-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Kajala Masanja : JB Ana Mchango Mkubwa Kwen...

Post Image

Msanii wa filamu Kajala Masanja amesema haikuwa kazi rahisi kwake kufika hapo alipofikia bila ya mchango wa msanii mkubwa wa filamu nchini, Jacob Stephan aka JB. Muigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wanaowania Tuzo za EATV 2016, alishare siri ya mafanikio yake mbele ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Kampasi ya […]

Read More..

Chiki ‘Ampigia Magoti’ JB

Post Image

Msanii wa bongo movie  Chiki Mchoma amesema JB hana sababu ya kustaafu kuigiza kwa kuwa ni mtu ambaye bado sanaa inamuhitaji na kuna wasanii wachanga na wakongwe wanamuhitaji kwa ushauri zaidi. Akiongea kupitia eNewz Chiki amesema anamkumbusha JB kurudi bongo movie kwa kuwa sanaa haina kustaafu na kama kuna malengo ambayo aliyaweka yakawa hayajatimia asikate tamaa arudi kuendeleza […]

Read More..

Nisha:Hii Mimba Sio ya Baraka Baraka The Pr...

Post Image

Muigizaji wa filamu Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa endapo ujauzito wake ungekuwa wa Baraka The Prince kama inavyosemwa na wengi basi ungetoka wenyewe mapema kwa kuwa muimbaji huyo ni miongoni mwa wanaume asiowapenda duniani. Akizungumza katika kipindi cha FNL cha EATV, Nisha amesema siri ya mimba yake anayo moyoni na hana haja ya kumtaja mwanaume […]

Read More..

Uzinduzi wa Filamu ya Siri ya Moyo Watikisa...

Post Image

UZINDUZI wa filamu ya Siri ya moyo iliyotengenezwa na mwigizaji mahiri na mtayarishaji wa filamu Bongo Salum Saleh ‘Man Fizo’ ulifana na kuwa ni kivutio kwa wapenzi wa sinema za kitanzania baada ya watu wengi kujitokeza na kufurahia kazi hiyo ambayo imeshieikisha wasanii nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood, sinema hiyo imeonyesha ubora wa kazi […]

Read More..

Bongo Movie Tumekuwa Kama Nyumbu – Gabo

Post Image

Msanii wa filamu nchini Tanzania ambaye anatajwa kuchukua nafasi ya marehemu Steven Kanumba, Gabo Zigamba, amesema kinachoikwamisha tasnia ya filamu nchini ni kukosa umoja kwa wasanii wa movie kiasi cha kukubali kupelekwa pelekwa kama nyumbu. Gabo ambaye pia ni mmoja kati ya washiriki wanaowania tuzo za EATV, alitoa somo hilo mwishoni mwa wiki alipokuwa akijibu […]

Read More..

Jimmy Master Aingia na Filamu ya Foundation...

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu za mapigano Bongo Jimmy Mponda ‘Jimmy Master’ ameamua kusambaza kazi yake ya Foundation kufuatia mikataba inayobana watayarishaji na wasanii kutoka kwa wasambazaji wengine hivyo msanii huyo mkongwe na mahiri katika sinema za mapigano anasimama mwenyewe kuingia sokoni. Filamu ya Foundation imengia jana sokoni na inapatikana nchini kote katika maduka ya […]

Read More..

‘Upcoming’ Wameharibu Soko la B...

Post Image

Mkongwe wa bongo movie Sandra amewachana wasanii wanaoingia katika tasinia ya bongo movie kwa malengo ya kupata umaarufu ili wapate njia za kufanya mambo yasiyofaa katika jamii kupitia umaarufu walioupata. Akiongea ndani ya eNewz Sandra amesema watu wanaopata skendo mbaya kupitia umaarufu walioupata ndani ya bongo movie wanasababisha kupoteza heshima za wasanii wanaojiheshimu lakini pia inaharibu tasnia […]

Read More..

Steve Nyerere Amponda Eric Omondi

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania Steve Nyerere  amesema anahitajika mtu wa kuweza kusimamia mambo ya maigizo, ngumi na michezo ya mpira ili kusogeza tasnia hizo na siyo watu wa kujiangalia wao binafsi. Akiongea na eNewz Steve amesema hajaona kitu ambacho Eric Omondi anamzidi kwa kuwa kazi nyingi za Omondi huwa anakopi nyimbo za watu na ‘kujipromoti’ kwa nguvu ila […]

Read More..

Aunty Ezekiel na Mose Iyobo Wanatarajia Mto...

Post Image

Hii ni picha ambayo imekuwa ikisambaa kwa kasi katika mtandao wa Instagram ni picha ya muigizaji Aunty Ezekiel pamoja na mpenzi wake Mose Iyobo. Imepostiwa na baadhi ya watu ikiwemo Mose Iyobo mwenyewe inamuonesha Aunty Ezikiel akiwa mjamzito, kitu ambacho kimefanya baadhi ya mashabiki wao kutoa comment za pongezi. Kama utakuwa unakumbuka vizuri Mose Iyobo na […]

Read More..

