-->

Daily Archives: April 17, 2017

Ujumbe wa Haji Manara Kwa Wema Sepetu

Post Image

Manchester United jana imeendelea kutengeneza njia ya kuignia kwenye nafasi nne za juu baada ya kuifunga Chelsea mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ kwenye Uwanja wa Old Trafford. Baada ya mechi hiyo msemaji wa timu ya Simba, Haji Manara  ambae mara kadhaa ameonesha kumkubali sana muigizaji Wema Sepetu alisema hivi […]

Read More..

NDANI YA BOKSI: Mchawi wa Bongo Movie ni Bo...

Post Image

Kim Kardashian anaweza kuwa na mpango wa kupiga picha za utupu katika jarida maarufu la PlayBoy. Ameshafanya hivyo mara kadhaa. Na zaidi dunia nzima iliwahi kumuona akifanya ngono na Ray J, kupitia mkanda wa video waliojirekodi pamoja. Lakini haijawahi kumyumbusha akili yake na kushindwa kuendelea na mambo yake na zaidi umaarufu ukaongezeka zaidi. Biashara zake […]

Read More..

Mke wa Roma Mkatoliki Atoa la Moyoni Kuhusu...

Post Image

Mke wa msanii Roma Mkatoliki, Nancy Mshana amefunguka kwa mara ya kwanza toka mume wake alipotekwa na kupatikana na kuwashukuru Watanzania ambao walikuwa pamoja na yeye katika kipindi kigumu. Mrembo huyo ametumia maneno ya kwenye Biblia kutoka katika kitabu cha Yeremia kufikisha ujumbe wake kwa watu ambao wamemfanyia ubaya mume wake na kusema kuwa na […]

Read More..

Ney wa Mitego Awekewa Ulinzi Zanzibar

Post Image

MKALI wa wimbo wa ‘Wapo’, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, amesema tangu alipotoa wimbo wa ‘Wapo’ amekuwa akifanya shoo zake katika  mikoa mbalimbali akiwa na ulinzi wa kutosha. Mlinzi huyo kabla ya kuwasili visiwani Zanzibar kwenye tamasha la Muziki na Utamaduni la Zanzibar Swahili, alikubaliana na waandaaji wa tamasha hilo wampatie ulinzi wa kutosha na […]

Read More..

VIDEO:Baraka The Prince na Najma Wafunguka ...

Post Image

Msanii Baraka The Prince ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Acha niende’ amefunguka na kusema yeye ameridhika na Najma kwa kila kitu na kusema hawezi kuwa katika maisha ya mapenzi na mtu ambaye anakasoro. Baraka The Prince alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Planet bongo na kusema kwa Najma haoni kasoro yoyote ile na […]

Read More..