-->

Category Archives: Other News

Tamthilia ya’ The Favoured one’ Kuoneka...

Post Image

Ni tamthiliya inayohusu simulizi na visa vya kweli katika maisha ya watu. Itaonekana katika chaneli ya StarTimes Swahili, mahususi kwa vipindi vinavyotumia lugha ya Kiswahili inayoonekana pia nchini Kenya. StarTimes yahamasisha watanzania kuchangamkia fursa kwa kutengeneza filamu na tamthiliya ili ziweze kuonekana kupitia chaneli hiyo ili kupanua wigo wa mashabiki wao. Katika kuboresha maudhui yanayotumia […]

Read More..

TRA Yakamata DVD Bandia Zenye Thamani ya Bi...

Post Image

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata CD na DVD 650,000 zenye thamani ya Sh bilioni moja kwa ukwepaji wa kodi. Pia katika zoezi hilo mitambo 47 ya kudurufu CD na DVD pamoja na kompyuta nne zimekamatwa. Mkurugenzi wa Huduma na Elimu ya Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo, alisema bidhaa hizo zilipatikana baada ya  kuwepo […]

Read More..

Binti Miaka 19 Awa Gumzo Kazi ya Mochwari

Post Image

Sabrina Gharib, binti mwenye miaka 19 anayefanya kazi kwa vitendo kimasomo  kwenye Mochwari  ya Hospitali ya Rufaa ya Tumbi Kibaha mkoani Pwani, amekuwa gumzo kwa watu wanaokwenda kuchukua miili ya wapendwa wao hospitalini hapo, Uwazi limeibuka naye. “Tulipokwenda kuchukua mwili wa mpendwa wetu Tumbi, tulisikia watu wakimzungumzia msichana mdogo anayehudumia maiti. Kwanza sikuamini lakini nilimuona […]

Read More..

Rais Magufuli Amfuta Kazi Mkurugenzi wa Jij...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dk. John Magufuli ametangaza kumfuta kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam,Wilson Kabwe. Hatua ya kumfuta kazi Mkurugenzi huyo imefuata baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kumwambia Rais Magufuli wakati wa Uzinduzi wa Uzinduzi wa Daraja la Kigamboni, kuwa Mkurugenzi wa […]

Read More..

Droo ya Nusu Fainali za ‘UEFA Champions L...

Post Image

Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeshapagwa, kama inavyoonekana hapo chini Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 26 na 27, mwaka huu kisha kurudiana Mei 3 na 4 ikiwa ni katika mchakato wa kuelekea kwenye fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa San Siro jijini Milan nchini Italia mnamo Mei 28, […]

Read More..

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkuu Wa Mko...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanaia Dr.John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa mkoa wa shinyanga Ana kilango Malecela kuanzia leo. Utenguzi huo umetokana na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Ana kilango Malecela kutangaza kwenye vyombo vya habari kuwa mkoa wake hauna watumishi hewa jambo ambalo lilisababisha Ikulu kufanya uchunguzi wake na kubaini […]

Read More..

Tanzania Yatajwa Kwenye Nchi 10 Zisizo na F...

Post Image

Denmark imechukua nafasi ya Switzerland kama nchi yenye furaha zaidi duniani kwa mujibu wa ripoti iliyotoka Jumatano hii. Ripoti hiyo imeandaliwa na ‘Sustainable Development Solutions Network and the Earth Institute’ katika chuo kikuu cha Columbia. Ilionesha kuwa Syria, Afghanistan na nchi zingine 8 zilizopo chini ya jangwa la Sahara ndizo sehemu zisizo na furaha zaidi. […]

Read More..

Madam Ritha: Wasanii Tumieni Fursa ya Vingâ...

Post Image

MKURUGENZI wa Kampuni ya upigaji picha za video ya Benchi Mark Production, Ritha Paulsen, amewataka wasanii watumie fursa ya wingi wa ving’amuzi na vyombo vya habari kwa kuzalisha bidhaa bora na za nyumbani. Ritha alisema kutokana na wingi wa ving’amuzi kwa sasa, uhitaji wa vipindi vya nyumbani ni mkubwa, hivyo wasanii na maprodyuza wa video […]

Read More..

Rais Magufuli Kasafiri kwenda Arusha

Post Image

President wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ameshafika Arusha tayari kwa ajili ya kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwenye hii picha anaonekana akisalimiana na mbunge wa Arumeru Mshariki Joshua Nassari ambae alikua mmoja wa viongozi  na wananchi waliojitokeza kumpokea uwanja wa ndege wa […]

Read More..

Picha: Wachezaji wa DR Congo Watuzwa Magari...

