-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wakonta: Naomba Mnisaidie Kwa Hali na Mali

Post Image

MWANDISHI wa muswada (script), Wakonta Kapunda, jana alijitokeza kwa waandishi wa habari akiomba msaada wa hali na mali ili aweze kupatiwa msaada wa vipimo mbalimbali kikiwemo kipimo cha MRI . Pia Wakonta ameomba msaada wa makazi kwa Jiji la Dar es Salaam ili iwe rahisi kwake kupata matibabu ya afya yake na kutimiza ndoto zake […]

Read More..

Nani Kamvuruga Wema Sepetu? Soma Hapa Alic...

Post Image

Kupitia ukurasa wake kwenye mtabdao wa Instagram, mrembo na staa wa bongo Movie, Wema Sepetu amefunguka haya; Naomba niseme kitu na nieleweke tafadhal, Sijawahi hata siku moja kwenda kwa hata mmoja wenu na kumgongea kuomba hata hela ya chumvi…. My life concerns me…. Na hata siku nikifa nakufa mwenyewe, Majibu kwa Mungu naenda kujibu alone…. […]

Read More..

Nido za Kajala Zageuka Gumzo!

Post Image

Staa ‘the big name’ wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amegeuka gumzo ukumbini kufuatia kupita mbele ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiwa amebusti nido (matiti) kiasi cha kuwafanya baadhi ya waalikwa ‘kumdiskasi’. Tukio hilo la aina yake lilijiri usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita ndani ya ukumbi wa sinema uliyopo […]

Read More..

Wastara ‘Live’ na Aliyekataa Mahari Yake!

Post Image

Wastara Juma na Juma Mbega ‘Masairo’. WASTARA Juma ambaye alikataa mahari ya shilingi milioni tano ya kijana Juma Mbega ‘Masairo’, hivi karibuni walionekana laivu katika picha za pozi tofauti walizopiga sehemu mbalimbali jijini Dar es Salaam. Chanzo kilichovujisha picha hizo, kinasema licha ya mahari hiyo kukataliwa, lakini wawili hao hivi sasa ni kama kumbikumbi, kwani […]

Read More..

Shamsa Ford Ammwagia Sifa Hizi JB

Post Image

MSANII wa Filamu za kibongo, Shamsa Ford, amefunguka kuwa hakuna mtu anayemvutia kwenye tasnia hiyo kama ilivyo kwa msanii mwenzake, Jacob Steven ‘JB’, kutokana na umahiri wake wa kuigiza. Akizungumza na gazeti hili jana, Shamsa alisema JB ni mtu mmoja ambaye anajua kugusa uhalisia pale anapoigiza na kukitendea haki kipengele hicho. “JB anaweza kuigiza kama […]

Read More..

Lulu Usitukane Wakunga, Uzazi Ungalipo!

Post Image

KWAKO mtoto mzuri ndani ya Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Hujambo? Habari ya huko ulipo? Wazima wote na familia yako? Shemeji yetu naye hajambo? Hongera maana naona siku hizi umeamua kumuanika hadharani. Ukitaka kujua afya ya mimi kaka yako, sijambo. Namshukuru Mungu, naendelea kupambana ndani ya mjengo wa magazeti Pendwa, Global Publishers Ltd. Hapa sisi […]

Read More..

Mzee Majuto: Filamu Yangu Ijayo ni Zaidi ya...

Post Image

Msanii wa filamu za kuchekesha Bongo, King Majuto amesema kuwa filamu yake mpya ijayo ni zaidi ya filamu zake zilizopita. Akiongea na Times FM, “Hii ina ujumbe wa kuelimisha jamii kuachana na mambo Ambayo hayana manufaa kwa maisha ya sasa na nimewashirikisha wasanii mbalimbali maarufu.” Aidha Majuto amefafanua kuwa sababu ya kuchelewa kuiachia filamu hiyo […]

Read More..

Filamu ya Aisha Yaongoza Tuzo za Ziff

Post Image

FILAMU ya Aisha imenyakua tuzo nne za Ziff ikiwemo mwigizaji bora wa kike, Godliver Gordian, mhariri bora wa video, Momose Cheyo, mwongozaji bora, Chande Omari na filamu bora ya makala iliyokwenda kwa prodyuza, Amil Shivji.  Tuzo hizo za Bongo Movie zimetolewa kwa vipengele viwili kikiwemo cha tuzo za Azam na tuzo za ComNet. Filamu nyingine […]

Read More..

Siwema: Nay Hajanikatisha Tamaa ya Kuwa na ...

Post Image

Mrembo aliyezaa na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amefunguka kuwa, kuingia doa kwa penzi lake na jamaa huyo hakujamkatisha tamaa kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ambaye ni staa. Siwema ameliambia Wikienda kuwa hawezi kuapa kwamba hatakaa atumbukie tena kwenye penzi la msanii kwa kuwa hakuna anayejua huko […]

Read More..

