-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

VIDEO: Steve Nyerere Afungukia Kutounga Mko...

Post Image

KUFUATIA maandamano ya wasanii wa Filamu nchini, Bongo Movie, ambao wameandamana leo katika mtaa wa Aggrey Kariakoo  wakipinga uingizwaji wa filamu za nje na urudufishwaji wa filamu za ndani huku wakiwataka wamachinga wanaouza filamu hizo waache mara moja, msanii wa tasnia hiyo Steve Mengele Nyerere amefunguka kuhusu kutoonekana kwenye tukio hilo. Akifanya mazungumzo Global TV […]

Read More..

Wasanii wa Bongo Muvi Waandamana Kariakoo D...

Post Image

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akishirikiana na Wizara ya Habari pamoja na wasanii wa filamu wameendesha operesheni maalum katika mitaa ya Kariakoo Jijini Dar es salaam kwa dhumuni la kupambana na wazalishaji wa CD ‘feki’ za filamu kutoka nje ya nchi. Hatua hiyo imekuja baada ya wasanii wa filamu nchini kumtembelea […]

Read More..

Sitoki na Mwigizaji Yoyote Bongo Movie- Rac...

Post Image

MSANII wa filamu Bongo Rachel Bitulo amefunguka kwa kusema kuwa hana mahusiano na mwigizaji yoyote kwani yeye ana mchumba wake ambaye wanapenda sana hivyo hawezi kuwa uhusiano na msanii wa filamu awe mkubwa au mdogo hata usumbufu uvumi huo unakuja baada picha moja kurushwa mtandaoni. Picha hiyo alikuwa na mwigizaji mwezake Stanley Msungu maarufu kama […]

Read More..

Lulu Akanusha Taarifa za Ndoa

Post Image

Muigizaji Elizabeth Michael (Lulu) akana kutoa taarifa za ndoa yake.   Hivi karibuni magazeti ya Mtanzania na Mwananchi yaliobnekana kufanya mahojiano na mrembo huyo na kuripoti kuwa ndoa yake na mpenzi wake Fransic Shiza maarufu kama Majay ambaye pia ni bosi wa EFM na TVE inakaribia. Kupitia mtandao wa Twitter, Lulu amekanusha taarifa hizo kwa […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Mchawi wa Bongo Movie ni Bo...

Post Image

Kim Kardashian anaweza kuwa na mpango wa kupiga picha za utupu katika jarida maarufu la PlayBoy. Ameshafanya hivyo mara kadhaa. Na zaidi dunia nzima iliwahi kumuona akifanya ngono na Ray J, kupitia mkanda wa video waliojirekodi pamoja. Lakini haijawahi kumyumbusha akili yake na kushindwa kuendelea na mambo yake na zaidi umaarufu ukaongezeka zaidi. Biashara zake […]

Read More..

Bado Namkumbuka Mshkaji Wangu Kanumba!

Post Image

MIAKA mitano imekatika sasa tangu mkali wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba afariki dunia. Marehemu Kanumba alifariki Aprili 7 na kuzikwa Aprili 10, 2012 katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Tasnia ya filamu za Kibongo bila shaka bado inamkumbuka shujaa huyu ambaye alijitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kupaisha filamu zetu katika medali […]

Read More..

Wema Sepetu, Gabo Kuwasha Moto Kwenye Filam...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu pamoja na Gabo Zigamba wataonekana kwenye filamu mpya ‘Heaven Sent’ inayoongozwa na Neema Ndepanya chini ya kampuni ya Fontana Entertainment. Katika filamu hiyo Wema atakuwa kwenye mahusiano na Gabo Zigamba. “Sometimes in Life, You meet people for a Reason…. Im so happy I found the Reason I met you Gabo […]

Read More..

Wema Sepetu Ataka Mashabiki Waheshimiwe

Post Image

STAA wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, amesema ni upuuzi kwa msanii kutomheshimu shabiki wake kwa kuwa bila huyo hawezi kuwa msanii. Wema alisema kwa kuwa msanii ni kioo cha jamii, hivyo hatakiwi kutoheshimu mashabiki wake kwa kuwa hao ndiyo wanaomsaidia kisanii. “Kuna baadhi ya wasanii wanatumia majina yao vibaya, ukiwa staa unatakiwa […]

Read More..

Nisha na Majanga ya Kuvunjiwa Duka Lake

Post Image

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuhusu duka lake la nguo lililopo Sinza Makaburini, Dar kuvunjwa huku wengine wakihisi kavunjiwa kwa sababu za bomoabomoa jambo ambalo mwenyewe amesema si la kweli bali anafanya ukarabati. Kuvunjwa kwa duka la Nisha kulizua sintofahamu kwa mashabiki wake hivi karibuni, jambo ambalo Show Biz Xtra ilimtafuta […]

Read More..

VIDEO: Alichokisema Rose Ndauka Kuhusu Mada...

