-->

Author Archives: editor

Darasa, Billnas Wamshukuru Mwana FA kwa Kuw...

Post Image

Rapa wawili ambao kwa sasa wanafanya vizuri kwenye muziki wa bongo Darasa pamoja na Billnas wamefunguka na kutoa shukrani kwa msanii Mwana FA baada ya msanii huyo kuwatambua na kusema kuwa anawakubali wasanii hao kama wasanii wanaofanya vyema kwa sasa kwenye muziki wa Hip hop. Mwana FA alisema kuwa Billnas pamoja na Darasa ni wanamuziki ambao […]

Read More..

TID, Nature, Inspekta Haroun, Adili Kusikik...

Post Image

‘Karibu Kiumeni’ haitarajiwi tu kuja kuwa filamu ya Bongo yenye mafanikio zaidi kuwahi kutokea, bali pia itakuwa filamu ya kwanza iliyokutanisha mastaa wengi zaidi wa Bongo Flava kurekodi original soundtrack yake. P-Funk Majani ndiye mtayarishaji mkuu wa soundtrack ya filamu hiyo inayotarajiwa kutoka December mwaka huu. Soundtrack itajumuisha orodha ndefu ya mastaa wa Bongo Flava […]

Read More..

Diamond Aeleza Sababu za Kukataa Kuwa Chini...

Post Image

Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond. “Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana […]

Read More..

Kidoa Afungukia Bifu Lake na Masogange Juu ...

Post Image

Video Queen maarufu hapa Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ ambae kwa sasa amejikita kwenye uigizaji, amefungukia swala la bifu kati yake na Video Queen mwenzake, Agnes Gerald. Iliwahi kuripotiwa kuwa, Kidoa alikuwa kwenye bifu zito na mrembo  mwenzake, Agnes Gerald maarufu Masogange, kisa kikielezwa ni kugombea penzi la staa wa filamu za Kibongo, Rammy Galis; Kidoa anasema […]

Read More..

KR Muller:Sipo tayari kumzungumzia Juma Nat...

Post Image

Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini KR Muller amesema hawezi kumzungumzia msanii mwenzake Juma Nature kuhusu kauli zake kwamba ana wasiwasi KR anatumia madawa ya kulevya. KR ameyasema hayo katika kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV alipotakiwa kutoa kauli yake kuhusu tuhuma ambazo Juma Nature amekuwa akizitoa mara kwa mara kwamba yeye anatumia […]

Read More..

Billnas Aungana na Nuh Mziwanda Kumvaa Peti...

Post Image

Mwanzilishi wa kundi la LFLG rapa Billnas ameunga mkono tuhuma za Nuh Mziwanda kwa kumshukia meneja wao Petit Man juu ya uongozi mbaya na upigaji wa hela kupitia mgongo wao. Billnas akipiga story za eNewz na kusema kuwa matatizo ni kweli yametokea lakini akamshauri Nuh Mziwanda ni vyema kwa sasa wakatafuta namna ya kumaliza mzozo […]

Read More..

Wastara Alamba Dili Nono

Post Image

NYOTA inawaka! Diva wa filamu za Kibongo Wastara Juma, amepata dili jipya baada ya kusaini mkataba utakaomwingizia fedha nyingi. Mkataba aliosaini Wastara ni wa kuwa balozi wa simu ya KZG ambayo hutengenezwa na Kampuni ya KZG kutoka China, ambapo atakuwa na uhakika wa kulamba milioni 400 kwa mwaka. Tukio la kusaini mkataba huo lilifanyika Septemba […]

Read More..

Kufanya Collabo na Man Fongo ni Hadi 2020- ...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva nchini TID amesema atakuwa tayari kufanya kazi na msanii maarufu wa Singeli nchini Man Fongo ifikapo mwaka 2010 na siyo kwa sasa. TID ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa, na kuweka bayana kwamba kwa sasa ana mambo mengi na kzi nyingi […]

Read More..

Diamond Amuombea Kura Alikiba,MTV EMA 2016

Post Image

Kuna uwezekano mkubwa kukawa hakuna bifu kati ya Alikiba na Diamond lakini wapo wachache wanaokuza hilo jambo kwa maslahi yao binafsi. Diamond ameonekana kulipa fadhila kwa Alikiba baada ya kumuombea mashabiki wampigie kura kwenye tuzo ya MTV EMA 2016 akiwa msanii pekee kutoka Afrika Mashariki anayewania tuzo hiyo.   Kiba atachuana na wasanii wengine wakiwemo […]

Read More..

Jengua Afunguka Haya Kuhusu Kukuza Vipaji v...

