-->

Tag Archives: ZARI

Haya ndio maamuzi aliyoyafanya Shilole

Post Image

Story inayo-trend kwenye mitandao ya kijamii ni hii baada ya Wema Sepetu ku-post picha ya ua rose jekundu  na kuwa tofauti na wengine hii ni kutokana na  wengi kuzoea kuona ua jeusi ku-trend na kutafsriwa kama ishara ya penzi kuvunjika. Ila kwa upande wa staa wa muziki Shilole “Shishi baby” ameamua kuja na maamuzi yake juu ya ua lake […]

Read More..

BreakingNews: Zari na Diamond wameachana!

Post Image

Zarinah Hassan anayejulikana kama “Zari the boss lady” ametangaza rasmi kuwa amemuacha msaani maarufu  Nasibu Abdul anayejulikana “Diamond platnumz”. Kwa kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa kijamii wa Instagaram, Zari amesema kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano   MANENO ALIYOANDIKA ZARI KUPITIA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM   “Understand that this is […]

Read More..

Zari saa chache baada ya picha ya Hamisa na...

Post Image

Baada ya muimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto kufikishana Mahakamani wiki iliyopita inadaiwa kuwa mambo yao yapo sawa kwa sasa na wamemaliza tofauti zao, hiyo ni baada ya kusambaa kwa picha za official videographer wa Diamond Platnumz ambaye ni Lukamba kusambaa kwa picha mtandaoni akiwa na Hamisa. Kitendo cha Lukamba kuonekana kumfanyia photoshoot Hamisa kimeanza kuhusishwa kuwa Diamond na Hamisa wapo sawa kwa sasa ndio maana Lukamba ameonekana […]

Read More..

Zari amuuliza Diamond “Madale state lodge...

Post Image

Baada ya tetesi kuzidi kuenea katika mitandao ya kijamii na watu kuzidi kusema kuwa inawezekena Tunda ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond Platnumz kutokana tu na ukaribu walionao wawili hao. Zari the boss lady ambaye ni mzazi mwenzake Diamond Platnumz ameonekana kupata taarifa hizo kuhusiana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii na kuamua kuandika […]

Read More..

Mama Mzazi wa Zari, Afariki Dunia!

Post Image

Mama mzazi wa Zari The Boss Lady ambaye ni mpenzi na mzazi mwenza wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz amefariki dunia asubuhi ya leo hii baada ya kuumwa. Kupitia Instagram yake asubuhi hii Zari amethibitisha kifo cha mama yake akiandika>>>”Kwa huzuni kubwa mimi na familia yangu tunatangaza kifo cha mama yetu mpendwa aliyefariki asubuhi hii. […]

Read More..

Mashabiki Wakerwa na Kauli Hii ya Zari, Wad...

Post Image

Labda ukweli unauma.. Kwamba wengi tunatamani sana maisha mazuri anayoishi Diamond na mchumba wake, Zari the Bosslady. Wapo wanaoishia kutamani na kumuomba Mungu nao waje kuwa na maisha hayo, wengine hushukuru na hufurahi tu kwa kile walichonacho ama tumeseme wameridhika na kidogo wanachopata. Lakini wapo ambao hushindwa kujizuia kupata wivu na kuwachukia tu watu wenye […]

Read More..

Mkwanja wa Dili la Voda ni Fifty-Fifty Kati...

Post Image

Wiki kadhaa zilizopita, Diamond Platnumz alisaini mkataba wa mamilioni ya shilingi kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.   Dili hilo limemfanya muimbaji huyo wa ‘Make Me Sing’ aonekane kwenye matangazo ya TV, yale ya barabarani, kwenye magezeti na vipeperushi vingine pamoja na kusikika kwenye matangazo ya redio. Kwenye tangazo la TV, si […]

Read More..

Kisa Utajiri Wenye Maswali, Zari Atajwa Fre...

Post Image

Mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ameorodheshwa kwenye listi ya watu maarufu nchini Uganda ambao ni wanachama wa jamii ya siri ya Freemason kisa kikielezwa kuwa ni utajiri alionao wenye maswali mengi. Habari kutoka Kampala, Uganda zilizoripotiwa hivi karibuni zilieleza kwamba, mwanamama huyo ana ukaribu mkubwa na matajiri […]

Read More..

