-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Temba Atoboa Kuhusu Wazo la Mkubwa na Wanae

Post Image

Msanii kutoka katika kundi la TMK Mheshimiwa Temba azungumzia wazo la kuanzishwa kwa kundi la ”Mkubwa na Wanae” lililopo chini ya meneja Saidi Fella. Akizungumza na Enewz Temba amesema kuwa yeye ndiye aliyetoa wazo kwa Fella la kuanzishwa kwa kundi hilo baada ya baadhi ya wasanii waliokuwa chini yake kulaumu kudhurumiwa na meneja huyo. “Mimi […]

Read More..

Prof Jay Afunguka Haya Kuhusu Mwana FA, Nik...

Post Image

Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Prof Jay’ amewataja wasanii ambao wana uwezo wa kuwa viongozi kama wakipewa nafasi na wananchi. “Wasanii wengi wana misimamo mizuri,wana shule lakini nina wasiwasi kama watakuwa na uwezo wa kujitoa kama hivi maana kazi ya ubunge si tu kuona na kutaka kuwa kama […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kutamani Kumuoa Wema S...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amefunguka kuwa Wema Sepetu asingekuwa ‘Super Star’ nilitamani awe mke wake. Kupitia redio cloudsfm, ommy alieleza haya; “Ndio maana mimi sipendi ku’date’ na watu maarufu unakuwa hakuna ‘privace’ watu watajua kunakuwa na mambo mengi sana, sometimes unaishi siyo maisha yako utakuwa unawaridhisha mashabiki wa ‘girlfriend’ wako kwasababu ukifanya hivi […]

Read More..

Waziri Amtaka Gardner Aombe Radhi Kwa Kumdh...

Post Image

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Hamis Kigwangalla, amemtaka mtangazaji wa Clouds FM, Gardner G Habash kumuomba radhi aliyekuwa mke wake, Lady Jaydee kwa ‘kile alichokiita’ kama udhalilishaji kwake na kwa wanawake wote. Wikiendi iliyoisha imesambaa video mtandaoni ikimuonesha mtangazaji huyo akiongea kwenye tamasha alilokuwa mshereheshaji: My name is Captain […]

Read More..

Mtitu Akumbuka Enzi na ‘Mama Mkubwa’ Nd...

Post Image

MUONGOZAJI wa filamu na mkurugenzi wa 5 Effect William Mtitu ‘Mtitu’  ameamua kurudi kwenye tamthilia na kuipa nguvu zaidi tofauti na filamu, Mtitu anasema misingi imara inapatikana kwa wasanii waliopitia katika tamthilia na kuingia katika filamu. “Nilikuwa nikifanya utafiti nakugundua kuwa tamthilia imetoa vipaji vingi sana, nami nimeona bora nijikite huko na tumefanikiwa kuja na […]

Read More..

“Sijatoka Endless Fame” – Mirror

Post Image

Msanii Mirror ambaye yuko chini ya Endless Fame amekanusha taarifa za kutoka kwenye kampuni hiyo ambayo inamsimamia kwenye kazi zake, baada ya tetesi kuwa hayupo tena. Mirror ameyasema hayo leo alipokuwa kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na EATV, na kusema kuwa bado yupo kwenye kampuni hiyo, ingawa hasimamiwi na Petit Man, ambaye alikuwa anamsimamia awali […]

Read More..

“Narudisha Status Yangu Sasa” &...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda amesema hajutii maisha yake aliyoyapitia akiwa na mpenzi wake wa zamani, kwani amesha move on (kusonga mbele). Nuhu Mziwanda ambaye hivi karibuni ameachia kazi yake ya ‘Jike Shupa’ aliyomshirikisha Ali Kiba, ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT cha EATV, na kusema kuwa kwa sasa yeye anachofikiria ni kazi zaidi. “Kujuta […]

Read More..

Diamond ni Mshikaji ila Simtegemei -Shettah

Post Image

Msanii Shettah ambaye kwa sasa ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Namjua’ amefunguka na kusema kuwa yeye na msanii Diamond Platnumz ni washikaji sana na marafiki wa karibu sana ila inapokuja suala la kazi Shettah anasimama kama Shettah. Shettah alifunguka hayo kupitia show ya Friday Night Live inayorushwa na EATV kila siku ya […]

Read More..

Kingwendu Kujikita Zaidi Kwenye Muziki, Sas...

Post Image

Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake. Msanii wa vichekesho na muimbaji, Kingwendu amesema angependa kuwa na msimamizi wa shughuli zake katika sanaa ya muziki ili aweze kutoka badala ya kutegemea uchekeshaji peke yake. Akizungumza […]

Read More..

