Matonya Kuja na ‘Legeza Kidogo’
Msanii mkongwe wa muziki Matonya ameweka wazi ujio wa kundi lake jipya ‘Black Image’ likiwa na project mpya ‘Mr Magufuli Legeza Kidogo’. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya viziri na wimbo ‘Jela’ ameiambia Bongo5 kuwa project hiyo inakuja kutetea watu wa mtaani ambao wanalalamika kuhusu ugumu wa maisha. “Kuna project inatoka wiki hii, ‘Legeza Kidogo’ […]
Read More..





