Muhogo Mchungu: Jamani Mimi Sijafa wala Siu...
Muigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu nchini Abdallah Makumbila alimaarufu kama Muhogo Mchungu amekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki na kusema kuwa yeye saizi hasumbuliwi hata na mafua. Muhogo Mchungu alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Supamix cha East Africa Radio amesema kuwa kwa sasa anafanya utaratibu wa kwenda kumshtaki mtu ambaye amesambaza […]
Read More..





