-->

Author Archives: editor

Filamu ya ‘Kesho Yangu’ Kutoka Mwezi Hu...

Post Image

Laiti kama mwenyezi mungu angetupa uwezo wa kujua kesho yetu,nafikili duniani,kusingekuwa na majuto,lakini je umeshawai kuonja ladha ya kuku uliemfuga mwenyewe. Usikose filamu hii inapatikana madukani kuanzia tarehe 29 mwezi huu nchi nzima.  

Read More..

Vera Sidika Atoa Angalizo Kwa Wasichana Kuh...

Post Image

Mlimbwende ambaye anasumbua katika mitandao ya kijamii kutokana na shepu yake ya kibantu pamoja na kuweka matiti feki, Vera Sidika amewakanya mabinti wengine kutofuata yale aliyoyafanya, kwani wanaweza wakajiingiza kwenye matatizo. Akizungumza kwenye FNl ya East Africa Television, Vera Sidika amesema yeye aliamua kujiongeza matiti yake ili awe na mwili unaoendana na jinsi alivyo kwenye […]

Read More..

Nisha: Mastaa Wasahau Penzi Langu

Post Image

SALMA Jabu maarufu kwa jina la ‘Nisha’, siyo geni masikioni mwa wapenzi wa filamu za Kitanzania ambapo watu wengi walianza kumfahamu kupitia kipaji chake cha uchekeshaji. Nisha amewahi kufanya vizuri kwenye baadhi ya filamu kama  Simu Sikioni, Because of Facebook, Chumba cha Siri,  Mchana wa Kiza, Bado Niko Hai, Pusi na Paku na nyingine nyingi. […]

Read More..

Picha: Zari Ajiachia na Mimba Yake!

Post Image

Hizi ni baadhi ya picha za Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ aizotupia mtandaoni kuonyesha mimba yake. Mastaa hao wanatarajia kupata mtoto wa pili na mpenzi wake mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz.  

Read More..

Usiwaze Kunifikia Utakuwa Mtumwa Wangu R...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kuwataka wasanii ambao wanachipukia na wale ambao wapo kwenye muziki wafikiri kufanya mambo zaidi yake na wasifikirie au kuwaza kuwa kama Diamond Platnumz. Diamond Platnumz alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusema wasanii ambao watakuwa wakimuwaza yeye watakuwa watumwa wake, lakini kama watafikiria kufanya […]

Read More..

Mzee Yusuph Ameacha Muziki na Kumrudia Mung...

Post Image

Mfalme wa muziki wa taarabu mzee Yusuph maarufu kama “mfalme wa taarabu” amefunguka na kusema kuwa sasa ameamua kuachana na muziki huo na kumrudia Mungu huku akiwataka watanzania pia kumrudia Mungu. Akiongea na eNewz baada ya kutoka msikitini Mzee Yusuph amesema kwa taarifa za awali watanzania wanatakiwa kutambua kuwa yeye ameachana na muziki na sasa […]

Read More..

AliKiba Atoa Tsh 21M kwa ‘GSM’, Ampiku ...

Post Image

Msanii wa muziki AliKiba amempiku Diamond kwa kutoa tsh 21 Milioni kwa GSM Foundation ikiwa ni siku chake toka muimbaji huyo wa wimbo ‘Kidogo’ kutoa msaada wa tsh 20 Milioni kwa ajili ya kusaidia jitihada za taasisi hiyo za kutoa huduma ya upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi. Muimbaji huyo ambaye anafanya […]

Read More..

Shilole Afungukia Tatuu Zake za Kichina

Post Image

MWANADADA anayefanya poa kwenye game la muziki Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefungukia maana halisi ya tatuu zake mpya alizojichora baada ya kufuta zile za awali ikiwemo ile ya X- wake, Nuh Mziwanda.   Shilole aliiambia safu hii kuwa, mbali na zile zinazosomeka kama jina lake la Shishi, zile za Kichina ni alama za kimuziki ambazo zinaonesha […]

Read More..

Mchungaji Alowa Maneno ya Mama Wema

Post Image

Yule mchungaji aliyejitokeza hivi karibuni kumuombea muigizaji wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu, Daudi Mashimo, amedaiwa kuvurumishiwa matusi na mama wa staa huyo, Mariam Sepetu alipokuwa akimpigia simu kumuombea. Kwa mujibu wa chanzo chetu, mchungaji huyo anayeongoza kondoo katika Huduma ya Injili ya Maumivu na Uponyaji iliyopo Mbezi-Msakuzi jijini Dar, anadaiwa kukutwa na dhahama hiyo […]

Read More..

