-->

Author Archives: editor

Chuchu Hansa: Daku Ina Masharti Yake

Post Image

Msanii wa kike kutoka katika kiwanda cha Bongo Move Chuchu Hans ameiambia eNewz kwamba ameamua kuandaa filamu hiyo amabayo itaonyesha masharti na utaratibu wa daku kwa watanzania wote bila kuangalia tofauti za dini zao. Hata hivyo Chuchu amesema watu wengi huwa wanakuwa makini katika kufuatilia futari na mchana wanapokuwa wamefunga na muda wa kula daku, […]

Read More..

Afande Sele: Bongo Fleva Imefuata ya Bongo ...

Post Image

Rapper mkongwe kwenye bongo Fleva, Afande sele, amesema muziki wa bongo fleva sasa hivi unapoteza dira na kufuata nyayo za bongo movie, za kutumia kiki kutangaza kazi. Akiongea kweye Planet Bongo ya East Africa Radio, Afande Sele amesema masuala ya kiki yalikuwa ni kawaida kwa wasanii wa filamu za bongo, lakini sasa hivi wasanii wa […]

Read More..

Quick Rocka na Siri ya Kugandana na Kajala

Post Image

GEMU la Muziki wa Bongo Fleva lina vijana wengi wenye vipaji,  miongoni mwao ni Abbott Charles ‘Quick Rocka’ aliyeanza kusikika mwishoni mwa miaka ya 2000 akiwa na Kundi la The Rockers. Kundi hilo liliundwa na wasanii Mo Rocka, Chief Rocka na Dau Rocka waliotamba na ngoma ya The Rockers Antherm. Ungana naye katika Exclusive interview […]

Read More..

Hawa Wamebambwa Utamu!

Post Image

WAUMINI wa dini ya Kiislam duniani wapo katika mfungo wa Mwezi wa Ramadhani. Mfungo huo ni moja kati ya nguzo tano za dini ya Kiislam, ikiwa ni nguzo ya nne. Katika nguzo hii, waumini hujizuia kula na kunywa mchana kutwa, sambamba na kujipinda katika kutenda mambo mema na kuepuka maovu, huku pia wakiomba msamaha kwa […]

Read More..

Wema Afunguka Kuhusu Kurudiana na Diamond

Post Image

Vunja ukimya! Tetesi zinazogonga vichwa vya mashabiki wa mastaa wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ zimepata ufumbuzi baada ya mlimbwende huyo kuanika ukweli wa ‘ubuyu’ huo, Wikienda limefanya naye mahojiano maalum (exclusive interview) yaliyochukua dakika 45. KABLA YA MAHOJIANO Kabla ya Wema kufunguka mambo mazito juu ya Diamond, uchunguzi wa […]

Read More..

Zuu: Mimi mzuri zaidi ya Shilole

Post Image

Yule Video Vixen wa ngoma mpya ya Nuh Mziwanda ‘Jike Shupa’ ambaye anafahamika kwa jina la Zuu amefunguka na kusema kuwa yeye ni mrembo zaidi ya Shilole na amejaaliwa kuliko huyo Shilole. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV Zuu amedai kuwa yeye ni zaidi ya Shilole kwani yeye ni mweupe zaidi wakati […]

Read More..

Lulu Ajikita Chuo, Anasomea Kozi Hii

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Elizabeth Micheal ‘Lulu’ amerudi chuoni na kuamua kuchukua kozi ya Human Resource. Muigizaji huyo ameweka wazi anachosomea baada ya mashabiki katika mtandao wa Periscope, kutaka kujua anasomea nini baada ya kupost video mbalimbali katika mtandao huyo huku akizungumzia maswala ya chuo. “Jamani nimechoka kuulizwa nasomea nini, nasomea nini, nachukua Human Resource,” […]

Read More..

Neema Ndepanya Ametoa Zawadi kwa Watoto Yat...

Post Image

Mcheza filamu za kitanzania Neema Ndepanya ametembelea kituo cha watoto yatima Hiyali orphan center kilichopo changombe Sigara Dar es salaam na kuwapa zawadi ya vitu mbalimbali ikiwemo unga wa ngano pamoja na mafuta. Neema amefanya hayo kama shukrani ya filamu yake ya Kobe la mchana kuingia sokoni ikisambazwa na kampuni ya steps entertainment iko nchi […]

Read More..

Mambo ya Kufahamu Baada ya Kadi za UDART Ku...

Post Image

Abiria wa mabasi yaendayo haraka Jijini Dar es salaam leo June 20 2016 wameanza kutumia kadi maalumu za kielektroniki badala ya tiketi. Mfumo huu ambao utamuwezesha abiria kuweka fedha katika kadi hio kwa kutumia mitandao ya simu na utasaidia kupunguza msongamao katika vituo vya ukataji tiketi. HAYA NI MAMBO MATANO YA KUFAHAMU 1.Unapokwenda kununua kadi […]

Read More..

