-->

Tag Archives: NISHA

Kuelekea Ramadhan, Nisha Afanya Jambo Hili

Post Image

  ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kuanza, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ jana aliukaribisha kwa kula chakula cha jioni na watoto yatima. Nisha aliwatembelea watoto yatima wa kituo cha New Hope Family Group kilichopo Kigamboni, Dar,  ambapo alipata nafasi ya kula nao chakula cha jioni alichokiandalia, hali iliyosababisha […]

Read More..

Nisha Awa Balozi wa New Hope Family Group

Post Image

MSANII wa Filamu hapa nchini, Salma Jabu ’Nisha’ amekuwa Balozi wa Kikundi cha New Hope Family Group chenye makazi yake Kigamboni Dar kinachojihusisha na masuala ya kutetea watoto waishio katika mazingira hatarishi. Hafla ya kumtambulisha msanii huyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) ambapo mwenyekiti wa taasisi hiyo, Omary Kombe, amesema lengo […]

Read More..

Erick Omondi Amsapoti Nishabebee Kuuza Fila...

Post Image

UNAPOTAJA jina la Erick Omondi ni jina kubwa kwa sasa barani Afrika kijana mdogo mahiri katika uchekeshaji mwenye sifa kubwa Afrika ya Mashariki, msanii huyu ni bingwa wa kutawala jukwaa, alikuja Dar es salaam kwa show maalum na kuamua kumsapoti Nishabebee kuuza filamu ya Kiboko Kabisa. “Mimi natamba sana na stage but Nisha ni Kiboko […]

Read More..

Nisha Aongeza Utata Juu ya Mahusiano na Bar...

Post Image

Msanii wa filamu Nisha Jabu, ametoa upande wake wa maelezo juu ya mahusiano yake na nyota wa muziki Barakah Da Prince, kufuatia kauli ya mwanamuziki huyo wiki iliyopita kukana kuwepo kwa mahusiano ya kimapenzi kati yao. Nisha amesema kuwa, Baraka ni msanii ambaye ni mchapakazi na anaona mbali, tabia ambayo ni ya aina ya mwanaume […]

Read More..

Nilijinyima Kiasi cha Kuogopa Kula Chips Il...

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali, Salma Jabu aka Nisha amesema mafanikio aliyopata yametokana na kujinyima ambapo amedai ilifikia hatua alikuwa akishinda kwa kula mihogo huku akiogopa kula chipsi pesa zisije zikaisha.   Muigizaji huyo ambaye mpaka sasa ana filamu nane ambazo amezitoa kupitia kampuni yake ‘Nisha’s Film Production’, alikiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa […]

Read More..

Sina Mahusiano na Nisha – Baraka da Prince

Post Image

Msanii Baraka da Prince amekanusha vikali kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Salma jabu au Nisha, kama tetesi zilivyozagaa mitandaoni. Baraka da Prince amefunguka hilo kwa mara ya kwanza ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa msanii huyo ni rafiki yake wa kawaida tu. “Mi siko kwenye mahusiano na sijawa […]

Read More..

Nisha: Nikilala na Kuamka na Barakah Da Pri...

Post Image

Staa wa Bongo Muvi, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye kwa sasa yupo kwenye malavidavi na Mwanamuziki Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, amefunguka kuwa hajali ni wangapi wanampenda jamaa huyo kikubwa analala naye na kuamka naye. Akizungumza na mwandishi wetu, Nisha alisema kuwa kwa kawaida tamaa kwa wanaume ni jambo la kawaida lakini kwa upande wake anaangalia […]

Read More..

‘Kiboko Kabisa’ ya Nisha Inahesabu Siku

Post Image

ILE Filamu ya Kiboko Kabisa kutoka kwa gwiji la Uchekeshaji Swahilihood Salma Jabu ‘Nishabebee’ ipo tayari na inehesabu siku kadhaa ili iruke mtaani na kufanya fujo za hatari huko kunako soko ni kazi safi si ya kuikosa kwani imejaa mastaa kibao. Akiongea na FC Production meneja wa Nisha’s Film Productions Othuman Ochu amesema kuwa kila […]

Read More..

Nililipwa Elfu 50 Kwenye Filamu Yangu ya Kw...

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali, Salma Jabu aka Nisha amesema licha ya sasa hivi kumiliki kampuni yake ya filamu, pesa yake ya kwanza kulipwa katika filamu ilikuwa ni shilingi 50,000. Nisha ambaye kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wenye mafanikio kwenye filamu, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa baada ya kuanza kupata mafanikio kidogo […]

Read More..

Filamu ya Kiboko Kabisa ni Zawadi kwa Funs ...

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Salma Jabu ‘Nishabebee’ amesema moja ya sababu ya yeye kuwa mahiri ni kutokana na kuwasikiliza mashabiki zake wanahitaji sinema gani ndio imemfanya asishuke na kuwa nyota na kwa kuliona hilo anakuja na filamu ya Kiboko Kabisa kuukaribisha mwaka 2016. “Nimejifunza kitu wapenzi wa filamu zetu wanalalamika kuhusu hadithi zetu […]

Read More..

Mkali wa Komedi, Nisha Kuja na ‘Kibok...

Post Image

UNAPOSIKIA tu jina la Nisha ambaye ni Salma Jabu jina la Kliniki ni mwanamke hatari katika fani ya uchekeshaji Nisha anafanya serious Comedy na kujitengenezea jina na pale popote inapotazamwa kazi ya filamu kutoka Bongo sasa anakuja na Kiboko Kabisa filamu fungua mwaka. January mwaka mpya 2016 na kitu kipya cha Historia kinakuja na si […]

Read More..