Filamu ya Siri ya Moyo Kuonyeshwa Cineplex ...

Post Image

ILE Sinema ya Siri ya Moyo kutoka kwa mtayarishaji mahiri wa filamu Swahilihood Salum Saleh ‘Man Fizo’ inatarajiwa kuonyeshwa katika ukumbi wa sinema wa Cineplex cinema Quality Centre barabara ya Mwalimu Nyerere zamani Pugu Road, terehe 1. Dec. 2016 Man Fizo ndio mtayarishaji wa filamu ya Nimekosea wapi? Akiongea na FC mratibu wa tamasha hilo […]

Read More..

Riyama,Muhogo, Bi. Hindu na King Majuto wa...

Post Image

BODI ya ukaguzi na filamu na michezo ya kuigiza ilifanya warsha kwa wasanii wa filamu Jiji la Mwanza kwa mafanikio makubwa sana kwa kupata wasanii washiriki wengi ambao wamepata elimu kutoka kwa wawezeshaji mahiri katika masuala ya filamu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam na Dodoma. Akiongea na FC Katibu mtendaji wa Bodi ya […]

Read More..

Wema Sepetu Ampongeza Ommy Dimpoz

Post Image

Baada ya hapo jana Ommy Dimpoz kufunguka kiundani kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kwa kuelezea kilichopelekea akosane na rafiki yake wa zamani, Diamond Platnumz – Wema Sepetu amempongeza kwa kile alichokifanya. Malkia huyo wa filamu nchini, amempongeza hitmaker huyo wa Kajiandae kwa kumsifia kuwa ni mpole na mwenye busara ila alipenda kile alichokifanya […]

Read More..

Namchukia Mwanaume Aliyenipa Mimba – ...

Post Image

Msanii wa bongo movie Nisha Bebe amesema ujauzito wake unampa hisia tofauti na mawazo mpaka anafikia hatua ya kupost mambo tofauti tofauti kwenye mitandao yake kwa kuwa hampendi mwanaume aliyempa ujauzito huo. Akiongea ndani ya eNewz Nisha amesema amevumilia miezi mitano bila mtu kujua kitu chochote juu ya mimba yake lakini kwa sasa ameshindwa kuvumilia na […]

Read More..

Wasanii Hatupendani: Aisha Bui

Post Image

Msanii wa bongo movie nchini Aisha Bui amefunguka na kusema kuwa bongo movie haitaweza kuendelea kama wasanii wenyewe hawatapendana na kushirikiana wenyewe. Akiongea na eNewz, amesema kuwa kama wasanii hawatakuwa na upendo wowote basi hata kazi zao za sanaa bado hazitaweza kufanikiwa. “Wasanii tuwe na upendo na tuwe na ushirikiano, sisi wenyewe tuwe na upendo […]

Read More..

Ushuru Wamkwamisha Baby Madaha Kuingiza Nch...

Post Image

Ushuru mkubwa unaotozwa katika bandari ya Dar es Salaam, umemzuia Baby Madaha kuingiza vifaa vyake vya filamu alivyovinunua mwaka jana mjini Dubai. Muimbaji na muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa serikali ya awamu ya tano imeongeza ushuru kiasi cha kuharibu mipango ya watu wengi. Amedai kuwa vifaa hivyo bado vipo Dubai alikohamishia makazi yake. “Nilileta baadhi […]

Read More..

Naolewa Kweli, Siigizi Miye – Koleta

Post Image

Baada kuibuka maswali mengi kuhusu picha ambazo zilikuwa zikirushwa katika mitandao ya kijamii kuhusu kuvalishwa kwa Pete ya uchumba kwa msanii mahiri wa Filamu na tamthilia Bongo Coletha Raymond ‘Koleta’ si Filamu ni kweli akiongea na FC msanii huyo huku akicheka alisema kufuatia picha hizo watu wanaompigia simu wameongezeka wakitaka kujua kama ni yeye. “Wasanii […]

Read More..

Wasanii Wanatubania Kwenye Pesa- Jengua

Post Image

MOHAMMED Fungafunga ‘Jengua’ amefunguka kuhusu wasanii wakongwe kutengwa na wasanii vijana katika masuala yanahusu fedha katika mialiko mbalimbali hasa ile yenye pesa kwa kualikana wao kwa wao japo katika mialiko hiyo wahusika huwahitaji wao na wasanii hao ujibu kuwa wao wapo bize. “Tabia za baadhi ya wasanii hawa vijana zinatukera sana sisi wasanii wazee au […]

Read More..

Chipsi Zamponza Baby Madaha, Alizwa na Viba...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’, amejikuta akishikwa na butwaa baada ya kuporwa pochi yake na vibaka wawili waliokuwa katika pikipiki eneo la Makonde, Kunduchi, jijini Dar es Salaam. Mwigizaji huyo alipatwa na mkasa huo usiku wa juzi, wakati akielekea kununua chipsi karibu na kituo cha daladala cha Makonde. Ghafla pikipiki […]

Read More..