Temba Atoboa Kuhusu Wazo la Mkubwa na Wanae
Msanii kutoka katika kundi la TMK Mheshimiwa Temba azungumzia wazo la kuanzishwa kwa kundi la ”Mkubwa na Wanae” lililopo chini ya meneja Saidi Fella. Akizungumza na Enewz Temba amesema kuwa yeye ndiye aliyetoa wazo kwa Fella la kuanzishwa kwa kundi hilo baada ya baadhi ya wasanii waliokuwa chini yake kulaumu kudhurumiwa na meneja huyo. “Mimi […]
Read More..





