Zijue Hapa Baadhi ya Kazi Alizofanya za Mar...
Aliyekuwa mwigizaji wa filamu za Kibongo,marehemu Steven Kanumba leo ametimiza miaka minne tangu alipofariki dunia April 7 mwaka 2012. Historia ya Hayati Steven Kanumba. Amezaliwa: Januari 8 1984 Shinyanga,Tanzania Amekufa: Aprili 7, 2012 Dar es Salaam,Tanzania Kazi yakeMuigizaji,Mtunzi,Mtayarishaji,Muongozaji Steven Charles Kanumba(8 Januari1984,Shinyanga-7 Aprili2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchiniTanzania. Katika historia ya tasnia […]
Read More..