Maisha Yaanza Kumnyokea Idris Sultan

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother 2014, Idris Sultan amesema ameanza kuingiza faida kutokana na uwekezaji aliyoufanya baada ya kutoka kwenye shindano la hilo ambalo lilimpatia zaidi ya Sh500 milioni. Akizungumza na Bongo5, Idris alisema tayari ameanza kuona faida ya pesa ambazo aliwekeza kwenye biashara zake. “Kwa sasa hivi matunda nimeanza yaona, kuna kipindi fulani […]

Read More..

Baada Kuzawadiwa Gari Harmonize Amefunguka ...

Post Image

Msanii ambaye yupo chini ya Label ya WCB, Harmonize jana amezawadia gari aina ya Mark X na uongozi wake wa WCB kama motisha kwa kazi zake lakini pia kama njia ya kumrahisishia usafiri na kulinda jina lake na hadhi yake. Baada ya kupewa zawadi hiyo ya gari msanii huyo alikuwa na maneno ya shukrani kwa […]

Read More..

Shetta: Mke Wangu Hana Uhusiano wa Kimapenz...

Post Image

Msanii wa bongo fleva, Shetta amefunguka leo kuhusiana na taarifa zilizozagaa kuwa mkewe, mama Qaila kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msanii Diamond. Akiongea na cloudsfm, Shetta ameeleza haya; ‘’Nilifuta picha zote kutokana na ‘management’ yangu katika hali ya kunitengeneza Shetta mpya unajua kila mwaka unatakiwa kuwa mpya kwa kila kitu, sasa hivi nina timu […]

Read More..

Shishi Baby Sasa Kwenda Kimataifa

Post Image

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya Zuwena Mohamed ‘Shilole a.k.a Shishi Baby’, amesema kuwa kwa sasa ameweka mambo mengine pembeni na kuelekeza nguvu zake katika maandalizi ya kufanya ‘kolabo’ na wasanii wa kimataifa. Alisema kwa sasa hana muda wa kuzungumzia mambo mahusiano ya kimapenzi zaidi ya muziki ambao ni kazi aliyochagua kuifanya ili kuendesha maisha […]

Read More..

Snura Atoboa Alipojifunzia Mauno

Post Image

Msanii Snura ambaye jana video ya wimbo wake wa ‘Chura’ ulifungiwa na serikali kutokana na kutokuwa na maadili na kukiuka utamaduni wa kitanzania amefunguka na kusema kuwa yeye kukata viuno amejifunzia kwenye ngoma za asili. Snura ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ambapo alikuwa akitoa ufafanuzi na kuomba radhi kwa watanzania kutokana […]

Read More..

Shetta Atumia Ndege, Boti Kwenye Video Mpya

Post Image

VIDEO ya wimbo mpya wa ‘Namjua’ wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nurdin Bilali ‘Baba Qayla’ au ‘Shetta’, iliyorekodiwa katika miji ya Johannesburg na Cape town nchini Afrika Kusini, inatarajiwa kuachiwa kesho katika vituo mbalimbali vya runinga. Uwekezaji katika video hiyo umekuwa mkubwa kwani zimetumika ndege, boti na nyumba za kukodi zilizogharimu kiasi kikubwa […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu Kurudiana na S...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya ambao amemshirikisha Alikiba amefunguka na kusema kuwa hata kama ikitokea mpenzi wake huyo wa zamani akitaka kurudiana na yeye ni kitu kisichowezekana kwa sasa. Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana Nuh Mziwanda amesema kuwa kwa sasa yeye […]

Read More..

Roma: Nimechagua Maisha ya Shida

Post Image

Nyota wa muziki wa Rap Bongo ‘Rhymes Of Magic Attraction’ Roma amethibitisha fununu za kuwa muziki anaoufanya umekua ni msalaba mzito kwenye maisha yake. Akizungumza na eNewz Roma alisema kuwa hayo ndiyo maisha aliyoyachagua na ni mwanaharakati anaetetea haki na amani katika taifa lake, maendeleo bora na hicho ndicho kitu kikubwa anachojaribu kukipigania. “Natamani nipate […]

Read More..

Alikiba Kuachia Wimbo Huu Mpya

Post Image

Alikiba anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina ‘Aje. Hajasema wimbo huo utatoka lini lakini dalili zinaonesha kuwa unaweza ukaachiwa mwezi huu. Huo unakuwa wimbo wake mpya mwenyewe tangu aachie Lupela. Kwa sasa Kiba anafanya vizuri na wimbo aliofanya na Sauti Sol, Unconditionally Bae. Bongo5

Read More..