Nisha: Majungu, Wivu Vilinitenga na Marafik...

Post Image

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka sababu za yeye kutokuwa na marafiki wa kike kuwa ni majungu na wivu tofauti na marafiki wa kiume. Nisha ameliambia Wikienda kuwa, watu wengi wamekuwa wakimuuliza sababu ya kuwa na marafiki wa kiume pekee na siyo wa kike ambapo amekuwa akiwajibu kuwa si kwamba hakuwahi […]

Read More..

Chura ya Snura Bado Kimbembe

Post Image

LICHA ya kufungiwa na mamlaka husika za serikali kutokana na video yake kukiuka maadili ya Mtanzania, wimbo wa ‘Chura’ ulioimbwa na Snura Mushi ‘Snura Majanga’ unaonekana kumpa changamoto kwa mashabiki wake kila wanapomtaka auimbe. Katika kila onyesho lake mjini hapa, mkali huyo anayetamba kwa sasa na wimbo mpya wa ‘Shindwe’ unaomaanisha kishindo, mashabiki wamekuwa wakimshinikiza […]

Read More..

Waziri Nape Azindua Filamu ya Sikitu!

Post Image

Waziri Nape Nnauye akiongea jambo kabla ya kuizindua filamu ya Sikitu, ndani ya ukumbi wa sinema uliopo ndani ya Jengo la Quality Center jijini Dar es Salaam. Muandaaji wa filamu hiyo, Kajala Masanja (wa pili kutoka kulia), akiingia ukumbini hapo tayari kwa kushuhudia zoezi la uzinduzi huo.   Nape katikati, akifuatilia filamu hiyo muda mfupi […]

Read More..

Ujumbe wa Babu Seya Kwa Mtoto wa Kajala

Post Image

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa staa wa filamu Kajala Masanja, Paula, ambapo Kajala amemwandikia ujumbe mzuri mwanae huyo huku akimkumbusha mwanae jukumu alilopewa na msanii mkongwe wa muziki, Babu Seya aliye gerezani kwa muda mrefu. Wawili hao walimtembelea Babu Seya hivi karibuni na kuzungumza naye mambo kadhaa. Kupitia instagram, Kajala ameandika: Dear […]

Read More..

Wimbo wa ‘Pale Kati’ wa Nay wa ...

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Taarifa iliyotolewa leo na Baraza hilo na kusainiwa na Katibu wake Mtendaji Godfrey Mngereza, imeeleza kuwa msanii huyo amekuwa na tabia na mienendo yenye kuchafua Sekta ya Sanaa yeye binafsi […]

Read More..

Mama Afunguka Wema Kurudiana na Diamond!

Post Image

Licha ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuibuka na kukanusha sakata lao la kurudiana, bado madai ya wawili hao kutoka kwa siri yamekuwa yakishika kasi kiasi cha kumfanya mama mzazi wa Wema, Miriam Sepetu naye kulazimika kufungukia taarifa hizo. MADAI YA KURUDIANA […]

Read More..

Steve Nyerere: Mastaa Tupunguze ‘Raundi’

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri Bongo, Steve Nyerere amewataka mastaa wenzake kupunguza kuagiza raundi wanapokuwa kwenye starehe za unywaji pombe badala yake, siku moja moja wajitoe kwa ajili ya kuwasaidia watoto yatima. Akizungumza wakati wa futari iliyoandaliwa na mfanyabiashara Davis Mosha nyumbani kwake Sinza, Steve aliwataka kuiga mfano wa pedeshee huyo kwa kuwa mara nyingi hujitoa kwa watoto […]

Read More..

Faiza Ally Afungukia Kiki za Bongo Movi

Post Image

Msanii wa filamu Faiza Ally amewataka wasanii wenzake wa filamu kuacha kutafuta ‘kiki’ ambazo haziwanufaishi katika kazi zao. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Faiza amesema wasanii wengi wa kike wa filamu wanatafuta kiki za mapenzi bila kujua kiki hizo zitawasaidiaje. “Kiki sio mbaya lakini hiyo kiki inakusaidiaje?, mimi ukiona nafanya kiki ujue kuna kazi ambayo […]

Read More..

Johari Afungukia Ishu ya Kuolewa Mke wa Pil...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka na kuweka wazi sababu yeye kubadili dini na kuwa muislam na kudai kwamba mwanaume hajawa sababu yeye kubadili dini bali yeye mwenyewe ana damu ya uislam ndani yake kwani wazazi wake mmoja ni mkristo na mwingine ni muislam. Johari kupitia kipindi cha eNEWS alisema hana mpango wa kuolewa […]

Read More..