Tigo Change Makers
Kuna tatizo katika jamii yako ambalo umeanza kulitatua kwa kutumia TEHAMA? Unaweza kushinda dola 20,000/- za #TigoDigitalChangeMakers . Kwa maelezo zaidi bofya hii link: https://tigo.co.tz/sw/digitalchangemakers
Read More..Kuna tatizo katika jamii yako ambalo umeanza kulitatua kwa kutumia TEHAMA? Unaweza kushinda dola 20,000/- za #TigoDigitalChangeMakers . Kwa maelezo zaidi bofya hii link: https://tigo.co.tz/sw/digitalchangemakers
Read More..Leo watanzania wanaadhimisha miaka 17 toka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere amefariki dunia. Alifariki tarehe 14 Oktoba, 1999 huko Uingereza alipokuwa kwenye matibabu. Kitaifa maadhimisho haya yanaenda sambamba na uzimwaji wa Mwenge wa uhuru Mkoani Simiyu, ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein Mkoani Simiyu. Kwa upande wa staa wa […]
Read More..Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa majibu kuhusu na hatma ya kijana Said Ally aliyetobolewa macho maeneo ya Buguruni Sheli na kusema hatoweza kuona tena. Makonda ametoa majibu hayo ofisini kwake Ijumaa hii. “Majibu yametoka na Said ameturuhusu tuyaweke wazi majibu ni mabaya ila tumeyapokea itabidi tukubaliane na matokeo kwamba ndugu […]
Read More..Safari hii safu hii imeangukia kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu Ubungo Kibangu jijini Dar, Lusekelo Antony (wengi wamezoea kumuita Antony Lusekelo) ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kwa kuhubiri neno la Mungu kiasi cha kumfanya kiongozi wa nchi, Rais Dk. John Magufuli kwenda kwenye ibada na kukiri kwamba mchungaji huyo anajua […]
Read More..Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako sasa, dirisha la maombi litakuwa wazi kuanzia mwezi Oktoba 4, hadi Novemba 7 2016. Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi na Kufanya kazi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2018)”. […]
Read More..
KUONDOA VITU VISIVYO NA UMUHIMU NA KUSAIDIA WENYE UHITAJI. Kuhusu sisi. Kampeni ya kuondoa vitu visivyo na umuhimu ni jitihada ya wajibu wa kijamii inayowataka wananchi kuchangia vitu vyao vya ziada ili kuwasaidia wahitaji. Lengo la kampeni Lengo la kampeni hii ni kuibua uelewa kuhusu hasara za kurundika vitu visivyokuwa na umuhimu, faida za kuviondoa […]
Read More..WAKATI washiriki 29 wa Maisha Plus East Afrika 2016 wakiwa tayari kambini kwa safari ya kuisaka Sh milioni 30 itakayotolewa kwa mshindi mmoja tayari mambo mbalimbali yamepangwa kufanyika. Babu wa kijiji hicho cha Maisha Plus ambaye ndiye mwenyeji wa kijiji hicho ameweka wazi kwamba kuna tukio kubwa litakalofanywa katika kijiji hicho ambalo halikuwahi kutokea huku […]
Read More..YAH: KUKANUSHA TAARIFA INAYOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII Ofisi ya Makamu wa Rais inakanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, ameomba kujiuzulu nafasi yake na kwamba taarifa hiyo ni ya uzushi na uongo haina ukweli wowote. Taarifa hiyo ni ya uchochezi inayolenga […]
Read More..VATICAN: Maelfu ya watu wameshuhudia ibada ya kutawazwa kuwa mtakatifu, Mama Teresa ambaye ametangazwa na Papa Francis leo. Raia huyo wa Albania ambaye alifariki mwaka wa 1997 alianzisha shirika la hisani la kimishenari ili kuwasaidia walala hoi katika mtaa wa mabanda wa Calcutta nchini India. Atajulikana kama mtakatifu Teresa wa Calcutta. Waandishi wanasema kuwa […]
