Shamsa Ford Aeleza Jinsi Ndoa Ilivyobadili ...
Malkia wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kuzungumzia jinsi ndoa ilivyobadili maisha yake. Mwigizaji huyo miezi miwili iliyopita alifunga ndoa na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi. Akiongea na Bongo5 Alhamisi hii, Shamsa amesema ndoa imempatia amani ya moyo ambayo alikuwa anaitafuta kwa muda mrefu. “Namshukuru mwenyezi Mungu kwa afya njema na kwa kila […]
Read More..






