-->

Daily Archives: April 23, 2017

Diamond Endelea Kuwaamsha Wasanii Waliolala

Post Image

NYOTA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ akisema leo hafanyi tena muziki basi ataweza kuishi kwenye hadhi aliyonayo sasa kwa muda mrefu sana. Jeuri hiyo anaipata kutokana na kufanya uwekezaji mkubwa kwenye kiwanda cha muziki nchini. Anamiliki lebo yenye wasanii wakali kama Rich Mavoko, Harmozine na Ray Vann. Tunafahamu ukubwa wa wasanii hao waliopo […]

Read More..

Lulu Awajibu Wanaomnanga Mtandaoni

Post Image

MTOTO mzuri Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewataka wanaomsema kuwa ni mfupi, wampime kwa akili zake maana yeye harefuki mwili lakini anarefuka akili. Akizungumzia ufupi huo ambao umekuwa ukijadiliwa mara kwa mara mitandaoni, Lulu alisema anaufunga mjadala huo kwa kuwataka wanaomjadili wafuatilie matendo yanayofanywa na uwezo wa akili yake. “Niwaulize tu wanamuoanaje Lulu wa miaka […]

Read More..

Beef ya Nay wa Mitego na Yusuph Mlela Yafik...

Post Image

Baada ya muigizaji wa filamu, Yusuph Mlela kuomba pambano la ngumi na rapa Nay wa Mitego, rapa huyo amemjibu muigizaji huyo kwa maneno ya kejeli. Wawili hao waliingia kwenye bifu hilo baada ya Nay wa Mitego, kuwaita wasanii wa filamu ‘mataahira’ kisa kuandamana kupinga biashara ya filamu ‘feki’ za nje ambazo hazilipi kodi. Rapa huyo […]

Read More..

Manara Marufuku Kujihusisha na Soka kwa Mwa...

Post Image

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imemfungia Haji Manara (Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba) kutojihusisha na masuala ya soka kwa mwaka mmoja na pia anatakiwa kulipa faini ya Shilingi  Milioni tisa. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu, Jerome Msemwa amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya Manara […]

Read More..