-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

VIDEO: Bongo Movies & Bongo Fleva Waib...

Post Image

DODOMA: WASANII wa filamu nchini, Bongo Movie pamoja na wale wa muziki, Bongo Fleva jana waliibuka kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma wakati waziri Dkt. Harrison Mwakyembe akisoma bajeti ya makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2017/2018. Chanzo:GPL

Read More..

Shamsa Ford Amkingia Kifua Flora

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kumtetea Flora aliyewahi kuwa mke wa Emmanuel Mbasha ambaye wiki iliyopita aliolewa tena na kijana Daudi Kusekwa. Shamsa Ford ameibuka na kuanza kumtetea Flora kutokana na maamuzi yake hayo ya kuolewa kwa mara ya pili na kusema yeye ndiye anajua kwanini ameamua kufanya hivyo na kumtaka kutosikiliza maneno […]

Read More..

Mwanaheri Awatahadharisha Wabunge Wanaomsum...

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Mwanaheri Ahmed amesema kuwa anawatahadharisha wabunge wanaomsumbua mitandaoni na kwenye simu yake kuwa wakiendelea atawataja kwani anawaheshimu sana. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Mwanaheri alisema kuwa kutokana na shepu aliyonayo amekuwa akisumbuliwa na wabunge tofauti kupitia akaunti yake ya Instagram ambapo humfuata DM na kwenye simu yake kumuomba kuingia naye kwenye […]

Read More..

Unauza Filamu Elfu 6 kwa Hali Gani ya Maish...

Post Image

Mchekeshaji Steve Nyerere ameendelea kufunguka mambo mengine mapya kwa kudai kinachosababisha kufa kwa filamu za bongo ni wasanii wenyewe kushindwa kutambua ushidani wa kibiashara katika soko ukoje. Steve amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz huku akisema adhani kama wanapaswa kuendelea kushindana na wamachinga wanaosambaza na kuuza ‘CD’ katika soko la Karikakoo kwa kuwa wao wanachokiuza […]

Read More..

Yusuph Mlela Atoa Angalizo Hili kwa Wanaota...

Post Image

Muigizaji wa filamu za Bongo Yusuph Mlela amefunguka na kudai kwamba wapo tayari kupambana na mtu anayetafsiri filamu za nje kwa lugha ya Kiswahili na kuziuza kwa bei rahisi, ili kunusuru soko la filamu  la ndani lizisije kufa. Mlela ameongeza kuwa wao kama wasanii wasipoonyesha juhudi za kupigania soko la filamu basi kizazi chao kitakuwa hakijaonyesha […]

Read More..

Scene za Mapenzi Zamtesa Mwanaheri

Post Image

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi, Mwanaheri Ahmed, amefunguka kuwa, suala la kucheza ‘sini’ (scene) za kimapenzi kwenye filamu huwa linamtesa hasa linapokuja suala la kumlaghai mwanaume. Akipiga stori na Showbiz Xtra , Mwanaheri alisema kuwa, pamoja na mwigizaji kupaswa kuvaa uhusika wa scene yoyote ile unayopangiwa, lakini kwake uhusika wa mapenzi huwa unamtesa na kumnyima usingizi. […]

Read More..

Nitaandamana Kwa Filamu Nzuri – Gabo ...

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo anayesifiwa kwa kufanya vizuri, Gabo Zigamba amefunguka na yeye maandamano yake anayafanya kwa kutengeneza kazi bora kwa mashabiki zake waliompa nafasi ya kuonekana a siyo kuhofia soko kushuka. Gabo amefunguka na kusema kuwa katika kuhakikisha soko linasimama na kuwa imara yeye ameamua kutengeneza kazi nzuri haswa katika kipindi hiki ambacho wasanii […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Kusikilizwa Juni Mosi

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeambiwa kwamba upelelezi wa kesi ya kukutwa na bangi inayomkabili Muigizaji maarufu, Wema Sepetu na wenzake umekamilika. Hatua hiyo imefikiwa leo  ambapo upande wa Jamhuri mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba alisema kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya msanii huyo na wakili wa Serikali Helleni Mushi ameomba […]

Read More..

Sizifahamu Movie za Ray – Nikk Wa Pili

Post Image

Msanii wa Hip hop nchini Tanzania Nikk Wa Pili amesema kuwa mastaa wengi wa Bongo Movie wanafahamika zaidi kuliko kazi zao tofauti na ilivyo kwa wasanii wa filamu kutoka nje. Nikk Wa pili alizungumza hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL)  nakusisitiza kuwa mastaa wengi wa bongo wanatrendi kwa muda mrefu hata zaidi […]

Read More..

Bongo Muvi Acheni Kuwaonea Wakorea, Wafilip...

