-->

Author Archives: editor

Matonya Kuja na ‘Legeza Kidogo’

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Matonya ameweka wazi ujio wa kundi lake jipya ‘Black Image’ likiwa na project mpya ‘Mr Magufuli Legeza Kidogo’. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya viziri na wimbo ‘Jela’ ameiambia Bongo5 kuwa project hiyo inakuja kutetea watu wa mtaani ambao wanalalamika kuhusu ugumu wa maisha. “Kuna project inatoka wiki hii, ‘Legeza Kidogo’ […]

Read More..

Muziki Wa Dansi Siyo Vita- Jose Mara

Post Image

  Akizungumza na mtandao huu wa Global Digital Jose Mara amesema: “Muziki wa dansi ni muziki wa starehe na siyo ugomvi baina ya sisi wanamuziki, ndiyo maana bado nawasiliana na akina Nyoshi El Saadat, Khalid Chokoraa na Kalala Junior japokuwa sifanyi nao kazi kwasasa ila bado ni marafiki na ndugu zangu wa karibu. “Nawaomba wanamuziki […]

Read More..

Joh Makini Kufunga Mwaka na Davido

Post Image

Rapa Joh Makini ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Perfect Combo’ amefunguka na kusema kuwa ile collabo yake pamoja na msanii Davido kutoka nchini Nigeria anatarajia kuiachia mwishoni wa mwaka huu. Joh Makini alisema hayo alipokuwa akichat na mashabiki zake kupitia mtandao wa ‘Facebook’ na kusema kama kila jambo litakwenda lilivyopangwa huenda […]

Read More..

Siwezi Kuyarudia Matapishi – Mr Blue

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Mr. Blue ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Mboga Saba’ amefunguka na kusema kuwa saizi yeye ni mtu mzima anaangalia maisha yake na familia yake hivyo hawezi kurudia matapishi ambayo tayari alishakwisha yatapika. Mr Blue alisema haya kupitia kipindi cha eNewz ya EATV alipokuwa akifafanua juu ya taarifa […]

Read More..

Ray C Apata Matumaini Mapya ya Maisha

Post Image

Rehema Chalamila, Ray C ameanza kuwa na matumaini mapya kwenye maisha yake baada ya kuonekana kuwa na afya njema tangu alipotoka rehab kwa ajili ya kuachana na matumizi ya unga. Muimbaji huyo alikuwa na wakati mgumu kwenye miezi mitatu iliyopita baada ya kurudia tena kwenye matumizi ya madawa hayo ambapo alidaiwa kuwa tayari ameshaacha tangu […]

Read More..

Niko Tayari Kumpokea KR Mullah TMK – ...

Post Image

Lile sakata la KR Mullah akiwa anaonekana kwenye picha, amelewa pombe chakari na msanii Juma Nature akaoneshwa kuguswa na tukio hilo, eNewz iliwatafuta wote wawili kila mmoja kwa wakati wake na kuzungumza nao. Juma Nature ambaye alikuwa msanii wa kwanza kutuma picha zile kwenye ukurasa wake wa Instagram, amefunguka kwa kusema kuwa alitumiwa picha zile […]

Read More..

Master J Aliniambia Sijui Kuimba – Harmon...

Post Image

Mkali wa wimbo ‘Bado’ Harmonize amefunguka na kuelezea harakati zake za muziki mpaka anafika kwenye mafanikio huku akiweka wazi jinsi alivyoambiwa hajui kuimba na Master J katika shindalo la BSS. Muimbaji huyo ambaye alishiriki shindano la BSS mwaka 2012 na Walter Chilambo kuondoka na taji hilo, amesema baada ya kuambia hajui kuimba katika shindalo hilo […]

Read More..

Shamsa Ford Awatia Moyo ‘Single Mothers’

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye ameolewa siku za karibuni amewatia nguvu wanawake ambao wanalea watoto peke yao bila wazazi wa kiume. Shamsa amesema kuwa licha ya yeye kuolewa sasa lakini bado ataendelea kuwa pamoja na wanawake wale ambao wamekuwa wakilea watoto Wao wenyewe bila kushirikiana na wanaume. Shamsa Ford anasema kuwa wanawake hao […]

Read More..

Mastaa wa Bongo Waliouaga Ukapera Mwaka Huu

Post Image

MAISHA ya mastaa ulimwenguni mwote yamejaa anasa na starehe kwa sana. Mawazo ya kuoa au kuolewa hayapewi nafasi kubwa vichwani mwa wengi. Hata hivyo kwa mastaa wa mbele, imekuwa kawaida kwao kuoana ndoa za mikataba, kisha kusitisha katika muda waliopanga. Lakini siku za karibuni, mambo yamekuwa tofauti ambapo mastaa wengi wameamua kuoana kwa ndoa za […]

Read More..