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movie, Rose Ndauka amelifungukia swala na madai ya kuwa bongo movie imekufa kwa kueleza kuwa bongo movie haijafa kwa sababu wapo wasanii wanafanya kazi nzuri na kuwa  tatizo jamaii haitaki kuwapokea wasanii wapya. Akiongea na Ayo TV Entertainment, Rose Ndauka  alifun guka kuwa  anayesema Bongomovie imekufa anasambaza habari za upotoshaji tu kwa […]

Read More..

Sakata la Roma, Davina Amuunga Mkono Wema

Post Image

BAADA ya supastaa wa filamu Wema Sepetu kuwashutumu wenzake wa Bongo Muvi kwa kutosapoti harakati za kupiga kelele kufuatia kupotea kwa Mwanamuziki wa Hip Hop, Ibrahimu Mussa ‘R.O.M.A’ kwa siku tatu na kusababisha kutoleana maneno makali mtandaoni na muigizaji mwenzake Vincent Kigosi ‘Ray’, Halima Yahya ‘Davina’ amemuunga mkono mrembo huyo wa zamani wa Tanzania akisema […]

Read More..

Ndoa ya Lulu, Dj Majizo Yanukia

Post Image

BAADA ya kuwa kimya kwa muda mrefu, staa wa filamu mwenye vituko vingi, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ameibuka na kuweka wazi kwamba yupo mbioni kukamilisha maandalizi ya ndoa yake na mmiliki wa Redio EFM, Francis Shiza ‘Dj Majizo’. Lulu, ambaye hivi karibuni alidaiwa kuachana na mpenzi wake huyo wa muda mrefu, aliliambia MTANZANIA kwamba taarifa hizo […]

Read More..

Aunty Fifii Amkumbuka Kanumba, Akiwachana W...

Post Image

IJUMAA iliyopita ilitimia miaka mitano kamili tangu Steven Kanumba alipofariki dunia ghafla na kuleta majonzi nchini nzima, lakini huwezi kuamini ni wasanii wachache wa tasnia hiyo waliweza kufanya kumbukumbu yake. Jambo hilo limemkera mno mwingizaji mkongwe aliye pia mtunzi na mtayarishaji, Tumaini Bigilimana ‘Aunty Fifi’ ambaye aliongoza ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Kanumba sambamba […]

Read More..

Wema, Mafufu Warushiana Maneno!

Post Image

NYOTA wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jimmy Mafufu, wameingia kwenye katika bifu kiasi cha kufikia kurushiana maneno kupitia kitandao ya kijamii. Wema siku chache zilizopita aliandika maneno katika ukurasa wake wa Instagram kuwa kuna baadhi ya wasanii wa Bongo Movie ni wanafki na wanaacha kuposti ishu ya kupotea kwa mwimbaji Roma badala yake wao […]

Read More..

Ray Kigosi Amvaa Wema Sepetu Sakata la Roma

Post Image

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema tukio la kupotea kwa Roma isiwe sababu ya kutakatisha uchafu wa mtu. Ray Kigosi ameonyesha kuguswa na kile alichosema Wema Sepetu kuwa baadhi ya wasanii wa filamu wao suala la Roma hawaoni kama linawagusa. Ndipo hapo Ray alipofunguka na kumtaka Wema asiwagombanishe na wananchi. “Nafikiri ni […]

Read More..

VIDEO:Wasanii Huu ni Wakati wa Kupendana-Jo...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kuwa kwa sasa wasanii wa maigizo wanapaswa kushikamana na kuondoa tofauti zao. Johari ameyasema hayo leo wakati akipiga stori na mwandishi wetu akiwa katika Makaburi ya Kinondoni kwa ajili ya sala fupi ya kumwombea aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba aliyefariki siku kama ya leo […]

Read More..

Steve:Tumuenzi Kanumba kwa Vitendo

Post Image

MSANII wa maigizo na vichekesho nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa, wasanii wa tasnia ya filamu wanapaswa kumuenzi kwa vitendo aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambaye leo ametimiza miaka mitano tangu kifo chake. Steve alisema hayo leo wakati alipoungana na baadhi ya wasanii wa Bongo Movies kufanya ibada fupi ya kumuombea […]

Read More..

Mizengwe, Kundi Pekee La Comedy Lililosalia...

Post Image

Kikundi cha kash kash, kinajojishughulisha na shughuli za sanaa kwa kucheza ucheshi unaojulikaba kama Mizengwe ndio kikundi pekee hivi sasa kilichobakia kwenye tasnia ya ucheshi kwa kuweza kuendelea kuiburudisha jamii kupitia vichekesho vyao! Kikundi hicho kilichojaliwa kuwa na wachekeshaji wenye vipaji akiwemo mkwere original, maringo7, safina na wengineo wameweza kutawala na kukiimarisha kikundi hiki kwa […]

Read More..