Post Image

Rais wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo Laurent Kabila ameamua kuwazawadia magari wachezaji wa timu ya taifa ya Kongo walioshinda Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani (CHAN), Rais Kabila ameagawa magari kwa wachezaji 23 na viongozi 7 waliofanikiwa kutwaa Kombe la CHAN kwa mwaka 2016, michuano ambayo imefanyika Rwanda. DR […]

Read More..

Picha: Kivuko cha MV Magogoni Chapoteza Mwe...

Post Image

Kivuko cha MV Magogoni kupata hitirafu, kumepoteza mwelekeo na kuacha njia yake hali ilozua taharuki kwa abiria. Vilio na kelele zilisikika pale maji yalipoanza kupanda ndani ya kivuko. Hali hiyo ilisababisha abiria waanze kujitosa ndani ya maji kwa wale wanaojua kuogelea. Hakika watu wa Kigamboni wanatembea roho mkononi. Poleni kwa wote Mliofikwa na mkasa huu […]

Read More..

Chopa la Doria Wanyamapori Latunguliwa, Rub...

Post Image

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akitembelea eneo la tukio.Hali ilivyokuwa eneo la tukio. Watu wanaodaiwa kuwa ni majangili na wawindaji haramu wameitungua kwa risasi helkopta ya doria ya wanyamapori katika pori la akiba la Maswa lililoko Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, Kusini mwa hifadhi ya taifa ya Serengeti na kumuua rubani wa […]

Read More..

Punguza Uzito kwa Njia Iliyo Salama Zaidi

Post Image

Kupunguza uzito lazima kuwe kwa afya kwa kuzingatia upunguaji salama kwa bidhaa zilizothibitishwa na zenye vibali. Wengi wamekuwa wakipumbazwa na urahisi wa bei matokeo yake wamejikuta wakiishia kupata madhara makubwa ya kudumu ikiwamo ugumba, kansa na hata kupoteza maisha. Mara nyingi bidhaa hizi za hatari huuzwa kwa kificho kificho na wauzaji wake hawajui hata mchanganyiko […]

Read More..

Nunua Kifurushi cha “Get Started Uond...

Post Image

Ishi kwa kuchukulia magumu kama changamoto na sio matatizo. Badala ya kuwaza kuwa utatoa,nini? Waza kuwa utapata nini? Ulishawahi kuwaza kuwa kwa kuondoa uzito uliokuzidi utapata pesa kuliko ulivyowahi kuwaza maishani mwako? Na unajua kwamba huhitaji elimu ya chuo wala mkopo kutembea ukiwa umekaa? Sio wote huamini, lakini wewe kwa kusoma habari hii kupitia mimi […]

Read More..

Punguza Uzito kwa Njia Iliyo Salama Zaidi

Post Image

Kupunguza uzito lazima  kuwe kwa afya kwa kuzingatia upunguaji salama kwa bidhaa zilizothibitishwa na zenye vibali. Wengi wamekuwa wakipumbazwa na urahisi wa bei matokeo yake wamejikuta wakiishia kupata madhara makubwa ya kudumu ikiwamo ugumba, kansa na hata kupoteza maisha. Mara nyingi bidhaa hizi za hatari huuzwa kwa kificho kificho na wauzaji wake hawajui hata mchanganyiko […]

Read More..

Chakula Bora cha Mifugo Yako Kinapatikana H...

Post Image

Tunauza Chakula cha mifugo (kuku,nguruwe,ng’ombe) chenye virutubisho mara tatu ya chakula cha kawaida na bei yake ni nafuu zaidi Kwawanaohitaji au maelezo zaidi Wasiliana nasi kuputia namba hizi 0655 691 951/ 0652715017 Karibuni sana.

Read More..

Picha: Eneo la Kinondoni, Mkwajuni Lililoku...

Post Image

Hali halisi kama inavyoonekana eneo la Kinondoni, mkwajuni, jijini Dar ambalo wananchi wake walikumbwa na bomoa bomoa baada ya mvua kubwa kunyeesha usiku wa kuamkia leo. Cloudsfm.com

Read More..

Punguza Uzito Kwa Njia Salama na Njema Isiy...

Post Image

Mpaka leo mimi NELLY KWAMBIWA MACHENJE nimefaniwa kupunguza zaidi ya kilo 45. Nilikuwa na kilo 134 nilipoanza. Sasa ninafurahia kupunguza uzito kwa bidhaa nzuri na salama. Karibu upunguze uzito kwa ubora na afya ya hali ya juu. Hakuna kuhara wala kukonda. Kukonda na kuhara ni magonjwa, huku tunapunguza uzito na kuondoa manyamauzembe ukiwa unanawiri na […]

Read More..