-->

Daily Archives: January 30, 2018

BREAKING NEWS: NECTA Imetangaza Matokeo ya ...

Post Image

NECTA inatangaza kuwa matokeo ya kidato cha nne 2017/2018 yametoka. January 30 2018 Baraza la mitihani Tanzania ‘NECTA’ limetangaza matokeo ya kidato cha nne ‘CSEE 2017’ na matokeo ya mtihani wa maarifa (QT) 2017. Kwa urahisi unaweza kuyaona matokeo ya kidato cha nne kwenye link iliyoandikwa ‘CSEE 2017’ >>>CSEE 2017 Unaweza pia kuyatazama matokeo ya matokeo […]

Read More..

Ebitoke: Ben Pol Amenipotezea

Post Image

MCHEKESHAJI, Anna Exavery ‘Ebitoke’ amefunguka kuwa hajawahi kuachana na msanii, Ben Pol isipokuwa aliona jamaa kama amempotezea hivyo akaamua kujiweka kando.   Akizungumza na Full Shangwe, Ebitoke alisema hajawahi kuachana na Ben Pol ila alipoona yuko kimya na yeye akaamua kukomaa na mishe zake. “Hatujawahi kuachana na Ben Pol, niliona yuko kimya na mimi ikabidi nikomae […]

Read More..

Sitaki Ali Choki Afie Kwangu – Asha Baraka

Post Image

Baada ya msanii wa mziki wa Dance Ali Choki kupiga stori na eNEWZ wiki chache zilizopita na kusema mwaka 2018 atafanya kazi zake mwenyewe kama Mama Asha Baraka ataendelea kulala, kiongozi huyo wa Twanga Pepeta amemjibu Choki. Mama Asha Baraka baada ya kusikia kauli hiyo  amesema anamshangaa sana Ali Choki kusema maneno hayo kwani tangu […]

Read More..