Kajala Afunguka Kupagwa Baada ya Kuhongwa G...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Kajala Masanja ambaye kwa sasa yupo karibu sana na msanii Quick Racka amefunguka na kusema kuwa alikurupuka kukubaliana na mwanaume ambaye hakuweza kumfahamu vizuri tabia zake baada ya yeye kuhongwa gari aina ya Harrier. Kajala alitoa ushuhuda huo kwenye kipindi cha Friday Night Live ya (EATV) alipokuwa akiwapa hamasa mabinti na […]

Read More..

Alikiba na Mr Blue Kumrudisha Abby Skillz

Post Image

Msanii Alikiba na Mr Blue ambao wote wanafanya vizuri kwa sasa kwenye muziki wa bongo fleva wameshirikishwa kwa pamoja kwenye wimbo mpya wa msanii Abby Skillz ambao unategemewa kutoka siku za karibuni. Kutokana na kipande kidogo ambacho ameimba Alikiba kwenye wimbo huo, kimepokelewa vizuri na mashabiki ikiwa ni ishara kwamba wimbo huo utafanya vizuri na […]

Read More..

Diamond Kutoa Album ya Kimataifa

Post Image

Msanii Diamond Plutnumz amekusudia kuondoa kiu ya watu wengi kwenye game la bongo fleva, kwa kutoa album ya nyimbo zake. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond amesema amekusudia kuwa kabla ya mwisho wa mwaka huu atatoa album ambayo itabeba nyimbo zenye ubora wa kimataifa, na kuondoa ukimya wa kutotoa album. “Mwaka huu […]

Read More..

Mashabiki Naomba Mnisamehe – Mbasha

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Emmanuel Mbasha amesema anaomba radhi kwa mashabiki wake wote ambao walikuwa wanafuatilia habari zake kuhusiana na kutengana na mke wake Flora Mbasha na yeye kukataa kuzungumzia habari hizo kwa muda wote. Akizungumza na EATV kipindi cha FNL, Mbasha amesema hapendi kuzungumzia mambo yake na Flora Mbasha kwa sababu tayari […]

Read More..

Tamthilia ya Siri za Familia Kuingia Sokoni...

Post Image

Familia nyingi zina siri ingawa zinatofautina, Siri zinaweza kuhusiana na miiko, ukatili, mahusiano, magonjwa, uhalifu,mauaji, ubakaji. Jambo lolote ambalo mtu au famila inadhani linaweza kuleta tafarani,linafanywa siri. Hata hivyo hakuna siri ya watu wengi au ya muda mrefu kwani hatimaye hufichuka je nini hutokea pale? Tamthiliya Ya ” Siri za Familiya ” Inakuja katika mfumo […]

Read More..

Snura Adai Kusumbuliwa Sana na Wanaume Hawa

Post Image

Msanii wa muziki Snura Mushi alimaarufu kama Snura Majanga amefunguka na kusema kuwa amekuwa akipata shida sana na wanaume mbalimbali wenye matamanio kutokana na vile anavyoweza kutumia mwili wake kwenye uchezaji wake akiwa stejini. Snura alizungumza haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kuwa licha ya kupata usumbufu huo kwa […]

Read More..

Wastara Amnasa Kigogo Morogoro

Post Image

IMEVUJA! Safari za mara kwa mara mkoani Morogoro, zinazofanywa na staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma zinadaiwa kuchangizwa baada ya kumnasa kigogo mmoja mkoani humo. Chanzo makini kililiambia Risasi Mchanganyiko kuwa muigizaji huyo amempata mfanyabiashara na kiongozi wa serikali mkoani humo, kitu kinachomfanya afanye safari zaidi ya mara nne kwa mwezi. “Yaani siku hizi […]

Read More..

Kajala Afunguka Sababu ya Kwenda Gym

Post Image

Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja, Kajala Masanja amesema haendi gym ili kutafuta ‘shape’ ya mwili wake kama baadhi ya watu wanavyodhani. Mwigizaji huyo ambaye ameachia filamu mpya ‘Sikitu’ hivi karibuni, amesema anaingia gym kufanya mazoezi ili kukabiliana na tatizo la moyo. “Hapana shape tayari ninayo alinipa Mungu, labda naiongezea kidogo tu, nafanya […]

Read More..

Harmonize Afukungia Kuhusu Kuchunwa Pesa na...

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo Flava anayesimamiwa na Wasafi, Harmonize, amekanusha kuchunwa pesa na mpenzi wake Jackline Wolper kutokana na mwanamke huyo kuonekana kuwa na maisha ya kifahari. Harmonize amekanusha hayo mbele ya camera ya eNewz kwa kusema “Nyumbani kwa Wolper kuna kaunta ambayo anaweza kunywa vinywaji atakavyo, pia sioni sababu ya mimi kupendeza na mwanamke wangu […]

Read More..