-->

Daily Archives: January 14, 2018

Baiskeli yenye kujiendesha yenyewe imetenge...

Post Image

Baiskeli mpya ya kisasa,imetengenezwa na GOOGLE. Ina uwezo wa kwenda yenyewe(self-driving bike)…ukitaka inakufata popote ulipo….unaweza ukafanya kazi ukiwa katika baiskeli hii…ni salama hata kwa watoto na wasiojua kuendesha…hii ndio teknolojia!!!   Click PLAY kutazama video yenye kuonyesha technologia hii

Read More..

Wanigeria wamvimbia Diamond Platnumz kisa t...

Post Image

Baada ya msanii wa muziki Diamond Platnumz kutoka Tanzania, kuibuka msindi wa tuzo ya muziki ya Soundcity MVP Awards 2017, kupitia kupengere cha ‘Best Male MVP’ wadau na mashabiki wa muziki nchini Nigeria wameonyesha kutofurahishwa na ushindi huo. Katika kipengere hicho alichoshinda Diamond, alikuwa akichuana na wasanii kama Runtown, Davido, Olamide, 2face Idibia, Wizkid, Shatta […]

Read More..