Hemed Adai ‘Kuwachapa’ Mastaa Wengi

Post Image

Msanii wa filamu Hemed Suleiman amefunguka kwa kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu lakini wengi amewachapa. Mwigizaji huyo ni miongoni mwa wasanii wa filamu mwenye mvuto kutoka na kujiremba kwake pamoja uvaaji. Akiongea na Times Fm hivi karibuni, Hemed aliulizwa kuhusu kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu. “Ngoja niseme hili sijawahi kuwa […]

Read More..

Diamond Kuachia Hii Akiwa na P Square

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametupia picha hiyo hapo chini kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na kundi la P Square pamoja na uongozi wake,  wakiangalia kazi hiyo kama kufanya mapitio na kuandika kuwa anasikia harufu ya hit song. Diamond Platnumz ingawa hajaweka wazi lini kazi hiyo inatoka lakini kuna kila dalili kuwa kazi […]

Read More..

UKAWA Watoka Bungeni Wakiziba Midomo na Kar...

Post Image

Wabunge wa Upinzani wameendelea kususia vikao vinavyoongozwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson, huku leo wakitoka bungeni kwa mtindo mpya wa kuziba midomo na karatasi. Hii ni wiki ya tatu mfululizo wabunge wa Ukawa wamekuwa wakitoka bungeni baada ya kutangaza kuwa hawatahudhuria vikao vyote vinavyoongozwa na Dk Tulia, kufuatia kukataa hoja ya kujadili sakata la […]

Read More..

Mwasiti Afunguka Kuhusu Kutoka Sam Misago

Post Image

Mkongwe wa bongo flava Mwanadada Mwasiti amefunguka na kusema kwamba wimbo wake mpya wa Utabaki unaniangalia hauhusiani kabisa na maisha yake ya kimahusano na amesema huo ni wimbo kama nyimbo nyingine na kwamba yeye haimbi kwa kumlenga mtu. Hata hivyo Mwasiti ameiambia Enews kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtangazaji maarufu hapa nchini Sam Misago […]

Read More..

Uwoya, Kajala Waingia Vitani

Post Image

Ubuyu mzito! Mastaa wakubwa kunako Bongo Muvi, Irene Pancras Uwoya ‘mama Krish’ na Kajala Masanja ‘Kay’ wanadaiwa kuingia vitani, kisa mapenzi ya wasanii wa Bongo Fleva, Msami Giovani na Abbott Charles ‘Quick Racka’ Wikienda limeng’atwa sikio. Chanzo kilicho karibu na wawili hao kilipenyeza ishu kuwa aliyeanza yote ni Uwoya baada ya kumchukua mpenzi wa Kajala […]

Read More..

Sitoacha Kuigiza Sababu ya Gospel – Senat...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu kutoka Swahilihood Stanley Msungu ‘Senator Msungu’ amefunguka kwa kusema kuwa kufuatia yeye kuimba na kuokoka hawezi kuacha uigizaji bali kila jambo atalipa nafasi yake kwa wakati. “Nafanya Gospel kama sehemu ya aina yake ya uhubiri, nimetoa wimbo unaitwa Nimerudi na nitaendelea na uigizaji pia kwani ni vipawa vyote kutoka kwa Mungu,”anasema Msungu. […]

Read More..

Mpira Dakika 90 Unachosha- Wema Sepetu

Post Image

Mrembo na staa wa filamu za Kitanzania, Wema Sepetu, amefunguka kuwa mchezo  wa soka unamchosha kuangalia kwa kuwa unatumia muda mrefu wa dakika 90 huku wachezaji wake wakihangaika mno kutafuta bao tofauti na mpira wa kikapu. Wema Sepetu, alilidokeza Swaggaz, kuwa mara nyingi akiwa nyumbani kwake huwa anaangalia mpira wa kikapu kwani hauchoshi na wachezaji […]

Read More..

Alikiba:Unaweza Nichukia, Ukapenda Muziki W...

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa muziki hauna siri na muziki hauna tofauti kati ya mtu na mtu kwani unaweza kuwa una chuki na yeye lakini akiimba muziki mzuri ukapenda kazi yake na kuimba. Alikiba alizidi kutoa ufafanuzi kuwa kama binadamu inawezekana ukatoa labda humpendi mtu fulani au msanii fulani kutokana na mambo yake lakini […]

Read More..

Uwoya na Skendo ya Kubakwa!

Post Image

Untold story! Skendo ambayo haijawahi kuandikwa wala kusimuliwa popote inayomhusu mwigizaji ‘hot’ wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ ni juu ya madai ya kubakwa na mfanyabiashara maarufu wa Kihindi jijini Dar (jina linahifadhiwa kwa sasa), alipokuwa na umri wa miaka 18 ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 28, Ijumaa limefukunyua na […]

Read More..