Read More..WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametoa waraka akisema kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kuwakamata wakati wakiwa kwenye kikao cha ndani cha Chadema jana kimemuimarisha na kumpa nguvu zaidi ya kudai demokrasia. Katika waraka wake kwa vyombo vya habari leo, Lowassa amesema anafurahishwa na kutiwa moyo na jinsi Watanzania walivyoipokea operesheni yao ya […]
Read More..Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, ametangaza kuvifungia vituo vya Radio 5 Arusha na Magic Fm Dar kwa muda usiojulikana kwa kosa la uchochezi.\ Waziri Nape amesema ameielekeza kamati ya maudhui kuviita vyombo hivyo na kuvisikiliza kwa kina kisha kumshauri juu ya hatua zaidi za kuchukua. Aliongeza kuwa kimsingi radio zote mbili […]
Read More..Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa jana tarehe 27 Agosti, 2016 ameadhimisha Jubilei ya Dhahabu ya Miaka 50 ya Ndoa yake na Mama Anna Mkapa katika kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam. Hafla ya Jubilei hiyo imefanyika nyakati za mchana katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa uliopo […]
Read More..EATV Awards leo imetangaza vipengele vitakavyokuwepo kwenye tuzo zake, zinazotarajiwa kufanyika tarere 10 Dec 2016. Tuzo hizo zitahusisha kazi za muziki na filamu zilizotoka mwaka mmoja uliopita, kuanzia tarehe 1 Julai 2015 mpaka tarehe 30 Juni 2016, na zinazotambulika na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) EATV Awards imeanza na vipengele 10 ambavyo ni:- 1. Mwanamuziki bora wa […]
Read More..Dar es Salaam, TANZANIA. Wanafunzi 18 wa shule za sekondari za Tanzania Bara na Zanzibar wamechaguliwa kuishi na kusoma nchini Marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja wa masomo kuanzia Agosti 2016 hadi Juni 2017. Wanafunzi hao waliondoka nchini tarehe 8 Agosti 2016 ili kuanza kipindi chao cha kuwa nchini Marekani. Kupitia programu ya mabadilisho na […]
Read More..Baada ya taarifa kwamba Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amejiuzulu uenyekiti kuzagaa, SALEHJEMBE ilifanya kila juhudi kumpata na mwenye akazungumza kwa ufupi. Alipoulizwa kuhusiana na suala la kujiuzulu na pia kusitiza uamuzi wake wa kutaka kuwekeza au kuikodisha Yanga kwa miaka kumi, alisema basi imetosha. “Kwa kweli imetosha, imetosha sasa,” alisema. Alipoulizwa afafanue kuhusiana na […]
Read More..Moja habari zilizoandikwa ni hii habari kwenye gazeti la Nipashe yenye kichwa cha habari ‘Miamala ya simu bei mpya balaa’ Wakati Serikali ikisema uanzishaji wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT), kwenye miamala ya simu na benki haitawahusu wateja, kampeni za simu zimepandisha mara dufu gharama za kutuma na kupokea fedha. Tofauti na benki ambazo zinatoa […]
Read More..Utafiti wa kisaikolojia uliofanywa na mwandishi Christopher Ryan, mwaka 2010 na kuchapishwa katika kitabu kiitwacho Sex at Dawn: The Prehistoric Origins of Modern Sexuality, kimebaini kuwa asilimia 63 ya wanaume na asilimia 45 ya wanawake wamewahi kuwa na uhusiano nje ya ndoa zaidi ya mara moja. Utafiti mwingine Truth About Cheating uliochapishwa mwaka 2014, kuhusiana […]
Read More..Raia mmoja wa Malawi alionekana katika habari moja ya BBC akihusishwa na tambiko la usafishaji wa wasichana wadogo kupitia kushiriki ngono nao amekamatwa. Eric Aniva amekamatwa kufuatia agizo la Rais Peter Mutharika kulingana na mkurugenzi wa mawasiliano katika ikulu ya rais Bright Molande aliyezungumza na BBC. Amesema kuwa Bw. Aniva aliyepewa jina la utani kuwa […]
Read More..