Nay wa Mitego Ahofia Usalama wa Maisha Yake
Rapa Nay wa Mitego anayetamba na wimbo wa ‘Wapo’ uliojipatia umaarufu mkubwa hadi serikalini amedai kuwa usalama wa maisha yake upo hatarini na kwamba kuna watu wanaopanga kumpoteza ili asiwepo duniani. Katika ukurasa wake wa Instagram Nay ‘amerusha jiwe gizani’ pasipo kumtaja mtu ambaye anataka kumuangamiza huku akisisistiza kuwa yupo tayari kufanyiwa chochote na kwamba hajajipanga […]
Read More..