Zari Akwaa Skendo ya Makalio Feki

Post Image

Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari’   Mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ukipenda muite mama Tiffah, amekwaa skendo ya kutumia makalio feki kila anapokuwa kwenye mtoko. Mjadala wa muonekano wa Zari ulianzia siku alipomsindikiza Diamond kusaini mkataba mnono wa Kampuni ya Vodacom ambapo akiwa amevalia kigauni chake […]

Read More..

Zari Ahofia Kuishi Bongo!

Post Image

Dar es Salaam: Ubuyu! Tumbuatumbua ya majipu ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ inadaiwa kumtisha mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kuja kuishi Bongo ikidaiwa kisa ni utajiri mkubwa alionao wenye shaka juu ya malipo ya ushuru na mapato. Habari kutoka kwenye chanzo […]

Read More..

Zari Bado Mbichi Kama Embe la Msimu – Dia...

Post Image

Wakati kuna watu wanaodhani kwa kuwa ni mama wa watoto wanne, Zari anaweza kuwa ameshapoteza sifa za ‘usichana’, Diamond ana mtazamo tofauti. Hitmaker huyo wa ‘Utanipenda’ anamuona Zari the Bosslady kama msichana mbichi ma hauchoki uzuri wake. “I swear I can’t get use to your Cuteness…Kadada kabichiii… kama Embe la Msimu,” aliandika Diamond kwenye picha […]

Read More..

Zari: Wakiniita ‘Bi Kizee’ Huwa Najiang...

Post Image

Zari amekuwa akitupiwa maneno mengi ya kashfa kupitia mtandao wa ‘Instagram’ hasa kuhusu suala la umri wake kuwa ni mkubwa kuliko mpenzi wake Diamond. ‘’Naona kwenye Instagram wakiniita mie mzee,lakini nitafanyeje,lakini nikijiangalia kwenye kioo najiona mrembo sana,’’Alisema Zari.

Read More..

Zari ‘Mama Tiffah’: Nafuata Din...

Post Image

BAADA ya sintofahamu nyingi kuibuka katika mitandao ya kijamii kuhusiana na picha za mpenzi wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zari the boss Lady, kusambazwa katika mitandao ya kijamii zikimuonyesha akibatizwa mtoni, mwenyewe ameibuka na kuweka sawa sintofahamu hizo. Akizungumza na mtangazaji, Millard Ayo kupitia kipindi cha Top Twenty, Zari […]

Read More..

Zari: Sina Haja ya Kupima DNA,Tiffah ni Mto...

Post Image

Kwa wiki kadhaa kwenye kwenye mtandao wa Instagram kumekuwa na majibishano ya vijembe kati na Wema Sepetu na Zari hasa kuhusiana na uhalali wa mtoto wa Tiffah kama ni wa Diamond. Zari amepiga stori na @cloudsfmtz moja kwa moja kutoka Sauz. ‘’Ngoja nikwambie kitu mimi ni mzazi ni muda mrefu Wema na timu yake wamekuwa […]

Read More..

Vita Kali ya Maneno Mtandaoni Kati ya Zari ...

Post Image

Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu. Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea? Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema […]

Read More..

Zari Awakosha Mashabaki wa Penzi Lake na Di...

Post Image

Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada ya kubandika picha zake mtandaoni akiwa kijijini kwao pamoja na watoto wake na kuonekana anafanya kazi zote za nyumbani kitendo ambacho kimewafanya mashabiki kumwagia sifa kuwa ni mwanamke anayeyaweza maisha yote tofauti na wengi walivyokuwa wakimfikiria hapo zamani. Katika […]

Read More..

Zari: Tiffah Atakuja Kuwa Raisi Wenu

Post Image

Kufuatia tabia ya baadhi ya watu kuendelea kumporomoshea maneno machafu mototo wake Tiffah tangu hata hajazaliwa na hadi leo, Zari the boss Lady amewapasha watu hao kuwa Tiffah siku moja atakuaja kuwa rais na watamuheshimu kwani anamlea aje kuwa rais kama Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia. “Matusi from day one even before she was born. […]

Read More..

Hivi Ndivyo Staa Diamond Akiwa na Mama Tiff...

Post Image

MAISHA YA KISTAA: Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinum amesherekea siku ya Boxing Day kwa kupunga upepo baharini akiwa na mama mtoto wake, Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ pamoja na dada zake , Esma Platinum na Queen Darleen. Vilevile meneja wa diamond Sallam na staa mkongwe AY walikuwepo kwenye boti ambayo Diamond aliltumia kumpeleka  […]

Read More..