Post Image

Mzee Mohammed Fungafunga maarufu katika tasnia ya filamu kama Jengua amefunguka na kusema anaweza kufanya filamu hata bure ili kuwasaidia wasanii wachanga waweze kutoka katika tasnia ya filamu nchini. Amesema anafanya hivyo kwa kuwa anatambua kuwa ni lazima waweze kukuza watu wengine kwenye tasnia ya filamu kwani wao umri umeshakwenda. Mzee Jengua alisema hayo kwenye […]

Read More..

Gabo Zigamba:Matapeli Wanatumia Jina langu

Post Image

Wezi wa mtandaoni wameonekana kutembea karibu na msanii nguli wa Bongo movies, Gabo Zigamba ikiwa ni siku chache tangu walipoidukua akaunti yake ya facebook. Msanii huyo ametoa tahadhari kuhusu utapeli unaoendelea kwa kutumia jina lake. Awali, msanii huyo alipoteza simu mbili za mkononi ambazo baadaye zilionekana kutumiwa na matapeli hao kuomba misaada kwa watu mbalimbali […]

Read More..

Jide Awaasa Wanafunzi Wanaotaka Kuishi Kifa...

Post Image

MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Jide’, amesema ili wanafunzi waishi maisha ya kifalme, wanatakiwa wajiamini katika kutimiza ndoto zao kupitia elimu. Jide alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza wakati wa shindano la wanafunzi wa sekondari mkoani Iringa lililopewa jina la ‘I can think, I can Speak, Speech Competition 2016’. “Wanafunzi hawatakiwi kukata tamaa katika masomo yao kwa kuwa wengi […]

Read More..

Kuigiza Ukahaba, Ulevi Si Dhambi- Dokii!

Post Image

UMMY Wenceslaus ‘Dokii’ mwigizaji wa filamu wa kike mkongwe amefunguka kwa kusema kuwa msanii anapoigiza sehemu inayohusu ulevi au ukahaba haina maana ndio tabia yake halisi bali ni uhusika tu ambao ni njia mojawapo ya kuionyesha athari ya matukio hayo wala si tabia ya mhusika. “Unapopewa nafasi ya kuigiza kama Kahaba au mlevi ukiangalia imani […]

Read More..

Dude: Tasnia ya Filamu Bongo ni Kama Choo c...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Kulwa Kikumba aka Dude, amesema tasnia ya filamu Tanzania imekuwa kama choo cha jiji ambapo kila mwenye hela na anayetaka kuwa maarufu, hukimbilia huko. Dude amesema hiyo ni sababu kubwa ya kuzorota kwa tasnia ya filamu nchini. “Ubovu wa kazi za movie unakuja kutokakana na kupenda hela zaidi kuliko kufikiri,” Dude […]

Read More..

Nuh Mziwanda: Bora Shilole Kuliko Petit Man

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda kwa sasa ameingia katika mgogoro na aliyekuwa meneja wake, Petii Man kutokana na madai kuwa Petii Man amekuwa akitumia jina lake vibaya kupiga hela. Nuh alitumia dakika 4 akiiambia eNewz kuwa Petii Man alikuwa ni mpigaji, na hakuwa na mchango wowote katika kuuendeleza muziki wake, huku akimkumbuka mpenzi wake […]

Read More..

Nay wa Mitego Awachana Tena Wenzake

Post Image

Rapa Nay wa Mitego ambaye kwa sasa anafanya vyema na ngoma yake ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa amegundua kwenye muziki wa bongo fleva saizi kuna wasanii wengi maboya akimaanisha washamba. Nay wa Mitego alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na EATV na kudai mwanzo walikuwepo wasanii wawili maboya lakini saizi amegundua […]

Read More..

Diva: Nachaji Milioni 3.5 kwa Appearance Tu

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amewataka mastaa wa Tanzania kutambua thamani ya brand zao na kuacha kujichukulia poa. Amedai kuwa mastaa wengi wamekuwa wakitumika bure kufaidisha watu wengine na anadhani ni muhimu wakaacha kujishusha kiasi hicho. Anadai kwa upande wake yeye, hafanyi kitu bure na kudai kuwa hata kuonekana kwenye saa moja kwenye […]

Read More..

Ujumbe wa Wema Sepetu Kwa Wote Waliomtumia ...

Post Image

Jumatano hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya staa wa filamu Wema Sepetu ambao ndugu, jamaa pamoja na marafiki walimtakia heri na mafanikio mrembo huyo. Moja kati ya vitu ambavyo vilileta gumzo kwenye mitandao ya kijamii ni baada ya mama Diamond kum-wish malkia huyo wa filamu huku akimkaushia Zari ambaye ni mama watoto wa Diamond. […]

Read More..