Fid Q Atoa Sababu ya Kuvaa Koti Lililochani...

Post Image

Msanii Fid Q ambaye ni rapa wa hapa Bongo kutoka pande za Rock City/Mwanza, ametoa sababu iliyomfanya akavaa koti lililochanika kwenye video yake mpya, na kuleta minong’ono kwa mashabiki. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Fid Q amesema aliamua kuvaa hivyo ili kuweza ku’relate na maisha halisi ya mashabiki, ambao asilimia kubwa wanashindwa […]

Read More..

Wema Sepetu Atumia Show ya Vigoma Tanga Kuz...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu ametumia show yake ya vigoma iliyofanyika Jumamosi hii katika Viwanja vya Mkwakwani mkoani Tanga kuzindua bidhaa yake mpya ya viatu vya kike. Mwigizaji huyo ambaye mwishoni mwa mwaka jana alizindua bidhaa yake ya kwanza ya lipstick, amesema bidhaa hiyo itaanza kupatika madukani hivi karibuni. “Wakati naanza kutumia jina langu kwa […]

Read More..

GK Awafungukia Wasanii Waoponda Mabadiliko ...

Post Image

Rapa mkongwe kwenye muziki wa Hip hop Tanzania ambaye kwa sasa ameachia kazi yake mpya inayofahamika kwa jina la ‘Mzuri pesa’ amefunguka na kusema kuwa wasanii ambao hawataki kubadidilika katika muziki au kazi zao ni kwamba hawana uwezo wa kubadilika. King Crazy GK alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV na kudai […]

Read More..

Naenda Kuiteka Afrika na Dunia- Baraka The ...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya Baraka The Prince ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Siwezi’ ametangaza kuanza safari ya kulikamata soko la muziki Afrika na kisha baadaye dunia. Baraka The Prince ambaye kwa sasa yupo chini ya Rock Star anatarajia kuachia kazi yake ya kwanza siku ya Jumanne ya tarehe 13 ambayo ni […]

Read More..

Sina Tabia Kutoka na Vijana Wadogo -Snura

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva na filamu nchini Snura Mushi amefunguka na kusema kuwa yeye hana tabia ya kutoka kimapenzi na watoto wadogo kama baadhi ya wasanii wengine wa kike au watu maarufu wanavyofanya. Snura alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ ya EATV na kudai aliweza kumkiss Raymond wakati anatengeneza video ya wimbo wake […]

Read More..

Mubenga: Nimepata Mbadala wa Ommy Dimpoz!!

Post Image

TOFAUTI kati ya mafahari wawili, staa wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na aliyewahi kuwa meneja wake, Mbarouk Ogga ‘Mubenga’ zinazidi kuchukua sura mpya baada ya hivi karibuni Mubenga ambaye kwa sasa anamiliki kampuni iitwayo Bengaz Entertainment kuibuka na kudai amempata mbadala wa Dimpoz. Mubenga na Dimpoz waliingia kwenye tofauti zilizosababisha mpaka meneja huyo […]

Read More..

Najma Afungukia Ishu ya Bayser na Baraka Da...

Post Image

Baada ya Byser kutangaza kuchukua hatua za kisheria kwa Naj au Baraka endapo atagundua kuwa wao ndiyo walianzisha ile skendo iliyomuhusisha yeye kuwa anachepuka na Naj ili kuupa ‘kiki’ wimbo wao mpya, eNewz ilimtafuta Naj ili kusikia majibu yake.   Naj alisema “Sioni kama kuna tatizo, ila naona tu haya mambo yanakuzwa na maneno ya […]

Read More..

Siwalaumu Wanaopenda Skendo – JB

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen maarufu kama JB amefunguka na kusema kuwa yeye hawalaumu wasanii ambao wamekuwa wakiendesha maisha yao ya sanaa kwa kutafuta ‘kiki’ au kufanya skendo. Amesema kwa upande wake yeye hawezi kufanya hivyo kwani anaamini kuwa maisha ya skendo huwafanya wasanii waonekane wahuni, washindwe kuaminiwa na kudharauliwa na baadhi ya watu. […]

Read More..

Man Fongo Sio Mtu wa Kubishana na Mama Yang...

Post Image

Baada ya kusambaa audio katika mitandao ya kijamii ambazo mama Wema anasikika akimpandishia mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown, Wema Sepetu amemvutia wire mtangazaji huyo akimtaka kuacha kumzungumzia mama yake katika mambo ambayo hayaeleweki. Chanzo mgogoro huo mkubwa kati ya Wema Sepetu dhidi ya Christian Bella na Man Fongo kwa pamoja, unahusiana na masuala ya […]

Read More..