Post Image

BONGO Muvi imekwisha sasa. Hakuna anayeshtuka kusikia Ray ama Riyama katoa Muvi mpya. Bongo Muvi ipo ipo tu. imebaki kuwa kama Panadol. Haimalizi tatizo bali inatuliza tu. Mtu akitaka kuangalia muvi za nyumbani anaangalia ila anakuwa hajamalizwa kiu yake. Hakuna ubunifu wala viwango. Hakuna vipaji halisi wala kitu cha kushawishi kuangalia. Juzi wameandamana. Kabla ya […]

Read More..

Nay wa Mitego Anakula Madawa – Niva S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Niva Super Mario ameendelea kumsakama Nay wa Mitego kwa kusema kuwa msanii huyo hana nguvu na si mtu wa mazoezi bali ni mtu ambaye anakula madawa ya kuongeza nguvu na mwili huku akitafuta kiki kupitia bongo movie. Niva alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) na kusema hiyo […]

Read More..

Kajala Kajala Aanika Mwanaume wa Kumuoa

Post Image

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja, amefunguka kuwa, endapo ataolewa tena, basi kigezo cha kwanza cha huyo mtarajiwa wake kitakuwa ni kudekezwa. Kajala ambaye aliolewa kisha ndoa yake kupata matatizo na mumewe kufungwa gerezani na hivi karibuni kuachiwa, alisema endapo itatokea ameolewa kwa mara nyingine basi kigezo cha huyo mwanaume ni lazima awe anayejua […]

Read More..

Wababe wa Game Wamerudi!

Post Image

WASANII wenye uwezo mkubwa katika tasnia ya filamu za Kibongo nchini wamerejea mzigoni. Hapa nawazungumzia Jimmy Mponda ‘J Plus’ na Sebastian Mwanangulo ‘Insp. Seba’.   Mseto wa J Plus a.k.a Jimmy Master na Seba ni wa aina yake. Ni wasanii wanaocheza sinema za mapigano na kwa hakika kwa namna wanavyoweza kuwasiliana wanapokuwa nyuma ya kamera, […]

Read More..

Kutoka na Mzee Siwezi-Shilole

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Shiloe alimaarufu kama Shishi Baby amefunguka na kuwataka wanaume ambao wanategemea wanawake kuvalishwa, kulishwa wabadilike na kuanza kufanya kazi ili wasitegemee tena wanawake kuendesha maisha yao. Shilole anasema wanaume ambao wanapenda kutunzwa na wanawake ni wanaume sanamu, maana wanaume makini hawawezi kutegemea kulelewa na wanawake. “Haya mambo hayatakiwi kuwepo, […]

Read More..

Yusuph Mlela Ataka Wazichape na Nay wa Mite...

Post Image

Muigizaji wa filamu za bongo Yusuph Mlela leo amezungumza na kumtaka msanii wa muziki wa hip hop na Bongo fleva Nay wa Mitego, kuheshimu na kutoziingilia kazi za wasanii wengine kama anavyoheshimu kazi zake. Yusuf Mlela aliendelea kwa kusema kuwa kama Nay wa Mitego anaona ameshafanikiwa kimaisha basi awapishe wasanii wengine waendelee kujitafutia riziki kwani […]

Read More..

Steve Nyerere Afungukaia Urais wa Mwakifamb...

Post Image

Mchekeshaji Steve Nyerere amendelea kuwachana wasanii wenzake kutotumia nguvu nyingi kutaka kumng’oa madarakani  Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba kwa kisingizio cha kudai harakati za kufanya mabadiliko katika tasnia ya filamu. Steve ametema chehe hizo  kwa kudai figisu zinazofanywa na wasanii wenzake kwa njia za maadamano zina lengo la kutaka kumuondoa madarakani Simon Mwakifamba […]

Read More..

Nicole Afungukia Ishu Vanessa Kumchukulia B...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Nicole aliyezaa na mbunge ambaye hakutaka kuweka jina lake wazi amefunguka tetesi za mzazi mwenzake huyo kutoka kimapenzi na msanii Vanessa Mdee na kusema yeye anafahamu kuwa Vanessa na mzazi mwenzake huyo ni kama mtu na mdogo. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz Nicole amedai yeye hafahamiani kabisaa na Vanessa Mdee anasema […]

Read More..

Shilole: Sasa Natamani Kuvaa Shela

Post Image

STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, sasa anatamani kuvaa shela kama walivyovaa wanawake wengine kwani kuna wakati ukifika mwanamke lazima utamani hali hiyo. Akizungumza na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, watu wengi wanamtabiria mambo mazuri ya ndoa lakini anaamini kuwa siku yake itafika na ataolewa na kila mmoja atashangaa. “Natamani sana na […]

Read More..