Bella anaingia Tanzania alikuwa anamuelewa na sasa anafanya vizuri katika muziki na mashabiki wake ndo mashabiki waliokuwa […]

Read More..

Alikiba Afungukia Ishu Yake na Hakeem 5

Post Image

King wa bongo fleva Ali Kiba amesema kwa sasa hawezi kufanya kazi na Hakeem 5 hata kama ikitokea akiomba kolabo kwa kuwa uongozi wake ndiyo utatoa maamuzi ya nani kufanya kolabo na yeye kwa sasa. Hata hivyo Kiba amesema hana tatizo na Hakeem 5 kwani ni ndugu yake na anajua yote yametokea kwa kuwa kamsaidia […]

Read More..

Calisah Afunguka Baada ya Kusambaa kwa Vide...

Post Image

Weekend hii katika mitandao ya kijamii kumesambaa video inayomuonyesha malkia wa filamu nchini Wema Sepetu akiliwa denda na model Calisah. Wawili hao ambao walitumia nguvu nyingi kufanya siri mahusiano yao, wameumbuka kupitia video hiyo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii. Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Calisah amesema hajui ni nani ambaye amesambaza video hiyo mtandaoni kwani […]

Read More..

Sijawahi Kuomba Kolabo kwa Msanii wa Bongo ...

Post Image

Msanii nguli wa bongo fleva Q Chief amesema hajawahi kumpigia msanii yoyote hapa Tanzania kumuomba wafanye kolabo japo yeye amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa wasanii mbalimbali wakimuomba kufanya naye kolabo. Akiongea ndani ya eNewz Q Chilla amesema huwa anaangalia muda wake pale anapopigiwa simu za kuombwa kolabo na  mara nyingi anaangalia malipo na muda aliamua […]

Read More..

Ommy Dimpoz:Kuna baadhi ya Wasanii Wananunu...

Post Image

Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amedai yeye hawezi kufanya mchezo wa kununua views kama baadhi ya watu wanavyofanya. “Mimi nataka kutoa wito maana siku hizi watu ‘wanachiti’ […]

Read More..

Baada ya Video ya Kudendeka Kuvuja, Mashabi...

Post Image

Kufuatia kuvuja kwa video inayomuonesha Wema Sepetu akiliwa mate na model Calisah, anayedaiwa kuwa ni boyfriend wake sasa mashabiki mtandaoni wamemshanulia staa huyo. Kwenye moja ya post, Calisah ameandika ‘Hope U knw the truth (God).” Wema ambaye ameonesha kuchukizwa na kuvuja kwa video hiyo alicomment kwenye post hiyo kwa kuandika “Bullshit. F*ck You!” Inaonekana kuwa […]

Read More..

Keisha Apata Mtoto wa Tatu, Ahitimu Chuo Ki...

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo Flava, Keisha, amepata mtoto wa tatu. Kama hiyo haitoshi, muimbaji huyo amehitimu pia chuo kikuu. Keisha ameshare furaha hiyo kupitia Instagram: Thanks Allah for blessing me with the big achievement that I have ever made in my life for obtaining my first Degree together with my 5 days new born oohh Allah […]

Read More..

Hakeem 5 Agoma Kumuomba Alikiba Msamaha

Post Image

Msanii wa bongo fleva Hakeem 5 amesema hawezi kumuomba Ali Kiba msamaha kwa kuwa hajafanya kosa lolote na alichoongea kuwa Ali Kiba anaroho mbaya aliongea ukweli. Akiongea ndani ya eNewz amesema anaweza kuishi akiwa anafanya muziki na hata  asipofanya hivyo anaweza akaishi hivyo hawezi kwenda kumuomba Kiba msamaha kwa kuwa yeye hakutaka kufanya kolabo na Kiba […]

Read More..

Rapper wa Kike Chemical Adai Hajawahi Guswa...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa jina la “I’M SORRY MAMA” mwanadada Chemical, amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu azaliwe). Chemical ameongea hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha D’WIKEND CHATSHOW kinachorushwa kupitia clouds tv. Chemical ameongeza, licha ya kuwa bikira hajawahi kujihusisha na mapenzi ya […]

Read More..